Barua ya Kighoma Malima kujiuzulu, amlaumu Kikwete

jamaa aliwabanaje serikali? kwani alishawahi kuwa waziri wa elimu? na enzi zile bunge chama kimoja kulikuwa kunakubanana kweli? hebu pitia vitabu vyako vya historia vizuri
Na wewe tueleze miaka kati ya 85-87 nani alikuwa waziri wa Elimu? Kama kuna member humu a likuwa mwalimu kipindi kile Morogoro, akumbuke tulivyoitwa Kilakala Girls na cheche alizotoa.
 
Mkuu unapokuja Na direct accusation namna hiyo bila shaka utakuwa na undoubted evidence.

Naomba tuthibitishie hiyo freeze ya BILLIONS TATU ZA LONDON.
ukisoma vizuri kuhusu bilioni tatu utaona maelezo yangu yamekuja kwa mfumo wa swali,na wewe unaweza kusaidia kulijibu
 
JK aliwashinda wapinzani wake wengi sababu kwanza alipita jeshini na huko alitengeneza network kubwa kina (Makamba,Chiligati,Nnauye,Kinana ) na baadae alivyorudi kwenye chama akatengeneza network kubwa (Singida,Zanzibat,Lindi,DSM)akatengeneza network TISS na JWTZ ilimsaidia sana na pia JK alikuwa ana sifa ya ucheshi tofauti na wanasiasa wengi hii iliwafanya hata wapinzani wake kutomwelewa,wakajisahau.Licha ya kugombana na kina Mwandosya,Sita,Malima,Mangula lakini aliweza kuwatuliza utadhani hakuwa na ugomvi nao huko nyuma.Uhusiano wake na wapinzani (Zitto,Maalim Seif,Lipumba,Mrema,Mbatia) ilikuwa ngumu sana kuelewa msimamo wake .Mahali ambapo JK hajaeleweka ni kwenye katiba mpya,je ni kweli alikuwa anataka katiba mpya au alitupiga
Nimependa signature yako lakini wengine wanadanganya majina kama akina Bashite.
 
ala..!!kumbe wewe ndo uko radicalised maana hata unachoongea hasa hakieleweki,
hebu futa povu ongea kwa hatua na utuwekee hizo tuhuma tuzione maana unaenda holela hueleweki
Akili mgando kama ya kwako haiwezi kuelewa. Maana kwenye boksi ulimofungiwa hata halina tundu kuweza kuona nje. Kaa humohumo alshabaab.
 
kwahiyo God akamuona malima ni hatari kuliko hata kina Baghdad au kina bush?,


mawazo yako yakikulima sana mkuu,tena alieshia darasa la tatu.

Malima alikufa kwa ugonjwa kama wanavyokufa viumbe wengine,

wazo kuwa eti mungu aliona anawaradicalise watu akaamua kumchukua ni wazo la kijinga sana na la mtu asie na elimu wala uelewa wa mambo,
of all the people dunia hii ndo mungu wako akamchagua malima?,
Naona Wakati wa matukio yake wewe bado ulikuwa kwenye nepi. Hivyo huwezi kuelewa maana umekwisha aminishwa hivo.
 
Akili mgando kama ya kwako haiwezi kuelewa. Maana kwenye boksi ulimofungiwa hata halina tundu kuweza kuona nje. Kaa humohumo alshabaab.
wewe hazikutoshi,ndo maana huwezi hata kujenga hoja,
reasoning capacity yako ni absolutely zero,juu huna exposure lakini unathubutu kuongea pumba tu bila kuziprove mbele ya watu wenye akili,
nishakwambia anza kuprove hoja zako nicrush moja baada ya nyingine,tuone kati yako na mimi nani ana akili kumzidi mwenzake.
Nipo hapa masaa 24 lete hoja zako tuone kama kweli zimo au hazimo
 
Akili mgando kama ya kwako haiwezi kuelewa. Maana kwenye boksi ulimofungiwa hata halina tundu kuweza kuona nje. Kaa humohumo alshabaab.
wewe hazikutoshi,ndo maana huwezi hata kujenga hoja,
reasoning capacity yako ni absolutely zero,juu huna exposure lakini unathubutu kuongea pumba tu bila kuziprove mbele ya watu wenye akili,
nishakwambia anza kuprove hoja zako nicrush moja baada ya nyingine,tuone kati yako na mimi nani ana akili kumzidi mwenzake.
Nipo hapa masaa 24 lete hoja zako tuone kama kweli zimo au hazimo
 
Naona Wakati wa matukio yake wewe bado ulikuwa kwenye nepi. Hivyo huwezi kuelewa maana umekwisha aminishwa hivo.
ha ha ha,we kweli mropokaji,mimi hapa nangojea point za akili uweke nami nizijengee hoja ,naona bado unaandika ugolo tu,
 
Naona Wakati wa matukio yake wewe bado ulikuwa kwenye nepi. Hivyo huwezi kuelewa maana umekwisha aminishwa hivo.
ha ha ha,we kweli mropokaji,mimi hapa nangojea point za akili uweke nami nizijengee hoja ,naona bado unaandika ugolo tu,
 
Sio fadhila hiyo ni njia mmojawapo ya kummaliza adui yako,kumbuka licha ya kuwa na ugomvi huko nyuma lakini Mwandosya alimsaidia sana JK kupata kura nyingi sana Mbeya,nafikiri ndio mkoa ambao JK alipata kura nyingi sana

Kumpa uwaziri ndiyo fadhila yenyewe, kumbuka nazungumzia second term ya JK siyo first term, First term Mwandosya alikuwa fiti kiafya
 
Kumpa uwaziri ndiyo fadhila yenyewe, kumbuka nazungumzia second term ya JK siyo first term, First term Mwandosya alikuwa fiti kiafya
Inaweza kuonekana ni kumpa fadhila lakini ilikuwa mbinu nzuri kupambana na Mwandosya.JK alikuwa hakubaliki kabisa Mbeya hata alivyofanya ziara Mbeya ile term ya kwanza wananchi walimpiga mawe na Mwandosya alikuwa na influence kubwa sana Mbeya (Waliamini atakuwa Raisi) na alikuwa mjumbe wa NEC licha ya JK (akimtumia Mwakipesile na mtoto wa Apson) kumfanyia fitina kama. JK angemtosa jamaa angemsumbua sana so kumpa uwaziri ilikuwa ni kuendelea kuwa naye karibu.Hapo ndio sehemu ambayo JK aliwazidi wapinzani wake ni ngumu kugundua kama amekasirika siku zote anatabasamu
 
Back
Top Bottom