Mwana Mnyonge
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 518
- 448
Mwana mnyonge
box jamii forums
Tanzania
kwa watanzania wote
box
tanzania
kwa ndugu zangu
yah:mwenendo wa bunge letu kuegemea upande wa serikali badala ya kutetea wananchi
husika na kichwa cha habari hapo juu,napenda kutoa malalamiko yangu kwa watanzania wenzangu kuhusu mwenendo wa bunge letu.
nadhani wote mnafahamu kwamba nchi yetu ina amini katika demokrasia ya vyama vingi vya siasa ,lakini katika utendaji wa bunge ni kama hawataki kuwatendea haki wapinzani,chama tawala kupitia spika wa bunge na wenyeviti wake wa bunge wamekua wana watendea vitendo visivyo vya misingi ya demokrasia hii sio haki kabisa.
Tukumbuke kwamba wabunge wote wanawakilisha wananchi kwa kuwa sisi sote hatuwezi kuingia bungeni,swali langu ni hili,hivi hii hali itaendelea mpaka lini? ,na mwisho wa siku nani ataumia katika hili?,sababu kuna mambo mengi sana wapinzani wanaongea kwa ajili ya manufaa ya watzanzania wanyonge.
Ni wakati wa kufanya maumuzi na kuwaambia wabunge kwamba wanatakiwa kufanya maamuzi kwa ajili ya watanzania wote.
wenu katika ujenzi wa tanzania
mwana mnyonge
box jamii forums
Tanzania
kwa watanzania wote
box
tanzania
kwa ndugu zangu
yah:mwenendo wa bunge letu kuegemea upande wa serikali badala ya kutetea wananchi
husika na kichwa cha habari hapo juu,napenda kutoa malalamiko yangu kwa watanzania wenzangu kuhusu mwenendo wa bunge letu.
nadhani wote mnafahamu kwamba nchi yetu ina amini katika demokrasia ya vyama vingi vya siasa ,lakini katika utendaji wa bunge ni kama hawataki kuwatendea haki wapinzani,chama tawala kupitia spika wa bunge na wenyeviti wake wa bunge wamekua wana watendea vitendo visivyo vya misingi ya demokrasia hii sio haki kabisa.
Tukumbuke kwamba wabunge wote wanawakilisha wananchi kwa kuwa sisi sote hatuwezi kuingia bungeni,swali langu ni hili,hivi hii hali itaendelea mpaka lini? ,na mwisho wa siku nani ataumia katika hili?,sababu kuna mambo mengi sana wapinzani wanaongea kwa ajili ya manufaa ya watzanzania wanyonge.
Ni wakati wa kufanya maumuzi na kuwaambia wabunge kwamba wanatakiwa kufanya maamuzi kwa ajili ya watanzania wote.
wenu katika ujenzi wa tanzania
mwana mnyonge