Barua ya Wazanzibari waishio UK, US kwa Amnesty

Siku zote ukiamini kuwa wewe ndio brain yako is working na wengine ni vichaa ndio tatizo lake. Tunachosema, wale sio wafungwa ni mahabusu na wanatakiwa kuwa terated in the same way kama kahabusu wengine kulingana na mazingira yaliyopo huko. Kama mahabusu wengine wanahusiwa kubadilisha nguo, kwanini wao wasipewe hiyo haki, kama wana haki ya kuletewa chakula, kutembelewa, kuchanganyika n.k kwa nini wao wasipewe hizo haki?

Tatizo inapotea ukawa partial, huwezi ukajadili uhalisia wa jambo kama mlivyo nyie ndio maana siku moja hii nchi mtakuja kuitia vurugu isikalike na nyie wote muwe wakimbizi.

Mkuu si kama mimi ndio nina brain inayofanya kazi kuliko wengine. Unatakiwa kujua kuwa wahalifu na mahabusu hawako sawa, status za ufungwa wao na umahabusu wao zinategemea tuhuma au kosa.

Sidhani kama mtuhumiwa wa kosa la wizi wa kuku anatendewa sawa na mtuhimiwa wa uhaini, mauaji,ujangili au ujambazi. Sawa na ilivyo kwa mfungwa wa kosa la udokozi na uuaji. Ukweli ni kwamba watu hao hawatendewi sawa, hiyo ndio hali halisi.
Kusema kuwa mtuhumiwa wa vurugu na mauaji atendewe sawa na mdokozi haiingii akilini hata kidogo
 
Ami utakuwa una wazimu sio bure. Hayo maduka ya SANDA, UBANI MASHTAKA, UDI, MARASH MUJE, MAYAI VIZA, NAZI MBOVU, MAJI MAITI, VYUNGU KAFRA, KUNGU na vitu vingine vya kufanyia ushirikina ndio unajitapa ya kuwa mu wafanyibiashara wakubwa mikoani?

Biashara hiyo mnafanya nyinyi kwa kuwa hamna mtu mwingine mwenye kufanya mambo ya kishirikina hadharani. Vinginevyo kingine mnachoweza ni kuuza genge na juice ambayo utengenezaji wake ni katika hali ya uchafu uliokithiri. Wewe kama unataka kuona kabila lililotapakaa nchi nzima likifanya biashara watazame wachaga, japo huko kwenu mnachoma moto mali zao.

CCM kutokuwa na jimbo sio jambo la kushabikia kwa kuwa hiyo ni dalili mbaya kwenu. Sasa hivi mnamimina chokochoko za kutaka kuigawa nchi, lkn kabla hata haijafanikiwa tayari mnaigawa Zanzibar yenyewe. Laana inaanza kuwatafuna kabla hata kufuru yenu haijatamkika hadharani.

Ungeniambia mna kipaji cha kuzaa watoto wakapishana miezi 7'7 nitakuelewa. Mpemba mmoja ana watoto wanapangana kama ngazi kazi kuichafua Ilala kwa kurundikana mia moja katika nyumba yenye uwezo wa kuchukua watu 8.

Njoo Tarime na majigambo ya namna hii uone kama hatukukukimbiza mbio kali mpaka ukasau busha lako banarini likaletwa na boti ya jioni. Sisi kule hatuhitaji ubani wala udi na mayai viza tunayo kazi ni kuwapigia viongozi wa kisiasa wakiongea ujinga majukwaani

nonesense.you are numb.your daily song is backward forever forward never.mimi niliza utasifia kabila lako lina hadhi gani unakwenda kusifia wachaga.wakurya ni kabila la mwisho tanganyika.hahahahahahaha.
 
Nimekuelewa, kumbe unachangia kama 'mkristo'! I thought tunachangia tukiwa kama wa TZ!
kama unachangia kama tz, kwanini unatetea haki za hao wahuni kuvunja na kuchoma makanisa na biashara za watu, kwani wao si wa tz, dhambi ya ubaguzi ukiisha ianza itakutafuna mpaka utakapo tafuna mkono wako wewe mwenyewe, maana wa kushoto ni mchafu kuliko wa kulia.
wapemba wanafanya biashara bara, hakuna anaye chomewa biashara zake lakini mbara akiendesha biashara visiwani ni shida, wewe ukiwa na mahali pako pa kuabudia bara au kokote ni sawa, wengine wakiwa napo ni shida. mbona msochome serena hotel nk, lakini bar ya mbara, kama sio mwanzo wa ubaguzi wenu/wako ni nini? wapemba hasana wenye weupe weupe ni wanafiki saana, na kujiona wao ni bora kuliko wengine, na kujifanya mnaakili wakati hamna lolote. ukienda vyuoni ndio hao wenye kupenda kufanya discussion zao kufuatana na imani zao, vyumba vya kula ni hivyo hivyo, wakimkosa mweupe mwenzao ndio watajifanya rafiki na mweusi na
 
