Mimi nadhani ili kuilinda credibility ya forum hii naomba tupunguze ushabiki ktk mijadala kama kweli tunajadiliana kwa maslahi ya nchi.
Barua iliyopo mbele yetu inahusu malamiko kwa katibu mkuu wa ccm ya kutokubaliana kwa Mh Malima na uamuzi wa spika kuhusu kesi yake na Mengi.
Mtu ahitaji kuwa rocket scientist kuona kuwa ktk uamuzi ule Mh spika amejichanganya sana kama ilivyowekwa abundantly clear na Mh Malima mwenyewe.
Spika kuamua kuchukua uamuzi based on the (dissenting views) was a disaster but to make the matter even worse it has come to our knowledge that even those co called dissenting viewers one of them she was not even attending the proceedings!. Nakubali kuwa kuna Hansard na mtu anaweza akapata kumbukumbu za vikao but katika hili Bi Mkubwa Mama Malecela could do better kwa kuhudhuria vikao na ku air her views. Ikumbukwe hapa kamati ilikuwa inafanya kazi yake kimtindo wa mahakama kwa kuwaita mashahidi na kufanya cross examination na mashahidi hao. Nadhani Bi Mkubwa angekuwa good contributor kwenye hili badala kujifungua ndani na mzee Malecela na kuandika ripoti yenye kutilia shaka.
Kibaya zaidi ni kuwa, kama Mh Malima alivyodai ktk barua yake ilitakiwa ile ripoti ijadiliwe na bunge zima kwa sababu ile ni kamati ya Bunge na sio kamati ya Spika. Badala yake Spika nae akajifungia ndani na Mama Margaret Sitta ( kama alivyofanya mzee Malecela na Mama Anne ) akaandika ripoti nyingine badala ya ile ya kamati na akaenda "kuwasomea" wabunge kwani hawakupewa nafasi ya kuijadili hiyo "makeshift" ripoti. Uendeshaje wa bunge kibabe namna hii ndio unaopelekea wengi kupoteza imani na mzee huyo alieingia kwa mbwembwe na kujibodoa kuwa atafanya kazi kwa "speed na standards"
Lakini hata kama Mh Malima kama dissenting views zinavyo suggest atakuwa amekosa Spika alitakiwa amuadhibu kulingana na kanuni za Bunge haya mambo ya kutumia "busara zangu" zinanituma niwaite na niwasuluhishe zinatutia shaka sana sisi waumini wa demokrasia, na haya mambo ya kuitana chemba ndio mianya ya rushwa yenyewe hiyo tunayoipigia kelele kila uchao. Fedha za Umma Milioni 100 zimetumika leo unatuambia "busara zangu" zinanituma niwaite niwasuluhishe!
Naamini matumizi ya lugha chafu hayaruhusiwi humo, na kitendo cha kumwita Mh Kilaza nadhani ilikuwa abit below the belt, hata hivyo ktk hiki kama kuna kilaza basi ni huyu Mh Spika. Akiwa ni graduate wa Law he should be do better than that and indeed my faith on him is wearing thinner and thinner.
Mzee ES umekuwa ukisisitiza time and again kuwa Mh Malima ni mfanyakazi wa Manji. Tumetaka ushahidi hatujapata but umekuwa ukirudia tena na tena na sasa Mzee Mwanakijiji nae amejiunga ktk hilo au ndio ule msemo " create a lie, repeat it several times and then people will accept it to be the truth".
Nimejaribu kuangalia ktk CV ya Malima kama ilivyo ktk web ya Bunge sikuona hilo labda nirudie tena kukuomba Mzee ES kwa kuwa wewe una source nyingi na personally unawajua waheshimiwa wengi tusaidie ktk hilo na utupe ushahidi wa Mh kuajiriwa na Manji. Nilichofanikiwa kukiona mimi baina 2002 - 2005 alikuwa anafanya private consultancy, swali je miongoni mwa wateja wake alikuwa ni Bw Manji? and if so, does it amount to call someone kuwa ameajiriwa nae?
Kama nilivyotangulia kusema awali, mijadala hii kama inalenga kujenga nchi basi tuweke jazba na chuki pembeni. Suala hili lishakuwa balaa kwa taifa hili maana baada zile milioni 100 tulidhani yamekwisha kumbe badala ya kushuhudia the beginning of the end, kumbe we have merely see the end of the beginning!.
