Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,927
- 6,417
Tatizo mnaichagua ccm ikataeni ili yafutike haya, mtaendelea kuburuzwa na kulalamika Hadi mwishoTanzania haina dini lakini Wakiristo ni wanufaika zaidi wa ajira na teuzi za serikali.
Kutokana na kunufaika huko wengi miongoni mwao wananufaika na mishahara iliyostable, Bima ya Afya nzuri, Pensheni za uzeeni, mikopo benki n. k
Matokeo yake wanao uwezo wa kusomesha watoto wao shule nzuri, kuwa na makazi stable.
Wakati huo Waislamu kutokana na kutonufaika ipasavyo na keki hiyo ya Taifa ya ajira za serikali , maisha yao yanakuwa siyo bora kama wakiristo, hawanufaiki na bima mzuri ya Afya, pensheni, na faida nyingi zitokanazo na mishahara ya serikali. Sasa katika hali kama hiyo Waislamu wanakuwa kama raia daraja la pili katika nchi yao. Hili halikubaliki, na lazima lifanyiwe kazi ili kuweka usawa na kuondoa manung'uniko ambayo kwa kweli ni madai ya msingi!. Hata mtu ujifanye vipi kuyapuuza, lakini ni madai halali na ya msingi sana!