Zanzibar's communities Uk & USA

amnesty-564x272.jpg

Amnesty International
1 Easton Street
London
WC1X ODW
UK
REF: HUMAN RIGHTS ABUSE IN ZANZIBAR ISLAND
Recent developments in Zanzibar show that the authorities there have taken a big step backwards in terms of human rights. Rampant and deplorable human rights abuses came to light during a series of events which led to confrontations between the police and followers of an Islamic organisation called UAMSHO (Awakening).
UAMSHO, a registered NGO, has been active in Zanzibar for a number of years now. In addition to its religious activities, it has taken part in observing elections, hasM produced well-researched reports on past elections and has provided civic education to the populace. The organisation has a wide grass root support within the community. Recently it has been actively championing for the restoration of Zanzibar’s sovereignty.
The government has accused it for inciting its followers to commit unlawful activities. UAMSHO denies it and has on its part accused government security apparatuses of inflicting harm on its followers during their peaceful demonstrations. This pattern of accusations and counter accusations culminated last month with the three day mysterious ‘disappearance’ of a charismatic leader of UAMSHO, Sheikh Farid Ahmed Hadi. UAMSHO maintained that the Sheikh was abducted by the security forces, a charge which the government denied.
However, when Sheikh Farid resurfaced he too intimated that he had been abducted by the security organs. The government’s response was to promptly arrest him together with his fellow leaders and to charge with several criminal offences. This came as no surprise as for weeks rumours were rife that the government was under pressure by diehards of the Chama cha Mapinduzi (CCM), Tanzania’s ruling party, to ban UAMSHO. It is not our intention to judge the merit or demerit of the case as it is sub-judice.

What is troubling us is the well prepared measures to humiliate all the detainees connected with UAMSHO. By their actions the state organs have shown that they are bent on humiliating and dehumanizing the UAMSHO detainees. For example, despite knowing very well how Muslims sheikhs cherish their beards the sadist jailers have found it proper to forcefully shorn them of their beards. They did it even before the accused were brought to court for the first time. Defence lawyers have publicly complained of other forms of mistreatment meted out to the detainees. These include, denying them the opportunity to offer their obligatory prayers, denying them a change of clothes since their arrest and inhuman prison conditions. No doubt the jailers what they do to satisfy their primitive sense of power, to show Zanzibaris that they are capable of doing whatever they want to do and nobody can question them.
It is sad to note that the government has remained silent to all these injustices. The detainees constitutional rights are denied. The protests of their lawyers have fallen on deaf ears. In the meantime, indiscriminate harassment of ordinary citizens continues unabated. All those suspected of being sympathetic to UAMSHO are publicly brutalized. It reminds us of the dark days of Zanzibar when there was no respect for human rights.
We, therefore, appeal to all human rights activists to urge the Tanzanian and Zanzibar governments to impress upon their state organs the urgent need of according each and every citizen their human rights.
Copy:
Human Right Watch – UK
High Commissioner of United Republic of Tanzania – UK
High Commissioner of Republic of Kenya – UK
High Commissioner of Uganda – UK
Ban Ki-moon Secretary-General of the United Nations.


Imaeandikwa na tawi la UAMSHO UK
 
kama unachangia kama tz, kwanini unatetea haki za hao wahuni kuvunja na kuchoma makanisa na biashara za watu, kwani wao si wa tz, dhambi ya ubaguzi ukiisha ianza itakutafuna mpaka utakapo tafuna mkono wako wewe mwenyewe, maana wa kushoto ni mchafu kuliko wa kulia.
wapemba wanafanya biashara bara, hakuna anaye chomewa biashara zake lakini mbara akiendesha biashara visiwani ni shida, wewe ukiwa na mahali pako pa kuabudia bara au kokote ni sawa, wengine wakiwa napo ni shida. mbona msochome serena hotel nk, lakini bar ya mbara, kama sio mwanzo wa ubaguzi wenu/wako ni nini? wapemba hasana wenye weupe weupe ni wanafiki saana, na kujiona wao ni bora kuliko wengine, na kujifanya mnaakili wakati hamna lolote. ukienda vyuoni ndio hao wenye kupenda kufanya discussion zao kufuatana na imani zao, vyumba vya kula ni hivyo hivyo, wakimkosa mweupe mwenzao ndio watajifanya rafiki na mweusi na

Michango yote unayoiona hapo ni majibu ya watu waliokuwa wanachangi. Soma michango yote utaona mantiki ya kila jibu.

