Davey15
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 200
- 215
Hiyo ni sawa na mke asimpe unyumba mumewe unajua nini kitatokea......Ombi langu kwa makanisa: yawatenge CCM (wana CCM wasipewe huduma za kiroho)
Hiyo ni sawa na mke asimpe unyumba mumewe unajua nini kitatokea......Ombi langu kwa makanisa: yawatenge CCM (wana CCM wasipewe huduma za kiroho)
Haaa mbona tunaingiaga tukiwa tumevaa rozari,utatujuaje.Ombi langu kwa makanisa: yawatenge CCM (wana CCM wasipewe huduma za kiroho)
Mbona umewapotezea Bakwata? Hawaaminiki?
Mchakato ukishakuwa wa kuoneshana umwamba wa kisiasa hauwezi kufanikiwa.Hivi ni nani alishirikiana na serikali ya awamu ya nne kuhujumu mchakato wa katiba katika awamu za mwisho kabisa: Hadi Askofu Gwajima akaamua kumvaa kama mbogo ???
Hao huwa wanaangalia CCM imesimamia wapi nao wanasimamia hapohapo!