Walijifichia kwenye ukali kumbe ni wapigaji.Niliwaambia watu ukiona mtu ni mkali jua kuna Siri anafichahuu upumbavu ulipata baraka za marehemu
Walijifichia kwenye ukali kumbe ni wapigaji.Niliwaambia watu ukiona mtu ni mkali jua kuna Siri anafichahuu upumbavu ulipata baraka za marehemu
Walijifichia kwenye ukali kumbe ni wapigaji.Niliwaambia watu ukiona mtu ni mkali jua kuna Siri anafichahuu upumbavu ulipata baraka za marehemu
Uporaji na upigaji ni vipi tofauti.Kama chuo tu alikuwa mzushi, haya kapata nafasi tena kubwa, hapo lazima apige
Ila watu wanapiga kwa akili siyo kama style zake yeye
Ova
Si hadi uwe na akiliHakuna madaraka ya milele
Kuwahadaa wanyongeHalafu wanamtaja sana Yesu na Mungu sijui wanapata wapi ujasiri huo?
Sabaya huyu huyu aisee maisha yanakwenda kasi sanaTaarifa zinadokeza kwamba Sabaya anapanga kukimbia nchi na kutorokea Nairobi , vyombo vya dola msipomdaka huyu na tukaona kweli ametoroka tutajua kweli mmekula njama
Huyu ni zaidi ya jambazi sasa hii ni moja tuu je zipo ngapi kama hizi!Dogo alianza utapeli tangu akiwa St.John pale dodoma
Atakuwa nje ya nchiKakimbilia wapi huyu jambazi? Maana watu wamemsaka sana bila mafanikio.
Ndiyo alikuwa anawatuma na MnyetiJambazi lililotumia dola kuiba..what a disgrace..uongozi wa jpm ulifumbia macho haya
Na hao waliofuatiliwa wengi wao walifilisi vyama vya ushirika na mashirika ya umma wakayaacha hoi taabani... ukiangalia waliofanya kazi ugawaji, national milling, rtc, uda, kamata, gapex na..... ila tujisahaulishe historia ili watukufu watukuzwe... ndio maana Mwalimu mwenyewe aliandika "TUJISAHIHISHE..." Tatizo letu ni katiba na sheria maana wahujumu waliomo maofisini wanalindwa sana...Haya mambo ya appointment aliyaweza Hayati Mwl. J K Nyerere, alikuwa anachunguza sana watu anaowapa nafasi za uongozi
Nilikuwa natazama documentary HII ina mengi ya kujifunza katika hilo la TUJISAHIHISHE"TUJISAHIHISHE..." Tatizo letu ni katiba na sheria maana wahujumu waliomo maofisini
Umasaini hakunaga wizi wa hela... wenyewe huwa wanarejesha "ng'ombe kwa boma!!" Ndio maana mijini walijijengea uaminifu na kuwa walinzi... sasa ukikuta masai mwivi huyo ana laana na ni jambazi poraji kabisa...Wizi mtupu! Yaani upuuzi nibwa kwako mwenyewe, halafu unataka uchangiwe! Na ukigoma, anakuvamia usiku na kukubambikia kesi za uhujumu uchumi! Shenzi kabisa.
Tulifeli kwenye msingi...Nilikuwa natazama documentary HII ina mengi ya kujifunza katika hilo la TUJISAHIHISHE
Ogopa sana mtu ambaye kutwa kmtajataja yes sjui mtume mohmd mara kachomekea vifungu vya biblia na quran akizingmza
Hao ni watu hatar sana
Ova
Kwani hauwezi kujengwa "msingi" mwingine imara?Tulifeli kwenye msingi...
Mkuu kwa hawahawa au walewale?Kwani hauwezi kujengwa "msingi" mwingine imara?