Demotion ilitokana na piece ya balozi wa Palestina,labada tungeangalia article ya hyo balozi inazungumzia nini ndiyo tuone wapi Mzee Mengi alipotoka,otherwise kumlaumu Mzee mengi kama ana ties na Israel kwenye biashara zake huku gazeti lake likiandika makala zinazohatarisha mustabali wa Israel sio Fair wala objective,Tuone ni kwa jinsi gani article ya Balozi ilikuwa Objective then tuanze kulaumu.Mwl.Nyerere (R.I.P) kwenye issue ya Palestine na Israel alichemsha sana kwenye maamuzi yake asifanywe standard measure ya maamuzi bora katika kuuangalia mgogoro wa palestine na Israel.