kimbweto
Member
- Oct 6, 2012
- 53
- 189
Ndugu,mimi ni mwanafunzi niliyemaliza chuo st Augustine mwanza campass 2017 baada ya kumaliza chuo nilibaini kwamba cheti changu cha chuo kimekosewa majina.
Nikafanya taratibu zote kufaikisha zoezi la marekebisho ya cheti. Hadi hivi sasa kwa takribani miezi nane nimekuwa nikifatilia cheti kwenye ofisi zako haswaa ofisi ya Corporate. Lakini nimekuwa nikipigwa dana dana,njoo leo,njoo kesho lakini hakuna cha kueleweka.
Ndugu Chancellor katika ofisi zako kumekuwa na ugumu kwa watia saini kusaini cheti changu,sijajua tatizo ni nini, saini ya chancellor, saini ya deputy na vice zimekuwa kama dhahabu, licha ya kuwa kusaini na kunipa cheti changu ni wajibu wenu.
Nimepoteza muda mwingi na nimekuwa nashindwa hata kuomba kibarua kwa kuwa cheti changu mmezuia watumishi wa Mungu nyinyi.
Nawakumbusheni nilipokuwa nachelewesha malipo kwenye chuo chenu mlikuwa mkinipiga penati sasa kwa nini hamuwajibiki?
Kibaya zaidi elimu ya chuo kikuu nimeipata pasina mkopo kwa kujishughulisha na shughuli za ujenzi wa kusaidia iweje kusaini cheti mtumie miezi zaidi ya nane?
Chuo kina jina kubwa la mwanafalsafa ST Augustine wa Hippo lakini mnashindwa kufikiria adha tunayoipata masikini kama mimi ambaye umeninyima nafasi kwa sekunde zako mbili za kusaini cheti wewe na wafuasi wako.
Ndugu Chancellor kinachosumbua chuoni mwako ni kutokuwa na uwajibikaji na usimamizi kutokuwa makini. Wakuu wa maofisi wanafanya safari binafsi pasi na tazama maslahi ya chuo. Watumishi hawawajibiki wanatumia muda mwingi kuchat na simu zao huku wakishindwa kutambua majukumu yao.
Mwisho ofisi ya Corporate chuoni mwako iwekwe watu wenye kufanya kazi kwa weledi na kutambua majukumu yao. Pia naomba hayo niliyoyaeleza uyafanyie kazi kwelikweli.
ACCEPT CONSTRUCTIVE CRITICISM.
Nikafanya taratibu zote kufaikisha zoezi la marekebisho ya cheti. Hadi hivi sasa kwa takribani miezi nane nimekuwa nikifatilia cheti kwenye ofisi zako haswaa ofisi ya Corporate. Lakini nimekuwa nikipigwa dana dana,njoo leo,njoo kesho lakini hakuna cha kueleweka.
Ndugu Chancellor katika ofisi zako kumekuwa na ugumu kwa watia saini kusaini cheti changu,sijajua tatizo ni nini, saini ya chancellor, saini ya deputy na vice zimekuwa kama dhahabu, licha ya kuwa kusaini na kunipa cheti changu ni wajibu wenu.
Nimepoteza muda mwingi na nimekuwa nashindwa hata kuomba kibarua kwa kuwa cheti changu mmezuia watumishi wa Mungu nyinyi.
Nawakumbusheni nilipokuwa nachelewesha malipo kwenye chuo chenu mlikuwa mkinipiga penati sasa kwa nini hamuwajibiki?
Kibaya zaidi elimu ya chuo kikuu nimeipata pasina mkopo kwa kujishughulisha na shughuli za ujenzi wa kusaidia iweje kusaini cheti mtumie miezi zaidi ya nane?
Chuo kina jina kubwa la mwanafalsafa ST Augustine wa Hippo lakini mnashindwa kufikiria adha tunayoipata masikini kama mimi ambaye umeninyima nafasi kwa sekunde zako mbili za kusaini cheti wewe na wafuasi wako.
Ndugu Chancellor kinachosumbua chuoni mwako ni kutokuwa na uwajibikaji na usimamizi kutokuwa makini. Wakuu wa maofisi wanafanya safari binafsi pasi na tazama maslahi ya chuo. Watumishi hawawajibiki wanatumia muda mwingi kuchat na simu zao huku wakishindwa kutambua majukumu yao.
Mwisho ofisi ya Corporate chuoni mwako iwekwe watu wenye kufanya kazi kwa weledi na kutambua majukumu yao. Pia naomba hayo niliyoyaeleza uyafanyie kazi kwelikweli.
ACCEPT CONSTRUCTIVE CRITICISM.