hakuna uchawi
JF-Expert Member
- Feb 15, 2018
- 655
- 661
Kuna mahali niliwahi kusoma kuhusu freemason nikagungua hawa jamaa wapo vizuri kimtazamo,wao wanataka mtu awe huru wanataka binadamu ajifunze kujitegemea ajijue yeye ni nani wanataka muunganiko wa jamii moja yenye lugha 1 wanatamani hata kesho kama ulimwengu ungekua na watu welevu.
Ahsante kwa kutuletea taarifa hii.
Mi ni moja wasio amini uwepo wa Mungu kwa zaidi ya miaka kumi sasa.
Nilianza kuamini hivi toka nikiwa form two na bado ninadunda tu.
Mungu hakuwahi kuwepo, hayupo, hana sababu ya kuwepo na hata kuwepo milele.