Barua ya Albert Einstein kumhusu Mungu yauzwa kwenye mnada kwa bei ya $2.9m(£2.3m).

Kuna mahali niliwahi kusoma kuhusu freemason nikagungua hawa jamaa wapo vizuri kimtazamo,wao wanataka mtu awe huru wanataka binadamu ajifunze kujitegemea ajijue yeye ni nani wanataka muunganiko wa jamii moja yenye lugha 1 wanatamani hata kesho kama ulimwengu ungekua na watu welevu.
Ahsante kwa kutuletea taarifa hii.

Mi ni moja wasio amini uwepo wa Mungu kwa zaidi ya miaka kumi sasa.
Nilianza kuamini hivi toka nikiwa form two na bado ninadunda tu.

Mungu hakuwahi kuwepo, hayupo, hana sababu ya kuwepo na hata kuwepo milele.
 
Unauliza swali la aibu sana binadamu ni mnyama ka wanyama wengine utofaut alipewa utashi,kuhusu ukifa unaenda wapi je jiulize kuku akifa anaenda wapi na ngurue je na wanyama wote wakifa wanaenda wapi?ukifa habari yako imeisha hakuna maisha baada ya kifo,ok tukubali mnavo taka ni sayari ipi tunaenda kuishi?
ninachoshukuru wao wameishia kumkosoa Mungu ila Majibu mhimu ya maswali yetu yanayotusumbua kama haya(1)Tumetoka wapi? (2)kwanini tuko hapa? Lengo ni nini hasa
(3)Tunakwenda wapi baada ya Kufa? (4)Nini kisababishi pakuwepo na Wanyama binadamu wadudu na ndege(ihali vimekuepo katka maumbile tofaut ke/me ili vizaliane??( siku wakiweza kuyajibu haya na kuacha kumkosoa Mungu tu basi nitajiunga nao.
 
Ebu tuambie scientist wewe umegundua nini?
Reverse gravity

Number factors for lower mundesters

And other two things siwez weka hapa na bado ...vipo on progress

Mkuu usione watu tunaleta masihara sana humu , but we are also smart
 
Watu wengi wana tatizo hili. Ukiwa simple wanakudharau na kukubeza pasipo kuelewa CONTENT mtu aliyo nayo exceptionally. "Ni ngumu sana Mjinga kumtambua Mwerevu asipojitambua kwanza kwamba yeye ni Mjinga"
Reverse gravity

Number factors for lower mundesters

And other two things siwez weka hapa na bado ...vipo on progress

Mkuu usione watu tunaleta masihara sana humu , but we are also smart
 
Unauliza swali la aibu sana binadamu ni mnyama ka wanyama wengine utofaut alipewa utashi,kuhusu ukifa unaenda wapi je jiulize kuku akifa anaenda wapi na ngurue je na wanyama wote wakifa wanaenda wapi?ukifa habari yako imeisha hakuna maisha baada ya kifo,ok tukubali mnavo taka ni sayari ipi tunaenda kuishi?
Ungejibu yote basi ndugu? Mbona umeishia moja tu? Okay sawa nakubali mawazo yako iliurdhike japo hauko sahihi.....naomba niulize Kwa kuwa umekiri kuwa wanadam WAMEPEWA Utashi wa.........je! Aliewapa huo utashi Ni nani na yuko wapi?
 
Mungu yupo ila mungu si kitu wala si mwili mungu ni kama upepo uvumao ila nguvu yake ni kubwa mno.lakini pia naamini mungu baada ya kuumba ulimwengu akaachana na mambo ya ulimwengu aliamua aishi mafichoni ndio haonekani kwa macho ndio maana hata walokole wengi wao wanasema yesu ndio mungu yaani hata wao wanavurugwa.
Mungu wenu ipo siku utamuita ata nywele kama Leo hii umemuita upepo pole sana
 
Elya alishawah kumuuliza Mungu kwann unasema utawachoma moto watu uliowaumba Kwa mikono yako?? Mungu Hakumjibu ila alimwambia apande shamba LA ngano ..alipopanda wakat wa kuvuna akavuna ngano na magugu akachoma moto.... Mungu akamuuliza Elya kwann kuyachoma moto mbona uliyapanda kwa mikono yako!? Elya akamjibu haya niliyapanda na mvua toka mbinguni iliyanyeshea pamj na wenzake lakn yamekuwa magugu hayajaweza kuzaa ivo yastahili kuchomwa moto.... Ndipo Mungu akamkumbusha swali lake kwa mfno huohuo.....( hivyo basi uelewe kupitia hili)
Kama lengo la Mungu kukuumba nakukuleta dunia alafu ufe uende mbinguni tena ama jehanam.. na isitoshe anaujua mwanzo wako na mwisho wako...

Kwanini asinge umba huyu anapelekea jehanam na huyu mbinguni... Ama kuangamiza jehenam kwa neno tuu na kusambaratika..

Maswala ya sini yanafikirisha sanaa haswa ukiacha ubongo ufikirie na sio kuwaza yale tunayo karirishwa
 
Hujajibu swali hata moja hapo,unaleta porojo tu.
Umemjibu vema sana et watu walikosa majibu akat tayar tunayo kuwa Ni (Mungu kayayafnya!!)/ yey ndio hana majibu ...hoja zao Ni dhaifu et kitu kama hakionekan basi hakipo ...lakn kwakuwa yeye ndiye yeye anayebisha uwepo wa Mungu!, kazi ya kutoa ushahidi inamwangukia yeye mwenyewe.. Hivi vilivyopo vinatoka wapi? Kama vitu vilitokea kwenye big bang hivyo vilivyogongana vimetokea wapi? Kazi ya kurudi nyuma anayo yeye ..sisi tushamaliza kazi: ukirud nyuma na kurudi na kurudi utafika kwenye uwepo wa Mungu ambao sisi tunautafsri kwa hivi tuvionavyo......kwetu sisi hivi vyenye mpangilio wenye akili haviwezi kuanzia kwenye bahati nasibu wala ajali ya bing bang ..bahat nasibu haiwez kuwa na akili na nidhamu kama iliyopo ulimwenguni sembuse ajali!!!!! Mkuu watu kama hawa wasikupe shida ata hawajielewi. Kasome Ayubu 21 yoote. Utajifunza kitu kuhusu hawa jamaa
 
Unamwandiko mbaya sana kuliko watu wote Tanzania
Umemjibu vema sana et watu walikosa majibu akat tayar tunayo kuwa Ni (Mungu kayayafnya!!)/ yey ndio hana majibu ...hoja zao Ni dhaifu et kitu kama hakionekan basi hakipo ...lakn kwakuwa yeye ndiye yeye anayebisha uwepo wa Mungu!, kazi ya kutoa ushahidi inamwangukia yeye mwenyewe.. Hivi vilivyopo vinatoka wapi? Kama vitu vilitokea kwenye big bang hivyo vilivyogongana vimetokea wapi? Kazi ya kurudi nyuma anayo yeye ..sisi tushamaliza kazi: ukirud nyuma na kurudi na kurudi utafika kwenye uwepo wa Mungu ambao sisi tunautafsri kwa hivi tuvionavyo......kwetu sisi hivi vyenye mpangilio wenye akili haviwezi kuanzia kwenye bahati nasibu wala ajali ya bing bang ..bahat nasibu haiwez kuwa na akili na nidhamu kama iliyopo ulimwenguni sembuse ajali!!!!! Mkuu watu kama hawa wasikupe shida ata hawajielewi. Kasome Ayubu 21 yoote. Utajifunza kitu kuhusu hawa jamaa
 
Thats a problem na hua sion maana ya kuish kwa kujikweza

Ni stupidy life sijawah ona ...

Kuna muda napotea jukwaan hata for two month ....

Aaah ki baba swalehe ....
Watu wengi wana tatizo hili. Ukiwa simple wanakudharau na kukubeza pasipo kuelewa CONTENT mtu aliyo nayo exceptionally. "Ni ngumu sana Mjinga kumtambua Mwerevu asipojitambua kwanza kwamba yeye ni Mjinga"
 
Umemjibu vema sana et watu walikosa majibu akat tayar tunayo kuwa Ni (Mungu kayayafnya!!)/ yey ndio hana majibu ...hoja zao Ni dhaifu et kitu kama hakionekan basi hakipo ...lakn kwakuwa yeye ndiye yeye anayebisha uwepo wa Mungu!, kazi ya kutoa ushahidi inamwangukia yeye mwenyewe.. Hivi vilivyopo vinatoka wapi? Kama vitu vilitokea kwenye big bang hivyo vilivyogongana vimetokea wapi? Kazi ya kurudi nyuma anayo yeye ..sisi tushamaliza kazi: ukirud nyuma na kurudi na kurudi utafika kwenye uwepo wa Mungu ambao sisi tunautafsri kwa hivi tuvionavyo......kwetu sisi hivi vyenye mpangilio wenye akili haviwezi kuanzia kwenye bahati nasibu wala ajali ya bing bang ..bahat nasibu haiwez kuwa na akili na nidhamu kama iliyopo ulimwenguni sembuse ajali!!!!! Mkuu watu kama hawa wasikupe shida ata hawajielewi. Kasome Ayubu 21 yoote. Utajifunza kitu kuhusu hawa jamaa
Wapi nimesema siamini mungu yupo kwasababu haonekani kwa macho kama upepo?
 
Sitaki kuamini mi nataka kujua

Imani huja kwa kubashiri na ukweli haupati kwa kubashiri
Kubashiri ndo kufnyaje? Imani kila MTU anayo usijifche .....maana hapo mwenyew unaamini dunia ilitokea kwa bing bang. Hivyo kusema hutak kuamini Ni ujuaji tu usio na maana.
 

Similar Discussions

18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom