Barua ya TANESCO hii Hapa kwenda EWURA na Wizara ya Muhongo; Muhongo na Bosi Wako Muogopeni Mungu!

HAMY-D

JF-Expert Member
Sep 18, 2011
7,149
3,817
WanaJF,

Siungi mkono kuongezeka kwa bei ya umeme lakini pia siungi mkono uonevu uliofanywa kwa Mhandisi Mramba.

Watanzania, kushangilia kutumbuliwa kwa Mtanzania mwenzako haina maana kuwa maisha yako yatapata unafuu kwa namna yoyote ile!

Hivyo basi ni vyema ukatumia kipindi kifupi cha maisha yako uliyobakiza Duniani walau kusimamia haki na kupinga uonevu unaofanyika dhidi ya Wanadamu wenzetu hapa nchini.

Jisomee barua kisha usikilize maneno ya Muhongo kuwa hakuwa na taarifa kuhusu nia ya TANESCO kupandisha gharama za umeme ilhali barua ilitumwa wizarani kwake tangu mwezi Septemba 2016.

FB_IMG_1483322091129.jpg
 

Attachments

  • TANESCO Tariff Adjustment Application for year 2017.pdf
    1.6 MB · Views: 189
Hebu soma tena hiyo barua kama inahusika na matukio ya sasa hivi. Hiyo inazungumzia maombi ya kupunguza bei na matarajio ya 2017 ambayo hujayaweka.Hata hivyo ni barua kwenda EWURA wamemkopi tu Waziri. Weka na hayo mapendekezo na ile aliyosema Waziri inayomtaarifu juu ya hayo mabadiliko.
 
WanaJF,

Siungi mkono kuongezeka kwa bei ya umeme lakini pia siungi mkono uonevu uliofanywa kwa Mhandisi Mramba.

Watanzania, kushangilia kutumbuliwa kwa Mtanzania mwenzako haina maana kuwa maisha yako yatapata unafuu kwa namna yoyote ile!

Hivyo basi ni vyema ukatumia kipindi kifupi cha maisha yako uliyobakiza Duniani walau kusimamia haki na kupinga uonevu unaofanyika dhidi ya Wanadamu wenzetu hapa nchini.

Jisomee barua kisha usikilize maneno ya Muhongo kuwa hakuwa na taarifa kuhusu nia ya TANESCO kupandisha gharama za umeme ilhali barua ilitumwa wizarani kwake tangu mwezi Septemba 2016.
Nampenda sana Eng. Mramba kwani ni machapa kazi. Ila nakuomba nikuulize maswali mawili:
1. Barua ya majibu iko wapi? tubandikie hapa.
2. kama Ni kweli walilipana hayo mabonus? Wakati wana madeni makubwa huko sijuiIPTL je wewe unaona ni sawa?
Mramba nina hakika hayo mabobnus ni mashiknikizo tu ya viongozi walio chini yako.

Kuna mambo sensitive kama umeme ni vema kuomba ushauri. Mtu unaomba Kupanda kwa bei kisha unatangaza je ilikwishakubaklika?!?!?!
 
WanaJF,

Siungi mkono kuongezeka kwa bei ya umeme lakini pia siungi mkono uonevu uliofanywa kwa Mhandisi Mramba.

Watanzania, kushangilia kutumbuliwa kwa Mtanzania mwenzako haina maana kuwa maisha yako yatapata unafuu kwa namna yoyote ile!

Hivyo basi ni vyema ukatumia kipindi kifupi cha maisha yako uliyobakiza Duniani walau kusimamia haki na kupinga uonevu unaofanyika dhidi ya Wanadamu wenzetu hapa nchini.

Jisomee barua kisha usikilize maneno ya Muhongo kuwa hakuwa na taarifa kuhusu nia ya TANESCO kupandisha gharama za umeme ilhali barua ilitumwa wizarani kwake tangu mwezi Septemba 2016.

View attachment 453209
Ukishajua maana ya CC uje tena kumtetea Mramba.

Au kwa kukusaidia tu ni hivi hiyo Barua uliyoipost iko addressed kwa EWURA na sio KWA WIZARA. Kajifunze uandishi wa barua pia na maana halisi ya Carbon Copy (CC)
 
WanaJF,

Siungi mkono kuongezeka kwa bei ya umeme lakini pia siungi mkono uonevu uliofanywa kwa Mhandisi Mramba.

Watanzania, kushangilia kutumbuliwa kwa Mtanzania mwenzako haina maana kuwa maisha yako yatapata unafuu kwa namna yoyote ile!

Hivyo basi ni vyema ukatumia kipindi kifupi cha maisha yako uliyobakiza Duniani walau kusimamia haki na kupinga uonevu unaofanyika dhidi ya Wanadamu wenzetu hapa nchini.

Jisomee barua kisha usikilize maneno ya Muhongo kuwa hakuwa na taarifa kuhusu nia ya TANESCO kupandisha gharama za umeme ilhali barua ilitumwa wizarani kwake tangu mwezi Septemba 2016.

