patience96
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 1,353
- 568
sidhani ka hata kuzungumza anaweza huyu bwana mnnnh kwa hii ngeli,kingereza ni ka vita mwisho hujing'ata ulimijamaa anaonyesha anaweza kuzungumza ila kuandika ndio tatizo maana maneno yanaleta maana tatizo spellings tu