Barua ya Albert Einstein kumhusu Mungu yauzwa kwenye mnada kwa bei ya $2.9m(£2.3m).

Kubashiri ndo kufnyaje? Imani kila MTU anayo usijifche .....maana hapo mwenyew unaamini dunia ilitokea kwa bing bang. Hivyo kusema hutak kuamini Ni ujuaji tu usio na maana.
Kama hutaweza kuthibitisha mungu yupo pasipo kutumia misingi ya kiimani basi ni wazi kabisa hujui chochote

Hakuna mtu au sayansi ikielezea kua muamini dunia ilitokea kwa bing bang bila uthibitisho

Unajua palipo na uthibitisho imani haiwezikani kuwepo?

Watu wanaamini kwasababu hawajui, wakijua wanakua wamekwisha kuthibitisha hivyo hakuna tena imani, imani ni doubt hivi unaelewa hilo?
 
Kila jambo la kiimani au kisayansi lazima liwe na ushahidi hakuna jambo ambalo halina exhibit tunalopaswa kuliamini.........(uwepo wa Mungu tunaufasiri kwa hivi tuvionavyo) sifa kubwa ya Mungu Ni uumbaji na hata sisi ni products zake, sasa kama yeye alisema kaumba kitu flani na kumbe alichokiumba hakipo au kama sisi tunaamini kuwa kaumba vitu flani ambavyo havipo basi ungelikuwa na haki yakutuona mapunguani lakin sisi tunaamini kuwa hivi tuvionavyo vimeumbwa na yeye tusiemuona.......sasa imani yetu ina exhibit hauna sababu yakukebehi namna hii brother
Kama hutaweza kuthibitisha mungu yupo pasipo kutumia misingi ya kiimani basi ni wazi kabisa hujui chochote

Hakuna mtu au sayansi ikielezea kua muamini dunia ilitokea kwa bing bang bila uthibitisho

Unajua palipo na uthibitisho imani haiwezikani kuwepo?

Watu wanaamini kwasababu hawajui, wakijua wanakua wamekwisha kuthibitisha hivyo hakuna tena imani, imani ni doubt hivi unaelewa hilo?
 
Kila jambo la kiimani au kisayansi lazima liwe na ushahidi hakuna jambo ambalo halina exhibit tunalopaswa kuliamini.........(uwepo wa Mungu tunaufasiri kwa hivi tuvionavyo) sifa kubwa ya Mungu Ni uumbaji na hata sisi ni products zake, sasa kama yeye alisema kaumba kitu flani na kumbe alichokiumba hakipo au kama sisi tunaamini kuwa kaumba vitu flani ambavyo havipo basi ungelikuwa na haki yakutuona mapunguani lakin sisi tunaamini kuwa hivi tuvionavyo vimeumbwa na yeye tusiemuona.......sasa imani yetu ina exhibit hauna sababu yakukebehi namna hii brother
Kwaiyo huyo mungu hathibitishiki kua yupo si ndiyo?
 
mbona una quarto bila kuelewa kwanza? Au hujui maana ya kuthibitka!? Je! Unaweza kumthibtishiaje kipofu kuwa kuna kitu kinaitwa umeme? Em niambie Ni mbinu gani unaweza kutumia kumthibtshia MTU wa aina hii uwepo wa umeme?
Kwaiyo huyo mungu hathibitishiki kua yupo si ndiyo?
 
mbona una quarto bila kuelewa kwanza? Au hujui maana ya kuthibitka!? Je! Unaweza kumthibtishiaje kipofu kuwa kuna kitu kinaitwa umeme? Em niambie Ni mbinu gani unaweza kutumia kumthibtshia MTU wa aina hii uwepo wa umeme?
Usinitoe kwenye mstari kwa kuja na mifano mfu hapa

Ujajibu swali usihamishe mjadala kwa kivuli cha kipofu

Unakubali kua uwepo wa mungu hauthibitishiki?
 
Kila jambo la kiimani au kisayansi lazima liwe na ushahidi hakuna jambo ambalo halina exhibit tunalopaswa kuliamini.........(uwepo wa Mungu tunaufasiri kwa hivi tuvionavyo) sifa kubwa ya Mungu Ni uumbaji na hata sisi ni products zake, sasa kama yeye alisema kaumba kitu flani na kumbe alichokiumba hakipo au kama sisi tunaamini kuwa kaumba vitu flani ambavyo havipo basi ungelikuwa na haki yakutuona mapunguani lakin sisi tunaamini kuwa hivi tuvionavyo vimeumbwa na yeye tusiemuona.......sasa imani yetu ina exhibit hauna sababu yakukebehi namna hii brother
Wapi ulipo thibitisha yupo zaidi ya kuongelea vitu ambavyo vinaleta maswali zaidi dhidi ya ulichokieleza

Uwepo wa mungu tunautafsiri kwa tuvionavyo

Hapo unaleta maswali mengine kua visivyoonekana pia siyo kazi yake hapo kunamfanya asiwepo kutokana na mambo mengine ameshindwa kuyaumba
 
Yaishe mkuu nafikiri umenielewa vema ila ubishi tu lakin labda nikutoe tongotongo Japo najua unafny makusud kutoelewa......iko ivi kama kitu hakionekan kwa macho ila athar zake zinahisika au kuonekana kulingana na sifa ya kitu hicho....(nakupa zoezi ...em kafikirie umeme upepo nguvu na akili pia... Na sifa ya kila kimoja wapo kat ya hivyo....(huwa tunavithibitsha kuwa vipo kwa namna gani then lete mrejesho)))).
Wapi ulipo thibitisha yupo zaidi ya kuongelea vitu ambavyo vinaleta maswali zaidi dhidi ya ulichokieleza

