FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Rais kama ni ushindi wa kishindo umepata, tunayajua haya kwa kuwa tuna bwana anayetupa majibu. Rais kilio changu ni kufukuzwa kazi bila kufuatwa kwa utaratibu wala kuhojiwa achilia mbali nilikuwa naumwa na taarifa nilitoa, sikukaa kimya niliandika barua Tamisemi kwa George Mkuchika wakati huo akiwa waziri wa Tamisemi
Walikaa miezi miwili wakanijibu niende ajira vijana na wenye ulemavu,sikwenda nikaomba ushauri kwa kada wa Chama chetu Humfrey Polepole, yeye akanishauri niwaone na kufungua shauri CMA, namshukuru sana kwani sikuwa najua, kumpigia mtu wa CMA wa Mwanza akasema mda umepita miaka name sasa
Lakini Rais mwaka 2018 niliwahi kukuandikia barua ukiwa ikulu Magogoni watumishi wako wakadai barua yangu imekufikia hivyo naomba unitendee haki.
Sasa hivi na Mimi nimenunua beberu, navizia ukitembelea huku nilipo nikupe kama zawadi nilie na shida yangu labda utanisaidia na Mimi ni mwanachama hai wa CCM na huwa nakipa kura kwa hili siwezi badilika.
Nina imani barua hii itakufikia kwa wakati kwani najua intelijensia yetu hailali na IPO macho sawa na Jua, linapenya mwanga kila mahali na kwa msaada wa Mungu wanaweza, basi utoe maamuzi ili ndugu na jamaa waridhike, mbona umetatua mengi na wengine ni wagombea sasa.
Asante.
Walikaa miezi miwili wakanijibu niende ajira vijana na wenye ulemavu,sikwenda nikaomba ushauri kwa kada wa Chama chetu Humfrey Polepole, yeye akanishauri niwaone na kufungua shauri CMA, namshukuru sana kwani sikuwa najua, kumpigia mtu wa CMA wa Mwanza akasema mda umepita miaka name sasa
Lakini Rais mwaka 2018 niliwahi kukuandikia barua ukiwa ikulu Magogoni watumishi wako wakadai barua yangu imekufikia hivyo naomba unitendee haki.
Sasa hivi na Mimi nimenunua beberu, navizia ukitembelea huku nilipo nikupe kama zawadi nilie na shida yangu labda utanisaidia na Mimi ni mwanachama hai wa CCM na huwa nakipa kura kwa hili siwezi badilika.
Nina imani barua hii itakufikia kwa wakati kwani najua intelijensia yetu hailali na IPO macho sawa na Jua, linapenya mwanga kila mahali na kwa msaada wa Mungu wanaweza, basi utoe maamuzi ili ndugu na jamaa waridhike, mbona umetatua mengi na wengine ni wagombea sasa.
Asante.