Barua ya Kighoma Malima kujiuzulu, amlaumu Kikwete

Sio kwa maana hiyo. The man was radicalising young Muslims that's why God never let him prosper. He acted accordingly. This is Tanzania Bwana.
kwahiyo God akamuona malima ni hatari kuliko hata kina Baghdad au kina bush?,


mawazo yako yakikulima sana mkuu,tena alieshia darasa la tatu.

Malima alikufa kwa ugonjwa kama wanavyokufa viumbe wengine,

wazo kuwa eti mungu aliona anawaradicalise watu akaamua kumchukua ni wazo la kijinga sana na la mtu asie na elimu wala uelewa wa mambo,
of all the people dunia hii ndo mungu wako akamchagua malima?,
 
Kutukanwa ni nini. Watu wasio hatia wanchinjwa, wanuawa. Na sasa kibiti watu wanuawa kila uchao na wenye imani butu.
Na laiti kwa mwenendo wake Kama angekuwepo sidhani Kama Taifa lingekuwa hili tulilonalo sasa. Aliligeuka Taifa.
Sikubaliani na dhuluma dhidi ya kundi lolote lakini pia sitaki kuamini kwamba hamtaki kuona kuwa historia ndio iliyoleta madhara makubwa kwa Jamii ambazo mwarabu alizipitia. Na laiti kama tutakubaliana kurekebisha hili, ambalo kwa hakika kwa sasa kuna juhudi kubwa zinafanyika kuboresha Shule za seminary za kiislam. Hii itasaidia sana sana kuweka uwiano katika maeneo mengi ya kiutawala.
Tuangalie tulipojikwaa sio tulipoangukia.
Mwisho, tunahitajiana sana na hatuna sababu ya kutunishiana misuli. Tanzania ni yetu sote. Tumezaliwa hapa na tutazikwa hapa. Mungu wabariki watanzania wote pasipo kujali imani zao maana wote wanatafuta njia sahihi ya kukufikia. Amen
ala..!!kumbe wewe ndo uko radicalised maana hata unachoongea hasa hakieleweki,
hebu futa povu ongea kwa hatua na utuwekee hizo tuhuma tuzione maana unaenda holela hueleweki
 
Zamani zamani kweli, Kiongozi Mkubwa Kama Governor akazikwe Malapa?

Siku hizi wasiotaka kuzikwa Vijijini kwao Kama Muslim unazikwa Makaburinya Kisutu na Christian Kinondoni

Makapuku wanaambiwa Makaburi yamejaa lakin kila Siku Watu wanazikwa!
Pana mengi ya kujifunza waqt umeenda wapi?
 
Huyu ndiye aliyejitahidi kuondoa mfumo Kanisa na kujuana wakati wa kusahihisha mitihani. Atakumbukwa kwa kuanzisha Namba badala ya majina. Angalau ilileta ahueni,japo tatizo halikwisha,labda ndo udini ausemao jamaa,huo wa kuficha majina.

Hili suala la namba kwenye mitihani naona lina ushabiki usio na ukweli. Hivi unajua namba kwenye mitihani zilianza kutumika lini badala ya jina?
 
Pamoja na usungura wake kwenye politics lakini JK ana ubinaadamu sana, yaani kama uliwahi kumgusa positively katika maisha yake basi hakunyimi fadhila once the chance comes.

Mwandosya alipewa uwaziri usio na wizara maalum huku afya yake ikiwa dhoofu bin hali.

EL pamoja na kufanyiwa figisu lakini alipewa mazingira afanye siasa ( JK angetaka basi EL hata kampeni asingefanya kwa raha mustarehe)
Sio fadhila hiyo ni njia mmojawapo ya kummaliza adui yako,kumbuka licha ya kuwa na ugomvi huko nyuma lakini Mwandosya alimsaidia sana JK kupata kura nyingi sana Mbeya,nafikiri ndio mkoa ambao JK alipata kura nyingi sana
 
kama sijasahau ,,huyu jamaa ndiye , aliye wabana serikali ,,,kuwepo na mfumo wa watahiniwa kuwa na namba baadala ya kutumia majina........akidai kuwa waislamu walikuwa wanaonewa kwenye usahihishwaji wa mitihani na Baraza la mitini........waislamu wanamukumbuka sana!.
jamaa aliwabanaje serikali? kwani alishawahi kuwa waziri wa elimu? na enzi zile bunge chama kimoja kulikuwa kunakubanana kweli? hebu pitia vitabu vyako vya historia vizuri
 
JK aliwashinda wapinzani wake wengi sababu kwanza alipita jeshini na huko alitengeneza network kubwa kina (Makamba,Chiligati,Nnauye,Kinana ) na baadae alivyorudi kwenye chama akatengeneza network kubwa (Singida,Zanzibat,Lindi,DSM)akatengeneza network TISS na JWTZ ilimsaidia sana na pia JK alikuwa ana sifa ya ucheshi tofauti na wanasiasa wengi hii iliwafanya hata wapinzani wake kutomwelewa,wakajisahau.Licha ya kugombana na kina Mwandosya,Sita,Malima,Mangula lakini aliweza kuwatuliza utadhani hakuwa na ugomvi nao huko nyuma.Uhusiano wake na wapinzani (Zitto,Maalim Seif,Lipumba,Mrema,Mbatia) ilikuwa ngumu sana kuelewa msimamo wake .Mahali ambapo JK hajaeleweka ni kwenye katiba mpya,je ni kweli alikuwa anataka katiba mpya au alitupiga
 
Back
Top Bottom