USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,894
- 22,657
AiseeWote uliwataja ni wazee hawana sifa za kuajiriwa tena
AiseeWote uliwataja ni wazee hawana sifa za kuajiriwa tena
Iyo kazi siijui ni ipi lakani najua ni halali na ipo kisheria , nina wajibu wa kuomba moja kwa moja bila kupiga Kona Kona.
Asee sema tu ulichemka, hukusoma lile andiko lote ila umekoment kulingana na heading 😂😂 ahahahaaa!!Nilitaka kumjibu, nikajua hata ujumbe wangu nao hatokaa ausome
Ndugu tumia angalau akili kidogo. Hujameelewa kabisa mwandishi wa barua hii. Soma tena kwa kutumia akili utamwelewaUnamuombea Lissu kazi wewe unayo?
Mpaka unaandika huu upuuzi unaonesha ulivyo jobless, huo muda ungeutumia kuzalisha.
Mbona unamcheka mwenzako uandishi wake wakati wewe mwenyewe umeandika 'selikali' makini ?WAPUMBAVU HAWAJAWAHI KUISHA.
Mkuu kwa UANDISHI WAKO NA MANENO yako siamini kabisa kama una shahada Ya UANDISI.
Ungemshauri JIWE KWA KUMUULIZA kuwa HUU NI MWAKA WA TATU je ni NANI ALIMPIGA LISASI TUNDU LISSU???
NA kwa selikali makini kwa nini hawajakamatwa.
USITULETEE UONGO HUNA SHAADA YA UANDISI JINGALAO.
Kwa hiyo kama Watanzania wengi wanakosea tuache makosa yaendelee?..usimshambulie.
..waTz wengi wanazungumza, na kuandika namna hiyo.
Sipendi watu wanaotafuta umaarufu kupitia kwangu, sawa? Shukuru sana kwamba leo ni wikendi, vinginevyo ningekufurahisha kwa evidence after evidence after evidence! (Just kidding! Sisi sote Watanzania, OK??)Asee sema tu ulichemka, hukusoma lile andiko lote ila umekoment kulingana na heading 😂😂 ahahahaaa!!
Don't panic young boy!Sipendi watu wanaotafuta umaarufu kupitia kwangu, sawa? Shukuru sana kwamba leo ni wikendi, vinginevyo ningekufurahisha kwa evidence after evidence after evidence! (Just kidding! Sisi sote Watanzania, OK??)
Huyu sio Bia Yetu ambaye kaja kivingine baada ya uchafuzi mkuu.Eng. Zezudu,
S.L.P. .......,
Mbyct,
11/11/2020.
Rais wa JMT,
Dr. John P Magufuli,
S.l.p.. .....
Ikulu, Chamwino,
Dodoma.
Mpendwa Mheshiwa rais,
YAH. MAOMBI YA KAZI NDOGO AMBAYO ULIMUAHIDI TUNDU A LISSU KIPINDI CHA KAMPENI KAMA AGEACHANA NA KUPAMBANIA NAFASI HIYO AMBAYO ALIJUA KABISA HATA SHINDA
Husika na kichwa cha habari hapo juu , Kama kinavyojieleza, pia napenda kukupongeza kwa moyo wangu wote kwa ushindi wa kishindo ulioupata katika uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 28/10/2020, hongera sana.
Mimi ni kijana wa miaka 28+, Mtanzania, mwenye elimu ya shahada ya uhandisi umeme, kijana mwenye mtazamo mzuri kwa maendeleo ya nchi yetu, naweza sema I have bright future and prolific man.
Katika kipindi cha kampeni uliahidi kumpatia mwanasheria mzoefu na mwanaharakati mbobezi ndugu Tundu A Lissu kazi ndogo kama angeachana na kupambania nafasi ya urais ambayo asingeweza kushinda.
