Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Nimekuwa najiuliza hawa Viongozi walioapa kuilinda na kufanya kazi zao kwa kuheshimu Katba kwanini wanasema uongo? Juzi ktk kikao cha Bunge Mmoja wa Wanachama waliofukuzwa na Chadema aliliambia Bunge kuwa alifukuzwa uanachama lakini kwa Nguvu na Sauti kali Naibu Spika akamwamuru eti Afute hiyo kauli na Naibu Spika akadai Bunge halijapokea Barua toka Chadema ya kuwafukuzwa Wakati Ofisi ya Bunge na Tume zote zilikwishapokea. Kutokana na Bunge kupokea hiyo Barua basi ni wazi Naibu Spika Kalidanganya Bunge na Wabunge wako kimya.
Je, kwanini Naibu Spika aseme Uongo?
Je, Mtu anapolidanganya Bunge Sheria inasemaje?
Kwanini Spika yupo Kimya licha ya kupokea hiyo Barua?
Kwanini Serikali inawalipa Mishahara Wabunge ambao hawana Sifa baada ya kufukuzwa na Chama chao? Mh. Rais huwa ni wizi wa Fedha za Serikali unaofanywa kwa Makusudi na Bunge.
Je, kwanini Naibu Spika aseme Uongo?
Je, Mtu anapolidanganya Bunge Sheria inasemaje?
Kwanini Spika yupo Kimya licha ya kupokea hiyo Barua?
Kwanini Serikali inawalipa Mishahara Wabunge ambao hawana Sifa baada ya kufukuzwa na Chama chao? Mh. Rais huwa ni wizi wa Fedha za Serikali unaofanywa kwa Makusudi na Bunge.