Uwepo wa mungu tunautafsiri kwa tuvionavyo[\b]

Hapo unaleta maswali mengine kua visivyoonekana pia siyo kazi yake hapo kunamfanya asiwepo kutokana na mambo mengine ameshindwa kuyaumba
 
Yaishe mkuu nafikiri umenielewa vema ila ubishi tu lakin labda nikutoe tongotongo Japo najua unafny makusud kutoelewa......iko ivi kama kitu hakionekan kwa macho ila athar zake zinahisika au kuonekana kulingana na sifa ya kitu hicho....(nakupa zoezi ...em kafikirie umeme upepo nguvu na akili pia... Na sifa ya kila kimoja wapo kat ya hivyo....(huwa tunavithibitsha kuwa vipo kwa namna gani then lete mrejesho)))).
We pimbi uwe unaelewa

Umeme upo na na unathibitishika kama upo ndio mana hapa hatubishani kuto kuwepo kwake unaelewa

Nilikukataza mwanzo kua mi sibishi mungu yupo eti kwasababu haonekani, vitu vingi havionekani lakini vinathibitishika kua vipo pasipo mkanganyiko wowote mfano umeme upo unathibitishika kwa mfano mdogo tu upepo unathibitishika hata kwa ngozi yako kua upo,

Unapozungumzia kua mungu ndiye muumbaji wa kila kitu hutakiwi kuweka ukomo kwenye kumuelezea kama ulivyo fanya kuelezea vitu alivyo viumba yeye aliumbwa na nani

Ulisema kua kaumba viumbe vilivyo na visivyo hai

Swali je huyo mungu ni kiumbe hai au kisicho hai?
 
We pimbi uwe unaelewa

Umeme upo na na unathibitishika kama upo ndio mana hapa hatubishani kuto kuwepo kwake unaelewa

Nilikukataza mwanzo kua mi sibishi mungu yupo eti kwasababu haonekani, vitu vingi havionekani lakini vinathibitishika kua vipo pasipo mkanganyiko wowote mfano umeme upo unathibitishika kwa mfano mdogo tu upepo unathibitishika hata kwa ngozi yako kua upo,

Unapozungumzia kua mungu ndiye muumbaji wa kila kitu hutakiwi kuweka ukomo kwenye kumuelezea kama ulivyo fanya kuelezea vitu alivyo viumba yeye aliumbwa na nani

Ulisema kua kaumba viumbe vilivyo na visivyo hai

Swali je huyo mungu ni kiumbe hai au kisicho hai?
Kwa kuwa umeona kutukana ndio suluhisho LA dhamir yako sihukumu katka hilo.
.ila naenda kukujibu swali lako juu ya kile ninachojua kuhusu Mungu ninaemwabudu Mimi.
.
Mkuu.
.Mungu si nafsi iliyotokana na kitu kingne si matunda ya uumbaji hata ivo nashangaa kama Mungu angeiona hoja hii yote kuwa nyepesi namna hii.
Kwasababu tunafikiri kuhusu VYANZO Ndani ya muda na pia ndani yake .na kama muda nikitu kimojawapo kilichoumbwa na Mungu, basi kusema kuwa hali ilikuaje kabla ya kuwepo Mungu Ni kujipinga.

Mimi.naishia hapa mkuu mengne tutakutana nayo katka mazngira tunamoishi na yatatufundsha mengi kuhusu yeye aliye Mungu.


Ila matusi Ni dalili ya MTU ambaye hajitambui na hayuko tayari kujitambua.

Kwaheri
 
Kwa kuwa umeona kutukana ndio suluhisho LA dhamir yako sihukumu katka hilo.
.ila naenda kukujibu swali lako juu ya kile ninachojua kuhusu Mungu ninaemwabudu Mimi.
.
Mkuu.
.Mungu si nafsi iliyotokana na kitu kingne si matunda ya uumbaji hata ivo nashangaa kama Mungu angeiona hoja hii yote kuwa nyepesi namna hii.
Kwasababu tunafikiri kuhusu VYANZO Ndani ya muda na pia ndani yake .na kama muda nikitu kimojawapo kilichoumbwa na Mungu, basi kusema kuwa hali ilikuaje kabla ya kuwepo Mungu Ni kujipinga.

Mimi.naishia hapa mkuu mengne tutakutana nayo katka mazngira tunamoishi na yatatufundsha mengi kuhusu yeye aliye Mungu.


Ila matusi Ni dalili ya MTU ambaye hajitambui na hayuko tayari kujitambua.

Kwaheri
Hujathibitisha mungu yupo zaidi ya kunichanganyia habari zingine zinazo zaa maswali mengine mapya

Unavyo muelekeza mtu kuhusu utata wa neno au kitu usitumie maneno tata yenye kuzaa maswali mengine, ukifanya hivyo mjadala unauhamisha kwenda kwenye hilo neno tata ulilolitumia kama ufafanuzi wa utata wa neno la awali

Nafsi ni nini?

Hapo mjadala ulikua ni wewe uthibitishe mungu yupo pasipo kujipinga, sasa naona unataka kuupeleka kwingine kutokana na hoja unazotumia kuichambua mada yako kua na utata
 
Shetani hutumia wasomi sababu wanaaminiwa na watu. Mungu hutumia viumbe dhaifu na kuwapatia nguvu ili waguse imani za watu
 
Hauna ubongo kichwani maana unaandika utumbo tupu
mbona una quarto bila kuelewa kwanza? Au hujui maana ya kuthibitka!? Je! Unaweza kumthibtishiaje kipofu kuwa kuna kitu kinaitwa umeme? Em niambie Ni mbinu gani unaweza kutumia kumthibtshia MTU wa aina hii uwepo wa umeme?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom