Barua kwa watanzania na wapenda haki wote

Mwana Mnyonge

JF-Expert Member
Mar 3, 2011
518
448
Mwana mnyonge
box jamii forums
Tanzania

kwa watanzania wote
box
tanzania

kwa ndugu zangu

yah:mwenendo wa bunge letu kuegemea upande wa serikali badala ya kutetea wananchi

husika na kichwa cha habari hapo juu,napenda kutoa malalamiko yangu kwa watanzania wenzangu kuhusu mwenendo wa bunge letu.
nadhani wote mnafahamu kwamba nchi yetu ina amini katika demokrasia ya vyama vingi vya siasa ,lakini katika utendaji wa bunge ni kama hawataki kuwatendea haki wapinzani,chama tawala kupitia spika wa bunge na wenyeviti wake wa bunge wamekua wana watendea vitendo visivyo vya misingi ya demokrasia hii sio haki kabisa.

Tukumbuke kwamba wabunge wote wanawakilisha wananchi kwa kuwa sisi sote hatuwezi kuingia bungeni,swali langu ni hili,hivi hii hali itaendelea mpaka lini? ,na mwisho wa siku nani ataumia katika hili?,sababu kuna mambo mengi sana wapinzani wanaongea kwa ajili ya manufaa ya watzanzania wanyonge.

Ni wakati wa kufanya maumuzi na kuwaambia wabunge kwamba wanatakiwa kufanya maamuzi kwa ajili ya watanzania wote.

wenu katika ujenzi wa tanzania
mwana mnyonge
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom