Na alimuacha EL muda wote CCM kwa sababu hiyo. Na akafanikiwa....EL alikua karibu sana na huyu mzee sijui ni kwanini hakuweza kumsoma na kum "counter"
Swali linabaki pale pale. Mikakati hii ya JK ni ya kwake kipaji au ni jopo la watu?
Moja ya Zuga ya Jk kwa Lowassa ni kuwapa Nyadhifa Wafuasi muhimu wa Lowassa!
Mf.
Dkt Nchimbi akampa Mambo ya ndani
Sophia Simba akapewa Mambo ya Wanawake na Uwt
Na wengine wengi hata kwny Uteuzi aliwapa hii ilimpa faraja Lowassa akidhan Jk kishalegea
2010 nao Kina Lowassa wakamzuga jK kwa kumtuma Hamis Mgeja Mwnykt wa CCM Shinyanga kumchukulia na kumlipia form Jk ya Kugombea lakin hawakujua Kama jk kastukia