View attachment 453209
Siamini kama umeandika wewe hii bado wa Songea
 
Nampenda sana Eng. Mramba kwani ni machapa kazi. Ila nakuomba nikuulize maswali mawili:
1. Barua ya majibu iko wapi? tubandikie hapa.
2. kama Ni kweli walilipana hayo mabonus? Wakati wana madeni makubwa huko sijuiIPTL je wewe unaona ni sawa?
Mramba nina hakika hayo mabobnus ni mashiknikizo tu ya viongozi walio chini yako.

Kuna mambo sensitive kama umeme ni vema kuomba ushauri. Mtu unaomba Kupanda kwa bei kisha unatangaza je ilikwishakubaklika?!?!?!
Majibu wameyapata kutoka kwa waliyemuomba ambae ni EWURA na yeye EWURA ameridhia ombi hilo la TANESCO. Unajua bodi ya EWURA inajumuisha wajumbe gani? Na pia kisheria TANESCO anaomba kuongeza au kupunguza bei kwa UWURA na sio vinginevyo.

Tumia akili yako kidogo tu ndugu yangu kuelewa haya mambo.

Mimi ni CCM kindaki ndaki na kamwe sihami ila sikubali kuona huu uonevu na nikawa sehemu ya kuutetea. Kuna 'KARMA' hapa Duniani.
 
WanaJF,

Siungi mkono kuongezeka kwa bei ya umeme lakini pia siungi mkono uonevu uliofanywa kwa Mhandisi Mramba.

Watanzania, kushangilia kutumbuliwa kwa Mtanzania mwenzako haina maana kuwa maisha yako yatapata unafuu kwa namna yoyote ile!

Hivyo basi ni vyema ukatumia kipindi kifupi cha maisha yako uliyobakiza Duniani walau kusimamia haki na kupinga uonevu unaofanyika dhidi ya Wanadamu wenzetu hapa nchini.

Jisomee barua kisha usikilize maneno ya Muhongo kuwa hakuwa na taarifa kuhusu nia ya TANESCO kupandisha gharama za umeme ilhali barua ilitumwa wizarani kwake tangu mwezi Septemba 2016.

View attachment 453209

Hamy-D issue si kutoa taarifa ya kuomba kuongeza bei, hapa hawa wameshindwa kumsoma boss wao. Inawezekana waliomba lakini wakati wa kutoa majumuisho na maamuzi hawakutoa taarifa ya ongezeko la bei. Pamoja na EWURA kuendesha mihadhara ya kutoa mapendekezo kutoka kwa wananchi na asilimia kubwa sana hawakukubaliana na mapendekezo bado wai wameamua kupandisha. Na isiishie hapo wakubwa wa EWURA wote waondolewe, wengine wasome alama za nyakati za JPM.
 
Ukishajua maana ya CC uje tena kumtetea Mramba.

Au kwa kukusaidia tu ni hivi hiyo Barua uliyoipost iko addressed kwa EWURA na sio KWA WIZARA. Kajifunze uandishi wa barua pia na maana halisi ya Carbon Copy (CC)

Kikubwa zaidi hiyo attached letter inazungumzia decrease ya tarrif na sio kuongezeka. Aliyekutuma hajafanya fair. Mwambie akupe barua ambayo inahusiana na tukio la sasahivi na sio hilo lililopita
Ni kweli mkuu, ni kwa sababu kwa mujibu wa sheria wizara inatakiwa kupewa taarifa tu ila wenye mamlaka ya kupandisha ni hao EWURA. Wizara inapewa taarifa tu na kama ina reservations basi inatakiwa izitoe ukikaa kimya maana yake na wewe umeridhia.
 
Mkuu dah hayo majina ya kujiita kiboko.JPM anaitakia mema nchi hii ni bora tukawa na subira.
 
Nampenda sana Eng. Mramba kwani ni machapa kazi. Ila nakuomba nikuulize maswali mawili:
1. Barua ya majibu iko wapi? tubandikie hapa.
2. kama Ni kweli walilipana hayo mabonus? Wakati wana madeni makubwa huko sijuiIPTL je wewe unaona ni sawa?
Mramba nina hakika hayo mabobnus ni mashiknikizo tu ya viongozi walio chini yako.

Kuna mambo sensitive kama umeme ni vema kuomba ushauri. Mtu unaomba Kupanda kwa bei kisha unatangaza je ilikwishakubaklika?!?!?!

Kulipana bonus inapitishwa na bodi ya Tanesco na sio mkurugenzi,kwanini bodi walipitisha kulipana hizo bonus?

Majibu ya kupanda kwa bei yanatolewa na EWURA na sio TANESCO. Na EWURA walitoa majibu. Na EWURA walikua wana uwezo wakutopandisha bei kama kweli serikali ilidhamiria kutopandisha bei.
 
Soma barua yote mkuu sio unakimbilia kukomenti.
Labda niitafsiri then unieleweshe. Barua Inaanza kwa kuzungumzia tariff adjustment ya kipindi kilichopita na kueleza kwamba waliambiwa wapeleke adjustment nyingine mwezi August kwa ajili ya 2017. Kwa hiyo barua hiyo inawasilisha mapendekezo hayo. Ni barua kwenda EWURA na wamemkopi Katibu mkuu. Ni barua kabla ya consultations. Haya wapi sikuelewa? Ieleweke wazi barua hii haina approved price adjustment alizozungumzia Waziri. Kwahiyo haina jipya.
 
Back
Top Bottom