Barua ya J.E. Selander kuazimia ufunguzi wa Jiji la Dsm

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,726
32,818
image.jpeg
image.jpeg

Hii nimeifuma kwenye maktaba moja London...Moja katika Archives za Afrika katika koloni la Tanganyika.Hawa Waingereza wana siri nyingi sana juu ya Tanzania na Utajili wake.

Nimejifunza pia "siri" za harakati za Uhuru na namna Waingereza walivyomchukulia Nyerere.Nimefurahi kuona mambo fulani ambayo Sheikh Mohamed Said amekuwa akiyasema hapa na watu hawamuelewi.
Nitakuwa nawaibia kidogo kidogo ili ku-share pamoja

Juu ni barua ya Malkia wa Uingereza ambayo ni Royal Charter iliyoipa Dar es Salaam hadhi ya jiji tar 13 November, 1961. Kwa miaka hiyo, ili mji upate hadhi ya jiji ilihitaji vitu vitatu:
1. Sifa kuwa heshima, ukubwa na umuhimu katika nchi
2. Baraza la jiji lenye uwezo wa kutoa huduma zote za jiji kikamilifu - yaan usafi, usafiri, maji safi na taka, umeme, mipango miji, kutunza mandhari ya jiji
3. Jiji kuwa na wawakilishi wachaguliwao na wananchi kwa Uhuru, baraza la jiji lisiloingiliwa na kupata meya kwa njia ya kura.
Hayo nimeyatoa kama yalivo toka nyaraka za mkoloni wetu.

Chini ni Barua ya Director of Public Works akiliombea pesa daraja ambalo hata hivyo alikufa bila kuliona.Na hatimaye Daraja kupewa jina lake kwa heshima yake baada ya kujengwa 1930-31
 
Naam itakuwa ni nyongeza nzuri ya elimu
View attachment 363554 View attachment 363556
Hii nimeifuma kwenye maktaba moja London...Moja katika Archives za Afrika katika koloni la Tanganyika.Hawa Waingereza wana siri nyingi sana juu ya Tanzania na Utajili wake.

Nimejifunza pia "siri" za harakati za Uhuru na namna Waingereza walivyomchukulia Nyerere.Nimefurahi kuona mambo fulani ambayo Sheikh Mohamed Said amekuwa akiyasema hapa na watu hawamuelewi.
Nitakuwa nawaibia kidogo kidogo ili ku-share pamoja
 
Ndiyo faida ya kusoma na kujiridhisha au kutafiti kabla ya kuweka ushabiki kwenye mambo ya msingi.
 
View attachment 363554 View attachment 363556
Hii nimeifuma kwenye maktaba moja London...Moja katika Archives za Afrika katika koloni la Tanganyika.Hawa Waingereza wana siri nyingi sana juu ya Tanzania na Utajili wake.

Nimejifunza pia "siri" za harakati za Uhuru na namna Waingereza walivyomchukulia Nyerere.Nimefurahi kuona mambo fulani ambayo Sheikh Mohamed Said amekuwa akiyasema hapa na watu hawamuelewi.
Nitakuwa nawaibia kidogo kidogo ili ku-share pamoja

Juu ni barua ya Malkia wa Uingereza ambayo ni Royal Charter iliyoipa Dar es Salaam hadhi ya jiji tar 13 November, 1961. Kwa miaka hiyo, ili mji upate hadhi ya jiji ilihitaji vitu vitatu:
1. Sifa kuwa heshima, ukubwa na umuhimu katika nchi
2. Baraza la jiji lenye uwezo wa kutoa huduma zote za jiji kikamilifu - yaan usafi, usafiri, maji safi na taka, umeme, mipango miji, kutunza mandhari ya jiji
3. Jiji kuwa na wawakilishi wachaguliwao na wananchi kwa Uhuru, baraza la jiji lisiloingiliwa na kupata meya kwa njia ya kura.
Hayo nimeyatoa kama yalivo toka nyaraka za mkoloni wetu.

Chini ni Barua ya Director of Public Works akiliombea pesa daraja ambalo hata hivyo alikufa bila kuliona.Na hatimaye Daraja kupewa jina lake kwa heshima yake baada ya kujengwa 1930-31
Barafu,
Ahsante sana kwa haya uliyotuwekea hapa barzani.

Ningependa kujua wapi ulipoziona hizo nyaraka ni
Rhodes House, London au wapi?
 
Ikiwa unaamini wewe ndiye wa kwanza kugundua uwepo wa nyaraka kama hizo, basi tuna tatizo kubwa sana. Nashuku hii nayo ni njia mojawapo ya kupenyeza ngano za Mohamed Said humu kupitia mlango wa uani. Nakutakia kila heri...kwaheri, nilidhani kuna kipya! Haya wafyonza ilmu bila tafakuri karibuni mjimwage.
 
Ikiwa unaamini wewe ndiye wa kwanza kugundua uwepo wa nyaraka kama hizo, basi tuna tatizo kubwa sana. Nashuku hii nayo ni njia mojawapo ya kupenyeza ngano za Mohamed Said humu kupitia mlango wa uani. Nakutakia kila heri...kwaheri, nilidhani kuna kipya! Haya wafyonza ilmu bila tafakuri karibuni mjimwage.
Mag3,
Umenitaja na ukinitaja umeniita barzani.
Unadai naandika ngano.

Kipi ngano hapo chini?:

PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES

1. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.
2. The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press 2006, Nairobi. (Children’s book).
3. Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.
4. Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.
5. Uchaguzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.
6. In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).
7. Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).
8. Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)
9. The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).
10. Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).
11. The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).
12. Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).
13. Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).
14. Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA)Morogoro 11th April 2004).
15. Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).
16. Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, and Nairobi.
17. Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg. The paper was also presented at Islamic Propagation Centre International (IPCI) Durban.
18. Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.

Mag3,
Mwenye ngano ni wewe.

Huna unachokijua isipokuwa kuja barzani ukiwa umejaa kisirani
na kubughudhi.

Unataka kuigeuza JF pawe mahali pa kutukanana si pa mijadala.
 
Ikiwa unaamini wewe ndiye wa kwanza kugundua uwepo wa nyaraka kama hizo, basi tuna tatizo kubwa sana. Nashuku hii nayo ni njia mojawapo ya kupenyeza ngano za Mohamed Said humu kupitia mlango wa uani. Nakutakia kila heri...kwaheri, nilidhani kuna kipya! Haya wafyonza ilmu bila tafakuri karibuni mjimwage.
Mag3 mi sio "mpiga zumari" wa Sheikh Mohamed Said,wala sijasema mi ndio wa kwanza kuona hizo....
Hebu tembelea ule mjadala wa Uislam wa Mkwawa uone kama hapa kuna hilo unalodhani.Na wala hujaniuliza yapi hayo ya Mzee Mohamed Said ninayoyasema?
 
Back
Top Bottom