Mtayarishaji
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 291
- 199
Kuna vitu naona kama ubongo wangu haujafunguka kuvielewa.
Maisha bora = f (a, b, c, d,...etc)Mi niko zangu hapa natafuta TSh 100
najiuliza mbona mpaka leo chemical equation haijawahi kusolve shida zangu achilia mbali barua ya Einstein
maisha bora =f sijaelewa mkuuMaisha bora = f (a, b, c, d,...etc)
Ingawa hii siyo "chemical eqn"
Maana yake ni kwamba "maisha bora" ni seti (function) ya factors nyingi. Nilitaka kuonesha tu kwamba kila unachokisoma kina matumizi/application ktk maisha halisi ya kila siku (real life situation).maisha bora =f sijaelewa mkuu
Mungu yupoAhsante kwa kutuletea taarifa hii.
Mi ni moja wasio amini uwepo wa Mungu kwa zaidi ya miaka kumi sasa.
Nilianza kuamini hivi toka nikiwa form two na bado ninadunda tu.
Mungu hakuwahi kuwepo, hayupo, hana sababu ya kuwepo na hata kuwepo milele.
Zaburi 14Ahsante kwa kutuletea taarifa hii.
Mi ni moja wasio amini uwepo wa Mungu kwa zaidi ya miaka kumi sasa.
Nilianza kuamini hivi toka nikiwa form two na bado ninadunda tu.
Mungu hakuwahi kuwepo, hayupo, hana sababu ya kuwepo na hata kuwepo milele.
hio ndio kazi pekee aliyoekewa enstain ni ku-inspre watu tu, ili watu wapate kioo cha kujitazamia na tuamini kuwa elimu imenza na hawa watu ,lakini sio ukweli kuwa alivumbua na kua muanzilishi wa sheria za physics,kila elimu ipo kwa maelfu ya miaka, saivi kila kinachovumbuliwa anapewa mtu jina ili awe yeye ndio alovumbua,kama walovumbua simu,computer umeme,elimu ya kila kitu ilikuwepo kwa maelfu ya miaka,physics yote inajulikana kwa maelfu ya miaka.hii dunia ilikua na civilizations nyingi with technological advancement,ambazo historia zao zimepotwezwa,,,,,sisi tuendelee kuamini tu kila tuanchoambiwa
...ni nini hatima ya MTU kufa mkuu I,e binadamu akifa anaenda wapi ?Ahsante kwa kutuletea taarifa hii.
Mi ni moja wasio amini uwepo wa Mungu kwa zaidi ya miaka kumi sasa.
Nilianza kuamini hivi toka nikiwa form two na bado ninadunda tu.
Mungu hakuwahi kuwepo, hayupo, hana sababu ya kuwepo na hata kuwepo milele.
...duuuhMungu hayupo
Uo ndo ukweli mkubali mkatae....duuuh
Siijui, sina jibu....ni nini hatima ya MTU kufa mkuu I,e binadamu akifa anaenda wapi ?
...nataka kujua mtazamo wako kwenye hili mkuu
Hicho kitabu ni cha kipuuzi tuZaburi 14
1 Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, Hakuna atendaye mema.
2 Toka mbinguni Bwana aliwachungulia wanadamu, Aone kama yuko mtu mwenye akili, Amtafutaye Mungu.
3 Wote wamepotoka, wameoza wote pamoja, Hakuna atendaye mema, La! Hata mmoja.
4 Je! Wote wafanyao maovu hawajui? Walao watu wangu kama walavyo mkate, Hawamwiti Bwana.
5 Hapo ndipo walipoingiwa na hofu nyingi, Maana Mungu yupo pamoja na kizazi cha haki.
6 Mnalitia aibu shauri la mtu mnyonge, Bali Bwana ndiye aliye kimbilio lake.
7 Laiti wokovu wa Israeli utoke katika Sayuni! Bwana awarudishapo wafungwa wa watu wake; Yakobo atashangilia, Israeli atafurahi.