mi nilimuelewa pale alipoanzisha UDOM kwa kutaifisha jengo la chama Tawala, leo hii vijana wanapiga kitabu pale. kwenye katiba labda bashite aje atuelezee kwa undani zaidJK aliwashinda wapinzani wake wengi sababu kwanza alipita jeshini na huko alitengeneza network kubwa kina (Makamba,Chiligati,Nnauye,Kinana ) na baadae alivyorudi kwenye chama akatengeneza network kubwa (Singida,Zanzibat,Lindi,DSM)akatengeneza network TISS na JWTZ ilimsaidia sana na pia JK alikuwa ana sifa ya ucheshi tofauti na wanasiasa wengi hii iliwafanya hata wapinzani wake kutomwelewa,wakajisahau.Licha ya kugombana na kina Mwandosya,Sita,Malima,Mangula lakini aliweza kuwatuliza utadhani hakuwa na ugomvi nao huko nyuma.Uhusiano wake na wapinzani (Zitto,Maalim Seif,Lipumba,Mrema,Mbatia) ilikuwa ngumu sana kuelewa msimamo wake .Mahali ambapo JK hajaeleweka ni kwenye katiba mpya,je ni kweli alikuwa anataka katiba mpya au alitupiga
Ni wakati gani wa utawala Mtukufu Rais lilitumika?Wakati huo Rais akiitwa Mtukufu Rais. Ila nakumbuka Rais Mwinyi alipoingia madarakani alipiga marufuku kuitwa Mtukufu.
Ndiyo hapo napojiuliza. Kabla ya Kighoma kuna jamaa yangu alitumia namba kwenye mtihani. Leo tunaambiwa Kighoma Malima ndiye aliyeanzisha namba!!Hili suala la namba kwenye mitihani naona lina ushabiki usio na ukweli. Hivi unajua namba kwenye mitihani zilianza kutumika lini badala ya jina?
Wakati Tanzania ilienda kuomba msaada mawazizi wa nchi wahisani wakashangaa inakuwaje nchi inaomba msaada amabao waziri wao mmoja ana kiasi kingi sana cha fedha kuliko hicho tunachoomba? Sasa wakati Prof Kaenda London kuchukua bil 3, kati ya zile nyingi ili aje ajenge NRA (ilikuwa na mwelekeo wa kidini) akakuta account iko frozeni aka RIP. (Ni story tu).hilo deni alilokuwa anadaiwa kama ni lake binafsi kwa thamani ya pesa kipindi kile basi alikuwa na kila dalili za ufisadi,hivi huyu si ndiye alienda london akakuta bilioni tatu imkuwa frozen!!!!!
Kuwa mtoto wa mjini inasaidia sana kwenye maisha maana kuna mengine huwa unatumia uzoefu wa maisha kuyatatua na kupangua mengi.
Jk utoto wa mjini umemsaidia sana kuongoza nchi maana tofauti na hapo angeshaanguka mapema mno, alipigana sana vita ndani na nje, kuinusuru CCM na Serikali pia. Kupambana na EL akiwa ndani ya system na mamluki tele, kupambana wazee waliochukizwa na kuongoza kwake nchi, kupambana na wapinzani kama CDM, kuwatumikia watanzania waridhike, kupambana na makundi ya kidini yaliyotumiwa kama katoliki ni vita ngumu sana, Mzee BUTIKU kuna siku kipindi cha kampeni alitamka haya maneno
"mumshukuru sana huyu kijana kuwafikisha hapa"..
Pumzika mzee wetu JK, vijana wako wa samora na viunga vya downtown tunakumiss sana..
nani alimuua malima London?Wakati Tanzania ilienda kuomba msaada mawazizi wa nchi wahisani wakashangaa inakuwaje nchi inaomba msaada amabao waziri wao mmoja ana kiasi kingi sana cha fedha kuliko hicho tunachoomba? Sasa wakati Prof Kaenda London kuchukua bil 3, kati ya zile nyingi ili aje ajenge NRA (ilikuwa na mwelekeo wa kidini) akakuta account iko frozeni aka RIP. (Ni story tu).
Soma kwa makini hii barua kisha tuambie umejifunza nini? Na kwa nini zamani mawaziri walikuwa wanajibika kuliko siku hizi?
View attachment 511436
Akaja akamuingiza Adam K. Malima ktk serikali yake ili kuipooza ya marehemu Kighoma Malima.Jk ni Mwanasiasa na hiyo ndio ilikuwa Kick yake 1995 mpaka akaingia 3 bora ya Mbio za Urais kwa kuwa alionekana ni Mwanasiasa Jasiri ( alikuwa na Miaka 5 tu Kama Waziri akiwa na Miaka 45) kumtuhumu Mwanasiasa Kama Prof Kighoma Tena wa Enzi zile
Prof Malima alikuwa Mjenzi mzuri sana wa hoja lakin tusisahau Jk alikuwa anasoma Majibu ya CAG sio Mawazo yake
Zile zilikuwa Figisu za Mbio za Urais 1995 huku ikionekana Prof Malima alikuwa na nia ya Urais!
Kwny Siasa zetu kuonesha Nia ya kuwania Urais ni Changamoto sana
Kwa haraka haraka naweza kusema Jk ndio Waziri Pekee wa Fedha kwa zaid ya Miaka 20 aliyetoka pale Hazina bila ya Msuko suko
Kighoma Malima, Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea
Prof Simon Mbilinyi 1996 Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea kisiasa
Daniel Yona na Mramba Wizara ya Fedha ndio chanzo cha Matatizo ya kufungwa yaliyomkuta
Zakhia Hamdani Meghji Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea 2007
Mustapha Mkulo Wizara ya Fedha ndio iliyosababisha akapotea
William Mgimwa Wizara ya Fedha ndio ilipelekea Kifo chake
Jk ndio pekee kafanikiwa kutoka Treasury na kuendelea na Siasa zake Tangu 1990!
Mkuu unapokuja Na direct accusation namna hiyo bila shaka utakuwa na undoubted evidence.hilo deni alilokuwa anadaiwa kama ni lake binafsi kwa thamani ya pesa kipindi kile basi alikuwa na kila dalili za ufisadi,hivi huyu si ndiye alienda london akakuta bilioni tatu imkuwa frozen!!!!!
Ndio jamaa alikuwa waziri wa elimujamaa aliwabanaje serikali? kwani alishawahi kuwa waziri wa elimu? na enzi zile bunge chama kimoja kulikuwa kunakubanana kweli? hebu pitia vitabu vyako vya historia vizuri
Huyu wa sasa je amekataaa?Mkapa alipoingia ndiyo alikataa kuitwa Mtukufu. Mwinyi hadi anaondoka alikuwa akiitwa "Mtukufu Rais Ali Hassan Mwinyi".
Jk ni Mwanasiasa na hiyo ndio ilikuwa Kick yake 1995 mpaka akaingia 3 bora ya Mbio za Urais kwa kuwa alionekana ni Mwanasiasa Jasiri ( alikuwa na Miaka 5 tu Kama Waziri akiwa na Miaka 45) kumtuhumu Mwanasiasa Kama Prof Kighoma Tena wa Enzi zile
Prof Malima alikuwa Mjenzi mzuri sana wa hoja lakin tusisahau Jk alikuwa anasoma Majibu ya CAG sio Mawazo yake
Zile zilikuwa Figisu za Mbio za Urais 1995 huku ikionekana Prof Malima alikuwa na nia ya Urais!
Kwny Siasa zetu kuonesha Nia ya kuwania Urais ni Changamoto sana
Kwa haraka haraka naweza kusema Jk ndio Waziri Pekee wa Fedha kwa zaid ya Miaka 20 aliyetoka pale Hazina bila ya Msuko suko
Kighoma Malima, Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea
Prof Simon Mbilinyi 1996 Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea kisiasa
Daniel Yona na Mramba Wizara ya Fedha ndio chanzo cha Matatizo ya kufungwa yaliyomkuta
Zakhia Hamdani Meghji Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea 2007
Mustapha Mkulo Wizara ya Fedha ndio iliyosababisha akapotea
William Mgimwa Wizara ya Fedha ndio ilipelekea Kifo chake
Jk ndio pekee kafanikiwa kutoka Treasury na kuendelea na Siasa zake Tangu 1990!
Kama ni hivyo mbona Prof. Malima kwenye barua anamlalamikia alivyomtenda? Si pesa hizo?Na hiyo ndo ikuonyeshe kwamba siasa ni maslahi. Mwisho wa Siku wote tunataka mkono uende kinywani. Hii ya Ngosha kuahidi maisha bora after years of pain who cares? Ndo maana hata CDM JK wanammiss. Si kwa sababu ya uzuri wa utawala wake Bali alitoa nafasi mwenye nguvu apate kulingana na urefu wa kamba yake. Ukiwa Fisadi Haya...ukiwa na access bales a za umma Haya......I mean kwa JK..it was wealth creation. Hela inapatikanaje......haimuhusu.
Wakati huo Rais akiitwa Mtukufu Rais. Ila nakumbuka Rais Mwinyi alipoingia madarakani alipiga marufuku kuitwa Mtukufu.