Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,206
- 33,223
kwahiyo God akamuona malima ni hatari kuliko hata kina Baghdad au kina bush?,Sio kwa maana hiyo. The man was radicalising young Muslims that's why God never let him prosper. He acted accordingly. This is Tanzania Bwana.
mawazo yako yakikulima sana mkuu,tena alieshia darasa la tatu.
Malima alikufa kwa ugonjwa kama wanavyokufa viumbe wengine,
wazo kuwa eti mungu aliona anawaradicalise watu akaamua kumchukua ni wazo la kijinga sana na la mtu asie na elimu wala uelewa wa mambo,
of all the people dunia hii ndo mungu wako akamchagua malima?,