Yiyu Sheping
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 1,720
- 841
Kumbe fitna ameanza kitambo
Kumbe fitina inaweza kukupa neema/kukuneemesha kwa kiwango cha juu kiasi hicho tena ukaishi kwa amani!!! ?Ndio na lijua hili.
Na washawasha!
Kumbe fitna ameanza kitambo
Akili yako kama jina lako. Unatumia nguvu hata pasipostahili. Haya nenda kanye ukalale.Sina muda na wapumbavu kama wewe
Nimeisoma hiyo barua na nimevuta kumbukumbu ya Malima Enzi zile pamoja na homeboy wake JK na mwishoni nimeendelea kuamini vile vile nilivyokua najua kuhusu Kighoma Ali Malima kwamba wanao mtetea wengi ni kwasababu ya dini yake tu but huyu nae ni miongoni mwa maprofesa wa hovyo walio wahi kutokea nchini. Kwenye wizara zote alizopitia alivurunda. Kwangu mimi sina la maana la kujifunza from this guy. Alale salama mahali panapomtastahili.
Alijenga msikiti pale Mipango huyu jamaa.Prof. angekuwepo hadi leo sijui hali ingekuaje. Maana jamaa alikuwa mdini aliyepindukia Lipumba ni cha mtoto.
Hata kama motoni mkuu?Nimeisoma hiyo barua na nimevuta kumbukumbu ya Malima Enzi zile pamoja na homeboy wake JK na mwishoni nimeendelea kuamini vile vile nilivyokua najua kuhusu Kighoma Ali Malima kwamba wanao mtetea wengi ni kwasababu ya dini yake tu but huyu nae ni miongoni mwa maprofesa wa hovyo walio wahi kutokea nchini. Kwenye wizara zote alizopitia alivurunda. Kwangu mimi sina la maana la kujifunza from this guy. Alale salama mahali panapomtastahili.
Kama watu wanamuita Lowasa Fisadi sijui huyu malima aitweje? Simpendi Kikwete kama kiongozi aliyeulea ufisadi lakini tumshukuru kwa kumtoa kafara huyu mzee wa Kizaramo aliyekwenda kuoa msichana mbichi kule Mwanza wa kizinza ambaye alikua jirani yangu pale Nyamanoro wakati nipo mwanza Kikazi. Sijui watu wanamtetea huyu jamaa kwa kitu gani....Soma kwa makini hii barua kisha tuambie umejifunza nini? Na kwa nini zamani mawaziri walikuwa wanajibika kuliko siku hizi?
View attachment 511436
Inategemea na prof wa namna gani, huyu jamaa alikua prof mahili wa ufisadi na udini. Waulize waliokuwa pale Twakimu wakati yupo pale...Sina hakika kama ule msikiti Takwimu bado upo nitamuuliza rafiki yangu bado yupo Takwimu.Historically Wapumbavu huwa hawana cha kujifunza toka kwa ma Prof
Inategemea na prof wa namna gani, huyu jamaa alikua prof mahili wa ufisadi na udini. Waulize waliokuwa pale Twakimu wakati yupo pale...Sina hakika kama ule msikiti Takwimu bado upo nitamuuliza rafiki yangu bado yupo Takwimu.
Alijenga msikiti pale Mipango huyu jamaa.
Kama watu wanamuita Lowasa Fisadi sijui huyu malima aitweje? Simpendi Kikwete kama kiongozi aliyeulea ufisadi lakini tumshukuru kwa kumtoa kafara huyu mzee wa Kizaramo aliyekwenda kuoa msichana mbichi kule Mwanza wa kizinza ambaye alikua jirani yangu pale Nyamanoro wakati nipo mwanza Kikazi. Sijui watu wanamtetea huyu jamaa kwa kitu gani....
Baada ya kuondoka Mskt ukayeyuka?
Hapa tatizo sio upofesa. Tatizo ni hekma na busara za Kiongozi. Kwani mitume na manabii walikuwa wana elimu gani.Waliompa u Prof si Waislam na kigezo hakikuwa Uislam
The rest is history
Hapa tatizo sio upofesa. Tatizo ni hekma na busara za Kiongozi. Kwani mitume na manabii walikuwa wana elimu gani.
Hawa mapro wetu wanaendekeza sana njaa. Wengi ni walafi kwelikweli. Just kukuongezea idadi. Muone pale prof mbarawa. Kawaumiza watu huku yeye anajifanya kama hajui kitu. Alifukuzisha watu TCRA kwa uonevu, kisa maslahi binafsi. Angalia CEO wa Halotel kaonja mahabusu za bongo kisa mbarawa. Aliwalea na kuwapa jeuri ya kutokufuata taratibu na kanuni sasa wameishia hapo walipo. Faini 700mil.
Saa hizi washkaji zake wanashughulikiwa kimya kimya kikanuni na kisheria, yeye kimya. Haiwezi kupanua kimya chake kusema lolote. JPM, bravo. Kamua mpaka waseme pooo.
Hawa ndio maprof mnaowatetea. Hekima haifundishwi Shule, ni karama.
udini unao weweduuu watu mna kumbukumbu, alimumaliza Mdini mwenzie
Kama yapi yataje tuyajue hau yale ya kwa mtoro mtaa wa chura kkoo?Prof. kighoma Malina, Mwenyezi umpumzishe kwa amani, na amuwekee wepesi kaburini. Yapo mema mengi aliyoyafanya.
Kakikwete ni kafitini kweli kweli...ndo maana nasikia kalikimbia chuo cha Kijeshi Monduli kwa msukosuko...kakatembea kwa miguu toka Monduli hadi Usa River kalikopata gari ya kumbeba!Soma kwa makini hii barua kisha tuambie umejifunza nini? Na kwa nini zamani mawaziri walikuwa wanajibika kuliko siku hizi?
View attachment 511436
ha ha ha haVipi mkuu ulipigwa kibuti nini? Kati ya hawa wawili mmoja akimdukua mwengine kianalogia.
Na washawasha.