Mngekuwa mnaijua ki ukweli hi"presumption of innocence" msingetoa hukumu ya kuchoma makanisa na kuchinja watu waziwazi! au nyie mna haki ya kufanya hayo sio? unataka presemption of innocence at the same time your taking the law on your own hand! what parthetic ideas are you trying to bring about!
Kwa hiyo unashauri mahakama zivunjwe, tuwe na magereza tu? Ili ukituhumiwa tu kuwa umetenda kosa uteswe na kufungwa?