imija mrufo
Senior Member
- May 8, 2019
- 139
- 171
Tena Mwethiopia........ingekuwa mkaburu wa SA wasingehaingaika sana. Haya mijitu ya western ni tatizo!
mchuma janga hula na wa kwao. Walivyo ligema watalinywaUSA sasa wanaona aibu kwa kushindwa kabisa kucontrol spread ya COVID-19 nchini mwao sasa wanatafuta mchawi. Wachina walicontain kwa muda mfupi sana na haikuspread kwenye majimbo mengi wakati USA inaendelea spread kwa kasi ya ajabu wakati huwa wanajisifu ni super power country.
tunaoteseka ni sisi ambao kwa asilimia kubwa tunategemea misaada toka kwa mabeberu halafu wakati huohuo chama chetu tukufu kina urafiki wa kihistoria na wachina.Tunashuhudia Marekani akiandika barua huku analia lia, maisha yanakwenda kwa kasi mno.
Hao Wakenya wenye urafiki na matunaoteseka ni sisi ambao kwa asilimia kubwa tunategemea misaada toka kwa mabeberu halafu wakati huohuo chama chetu tukufu kina urafiki wa kihistoria na wachina.
hao wakenya wenye urafiki na mabeberu nani anawasaidia kipindi hiki wana njaatunaoteseka ni sisi ambao kwa asilimia kubwa tunategemea misaada toka kwa mabeberu halafu wakati huohuo chama chetu tukufu kina urafiki wa kihistoria na wachina.