1) Kutetewa ni haki ya kila raia hata aliyekosa. Kama ni makosa kumtetea muhuni, mawakili wasingeruhusiwa kumtetea 'Lulu' anayedaiwa kumuua Kanumba.

2) Ubaguzi hata nyie mnao labda uwe unajifanya kipofu au kiziwi. Ni mara ngapi tumesikia watu wakisema kuwa TRA imejaa watu wa kabila fulani, NSSF imejaa watu wa kabila fulani, na hata polisi alipoingia mwema, kuna watu walisema anapendelea kabila fulani. Kwa hiyo dhambi hii anayo kila aliye kuwa dhaifu wa roho na moyo kama wewe. Mzee MTE muassis wa CHADEMA ilipoteuliwa tume ya katiba mpya alisema kuna udini. Akahoji kwa nini hakuna uwiano wa kidini ktk uteuzi ule! Kwa hiyo ohii dhaimbi inawatafuna nyie zaidi wenye roho mbaya.
 
Kwa hiyo kumbe Uamsho imejikita kama chombo cha dini kinachosimamia waislamu kwa manufaa ya waumini wa dini sio! na kwa hivyo kama kuna madai yenye maana ambayo wao kama wawakilishi wa dini wanataka wasikilizwe ni kwa nini wasifuate utaratibu wa madai yao, badala ya ku force vitu na kufikia kuhatarisha amani kwa jamii. Na pia sasa kuna contradictions hapa kwa maana Uamsho pia wanasema wao ni kama wapigania uhuru na hawahusiki na dini ila tu kutokana na nature na Zanzibar kuwa na waumini wengi wa kiislamu ndio inatokea kuwa wao wengi ni waislamu.

Great thinker i am not condoning any tortures against inmates ila kutokana na hali za cells zetu Africa na kama treatments zinafanywa kwa inmates wengine wa kawaida basi kwa nini na wao wasiexperience the same struggle? hauoni kuwa unasupport au kutetea maafa?

Labda hutaki kuelewa: Hiyo barua haizungumzia kwamba wale wautuhumiwa wa UAMSHO wapewe upendeleo. Watu wanadai wawe treated kama watuhumiwa wengi na kwa mujibu wa sheriia za magereza. Hii ni kwa sababu TZ inasema inafuata utawala wa sheria.
 
Hapa patamu kwanza upemba na uzanzibar pili ubara vs uzanzibar kisha udini na ukabila haya shangilieni tu ujinga wenu mtauona mwisho wake. haki ya mtu apewe bila kujali nani kwani nani hajui mateso ya maabusu na magereze sema hawa jamaa wa uamsho walizani gerezani kuzuri uloza walioko huko watu 42 chumba kimoja mmesahau Mbeya ohhj
 
Hawa jamaa sijui vipi, si hivi karibuni pia waliandika barua UN kuomba "uhuru" wao ( na warejeshewe kiti "chao" UN)?
 
Michango yote unayoiona hapo ni majibu ya watu waliokuwa wanachangi. Soma michango yote utaona mantiki ya kila jibu.

1) Kutetewa ni haki ya kila raia hata aliyekosa. Kama ni makosa kumtetea muhuni, mawakili wasingeruhusiwa kumtetea 'Lulu' anayedaiwa kumuua Kanumba.

.
nao si wana mawakili kama Lulu? hilo halina shida, shida ina kuja pale waungwana(waastaarabu) wanapowatetea wahuni, basi wote mnaonekana ni wahuni
halafu la pili mbona huja jibu kwamba wapemba weupe ni bora zaidi ya wale weusi? au mahusiano yenu kwanza weupe kwa weupe mkiwakosa hao ndio mnawadanganya watumwa kwamba nao ni wastaarabu wenzenu? why?
na sasa mkisha jitenga nini hatima ya wale weusi?
 
Walikubuka pia kuwaambia amnesty makanisa yalichomwa bila serikali kusaidia walinda minority Christians?Walikumbuka kuwaambia kuwa mirority wanachomewa mali zao an kupata mashambuizi ya mwili?

Kweli hawa watu hawastaarabiki, wana wana abuse sana sheria wasizozipenda.hakuna mzanzibar anayejua amnesty mara nyingi wanatatua matatizo ya Minority groups kama si raia waliochini ya serikali katili au nchi vamizi.
 
Back
Top Bottom