Mungu ibariki Tanzania
Barua iliyopo mbele yetu inahusu malamiko kwa katibu mkuu wa ccm ya kutokubaliana kwa Mh Malima na uamuzi wa spika kuhusu kesi yake na Mengi.
Mtu ahitaji kuwa rocket scientist kuona kuwa ktk uamuzi ule Mh spika amejichanganya sana kama ilivyowekwa abundantly clear na Mh Malima mwenyewe.
Spika kuamua kuchukua uamuzi based on the (dissenting views) was a disaster but to make the matter even worse it has come to our knowledge that even those co called dissenting viewers one of them she was not even attending the proceedings!. Nakubali kuwa kuna Hansard na mtu anaweza akapata kumbukumbu za vikao but katika hili Bi Mkubwa Mama Malecela could do better kwa kuhudhuria vikao na ku air her views. Ikumbukwe hapa kamati ilikuwa inafanya kazi yake kimtindo wa mahakama kwa kuwaita mashahidi na kufanya cross examination na mashahidi hao. Nadhani Bi Mkubwa angekuwa good contributor kwenye hili badala kujifungua ndani na mzee Malecela na kuandika ripoti yenye kutilia shaka.
Kibaya zaidi ni kuwa, kama Mh Malima alivyodai ktk barua yake ilitakiwa ile ripoti ijadiliwe na bunge zima kwa sababu ile ni kamati ya Bunge na sio kamati ya Spika. Badala yake Spika nae akajifungia ndani na Mama Margaret Sitta ( kama alivyofanya mzee Malecela na Mama Anne ) akaandika ripoti nyingine badala ya ile ya kamati na akaenda "kuwasomea" wabunge kwani hawakupewa nafasi ya kuijadili hiyo "makeshift" ripoti. Uendeshaje wa bunge kibabe namna hii ndio unaopelekea wengi kupoteza imani na mzee huyo alieingia kwa mbwembwe na kujibodoa kuwa atafanya kazi kwa "speed na standards"
Lakini hata kama Mh Malima kama dissenting views zinavyo suggest atakuwa amekosa Spika alitakiwa amuadhibu kulingana na kanuni za Bunge haya mambo ya kutumia "busara zangu" zinanituma niwaite na niwasuluhishe zinatutia shaka sana sisi waumini wa demokrasia, na haya mambo ya kuitana chemba ndio mianya ya rushwa yenyewe hiyo tunayoipigia kelele kila uchao. Fedha za Umma Milioni 100 zimetumika leo unatuambia "busara zangu" zinanituma niwaite niwasuluhishe!
Naamini matumizi ya lugha chafu hayaruhusiwi humo, na kitendo cha kumwita Mh Kilaza nadhani ilikuwa abit below the belt, hata hivyo ktk hiki kama kuna kilaza basi ni huyu Mh Spika. Akiwa ni graduate wa Law he should be do better than that and indeed my faith on him is wearing thinner and thinner.
Mzee ES umekuwa ukisisitiza time and again kuwa Mh Malima ni mfanyakazi wa Manji. Tumetaka ushahidi hatujapata but umekuwa ukirudia tena na tena na sasa Mzee Mwanakijiji nae amejiunga ktk hilo au ndio ule msemo " create a lie, repeat it several times and then people will accept it to be the truth".
Nimejaribu kuangalia ktk CV ya Malima kama ilivyo ktk web ya Bunge sikuona hilo labda nirudie tena kukuomba Mzee ES kwa kuwa wewe una source nyingi na personally unawajua waheshimiwa wengi tusaidie ktk hilo na utupe ushahidi wa Mh kuajiriwa na Manji. Nilichofanikiwa kukiona mimi baina 2002 - 2005 alikuwa anafanya private consultancy, swali je miongoni mwa wateja wake alikuwa ni Bw Manji? and if so, does it amount to call someone kuwa ameajiriwa nae?
Kama nilivyotangulia kusema awali, mijadala hii kama inalenga kujenga nchi basi tuweke jazba na chuki pembeni. Suala hili lishakuwa balaa kwa taifa hili maana baada zile milioni 100 tulidhani yamekwisha kumbe badala ya kushuhudia the beginning of the end, kumbe we have merely see the end of the beginning!.
Mungu ibariki Tanzania