bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,105
Kwa Baba Mzazi
S.L.P 25
Iguha
Shikamoo,
Kwa upande wangu ni mzima, Naendelea kupambana na maisha huku mjini,
Niilipata barua yako ya ulyokuwa ukiniomba pesa kwa ajili ya matibabu na kwamba uko ktandan hujiwez na umestisha shughuli za chama chako cha Mapinduzi hapo kijijini
Naskitka kukwambia kuwa tangu nije hapa mjini nimekuwa mtu wa kutembea na bahasha ofisi baada ya ofisi.
Mda mwingne naambulia matusi tu, nakumbuka cku moja niliambiwa "Wewe Mjinga unaishi Tanzania hii kweli? utapataje kazi bila kutoa chochote?, hyo kauli ilinikata maini sana
Nimefanya juu chini kazi hakuna huku wengne wakdai niwe na mdhamini nitamtoa wapi hapa mjini? na kwingne wanadai Uzoefu wa miaka 5 wakati ndo kwanza natoka masomoni, hvyo hali yangu ni mbaya hata hela ya kununua STAMPU na BAHASHA ya kutuma hii barua nimekopa na mpaka sasa naishi kwa msamaria mwema bada ya kukoswa koswa na polce kama mzururaji.
Vip Habari za hapo nyumbani? najua Mnateseka sana, Vpi ile SLOPU yako iliyokuwa imepasuka upande haikumaliziwa na mvua za mwaka huu? Choo chako kile ulshachmba kingne au bado ni kile kile cha sink la kopo la THEMOSI? Vp ile bendera yako ya chama ilyokuwa imechanika bado inapepea pale juu ya nyumba yako?
Je picha za Marais Kuanzia Nyerere n.k ulyobandika chumbani kwako na kwenye mlango wako wa MABUA bado zpo tu?
Nilskia Ulichaguliwa tena kuwa M/kiti wa kijiji(CCM) kwa Mara ya 20 mfululizo japokuwa haikusaidii lolote zaidi ya Kuiba KUKU wa mama yangu kwa ajili ya wageni wa chama kutoka wilayani, huku nyie mkila MILENDA na majani ya MHOGO
Nilstkitka pia kuskia kuwa Mdogo wangu Eda nae ameshndwa kuendelea na masomo yake kwa kukosa ada ya Tsh 20,000/= Kwa mwaka. Sasa uenyekiti wako unakusaidia nini? UTAKUFA wewe!, Mkeo naye Aliugua mwezi jana bila msada wa Wasamaria mauti yangempata.
Pole sana!
Mwanao Jenje.
S.L.P 25
Iguha
Shikamoo,
Kwa upande wangu ni mzima, Naendelea kupambana na maisha huku mjini,
Niilipata barua yako ya ulyokuwa ukiniomba pesa kwa ajili ya matibabu na kwamba uko ktandan hujiwez na umestisha shughuli za chama chako cha Mapinduzi hapo kijijini
Naskitka kukwambia kuwa tangu nije hapa mjini nimekuwa mtu wa kutembea na bahasha ofisi baada ya ofisi.
Mda mwingne naambulia matusi tu, nakumbuka cku moja niliambiwa "Wewe Mjinga unaishi Tanzania hii kweli? utapataje kazi bila kutoa chochote?, hyo kauli ilinikata maini sana
Nimefanya juu chini kazi hakuna huku wengne wakdai niwe na mdhamini nitamtoa wapi hapa mjini? na kwingne wanadai Uzoefu wa miaka 5 wakati ndo kwanza natoka masomoni, hvyo hali yangu ni mbaya hata hela ya kununua STAMPU na BAHASHA ya kutuma hii barua nimekopa na mpaka sasa naishi kwa msamaria mwema bada ya kukoswa koswa na polce kama mzururaji.
Vip Habari za hapo nyumbani? najua Mnateseka sana, Vpi ile SLOPU yako iliyokuwa imepasuka upande haikumaliziwa na mvua za mwaka huu? Choo chako kile ulshachmba kingne au bado ni kile kile cha sink la kopo la THEMOSI? Vp ile bendera yako ya chama ilyokuwa imechanika bado inapepea pale juu ya nyumba yako?
Je picha za Marais Kuanzia Nyerere n.k ulyobandika chumbani kwako na kwenye mlango wako wa MABUA bado zpo tu?
Nilskia Ulichaguliwa tena kuwa M/kiti wa kijiji(CCM) kwa Mara ya 20 mfululizo japokuwa haikusaidii lolote zaidi ya Kuiba KUKU wa mama yangu kwa ajili ya wageni wa chama kutoka wilayani, huku nyie mkila MILENDA na majani ya MHOGO
Nilstkitka pia kuskia kuwa Mdogo wangu Eda nae ameshndwa kuendelea na masomo yake kwa kukosa ada ya Tsh 20,000/= Kwa mwaka. Sasa uenyekiti wako unakusaidia nini? UTAKUFA wewe!, Mkeo naye Aliugua mwezi jana bila msada wa Wasamaria mauti yangempata.
Pole sana!
Mwanao Jenje.