Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,837
- 6,372
- Thread starter
- #61
Hahaha kwahyo waafrika inshu yao ni blaming tu😂Katika kusafir kwangu hakuna watu mashetan kama waarabu. Na hakuna watu wanajiona cku zote wao wako juu kwa kila kitu kama wazungu. na hakuna watu wanaotafute hela kwa namna yoyote kama muasia. Waafrica cc sio watu wa kujifunza. Ni wazee wa lawama. Ni kama vile hawatak kukubali walishawahiwa so wajipange ili wajikomboe hilo hawalitak kila cku ni kulaumu tu mwanzo mwisho. Tumeshindwa kujifunza kwa japan. Maana baada ya kichapo walijipanga sasa hiv wako juu.