Daimler
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 556
- 973
Saed Kubenea amepangua hoja mbalimbali alizotuhumiwa na Chama chake cha CHADEMA, zikiwemo za:
Hata hivyo, kwa kuzingatia maudhui rafiki ya waraka wako na kwa kuzingatia kuwa, ndani ya Chama chetu kwa sasa kumejitokeza makundi na kwa bahati mbaya, baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu, kwa malengo na sababu wanazozijua wao binafsi, wamekuwa mahasimu wangu wa kisiasa; na wamekuwa wakiniandama bila sababu na kwamba hata msingi wa tuhuma hizi umetokana na wao.
Kwa sababu hiyo, kwa kuwa wao ni Viongozi, itakuwa vigumu mimi kuendelea kuwa Makamu M/kiti wa Kanda katika mazingira yaliyosheheni chuki, visasi, upendeleo na magomvi; niruhusu nijiuzulu nafasi hiyo ya uongozi kuanzia leo tarehe 28
- Kutoa maneno ya kashfa kwa Viongozi wa Chama (Masonga na Halima Mdee).
- Kupotosha maamuzi halali ya BAVICHA.
- Kuzusha migogoro ndani ya Chama kupitia "Friends of BAVICHA" la WhatsApp.
- Utetezi wa kwa nini asivuliwe Cheo cha Makamu M/kiti Kanda ya Pwani.
Hata hivyo, kwa kuzingatia maudhui rafiki ya waraka wako na kwa kuzingatia kuwa, ndani ya Chama chetu kwa sasa kumejitokeza makundi na kwa bahati mbaya, baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu, kwa malengo na sababu wanazozijua wao binafsi, wamekuwa mahasimu wangu wa kisiasa; na wamekuwa wakiniandama bila sababu na kwamba hata msingi wa tuhuma hizi umetokana na wao.
Kwa sababu hiyo, kwa kuwa wao ni Viongozi, itakuwa vigumu mimi kuendelea kuwa Makamu M/kiti wa Kanda katika mazingira yaliyosheheni chuki, visasi, upendeleo na magomvi; niruhusu nijiuzulu nafasi hiyo ya uongozi kuanzia leo tarehe 28