Nimechukua maamuzi haya ya kuomba hii nafasi baada ya Ndugu ,Tundu A Lissu kuondoka nchini na kwenda ughaibuni huko kwa mabeberu na kuikataa ofa ya kazi uliyompatia.
Hakika Mbinu, uwezo na akili ninazo za kuweza kufiti hiyo nafasi uliyomuhaidi ndugu yetu na Mtanzania mwenzetu, Tundu Lissu na najua Watanzania wengi wanaitolea macho hii nafasi na nimeona niwe wa kwanza kuandika barua ya wazi ya kuomba hii nafasi ambayo kama nitaipata nitaitumikia kwa moyo wote na kwa maslahi ya taifa kwa ujumla.
Wako mtiifu
Eng. Zezudu
Nakala:
Kwa wale wote wanao pambania nafasi hii ,
- Pascal Mayalla,
- USSR,
- Wengine wote ambao mnapamba kuipata hii nafasi .
Unajua jomba tukikutukana sijui utalalamika..usitufanye woooote watanzania Ni wajinga na hatuna akili...Lissu ndio mshahidi namba moja na dereva wake ndio mshahidi namba mbili labda..sasaaaa Kama Hawa majinga yamekataa kutoa ushirikiano kwa polisi unadhan upelelezi utaanzaje...dereva wao wamemficha na ambaye wengi tunaamini atakuwa anajua Siri iliyojificha...Lissu amekuwa mbuzi wa kafara tu na hata yeye anajua Siri iliyopo..hayo wanafanyiziana wenyewe kwa wenyewe wanamsingizia serikali..upumbavvvv mtupu..nawashukuru watanzania kwa maamuzi magumu ya kuwachinja wotee...waende kule wakajifunze siasa na adabu...wewe lissuu mtoto mdogo unaanzaje kumsema Magufuli kwa kazi yake iliyotukuka aliyoifanya kwa miaka mitano..WAPUMBAVU HAWAJAWAHI KUISHA.
Mkuu kwa UANDISHI WAKO NA MANENO yako siamini kabisa kama una shahada Ya UANDISI.
Ungemshauri JIWE KWA KUMUULIZA kuwa HUU NI MWAKA WA TATU je ni NANI ALIMPIGA LISASI TUNDU LISSU???
NA kwa selikali makini kwa nini hawajakamatwa.
USITULETEE UONGO HUNA SHAADA YA UANDISI JINGALAO.
Labda kwa sababu wanasemaga nyani? Haoni kundule.Mbona unamcheka mwenzako uandishi wake wakati wewe mwenyewe umeandika 'selikali' makini ?
Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
Sio ni watu tofautiHuyu sio Bia Yetu ambaye kaja kivingine baada ya uchafuzi mkuu.
Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
Kwani Lissu anakadi, Anna ,Kafulila, Mkumbo, mzee wa jalalani walikuwa na kadi au , wengine walikuwa wapinzani wakaitwa wakaunga mkono juhudiDuh kweli maisha magumu !!!
Raisi yupo jeiefu ??? pambana ndg unajidhalilisha hapa tu mitandaoni kwa kuweka identity zako hadharani !!
Kwanza una kadi wewe? Ni kada ???
Unajikomba komba na kujipendekeza walau jina lako liwe linazunguka mezani kwake ili ule uteuzi?? Waulize MATAGA hapo lumumba wamekaa benchi mda gani !!!
Anyway all the best
Subiri barua pepe toka kwa Lissu akikutuhumu kumsaliti kwa kuchukua nafasi yake, msaliti ni msaliti tu.Eng. Zezudu,
S.L.P. .......,
Mbyct,
11/11/2020.
Rais wa JMT,
Dr. John P Magufuli,
S.l.p.. .....
Ikulu, Chamwino,
Dodoma.
Mpendwa Mheshiwa rais,
YAH. MAOMBI YA KAZI NDOGO AMBAYO ULIMUAHIDI TUNDU A LISSU KIPINDI CHA KAMPENI KAMA AGEACHANA NA KUPAMBANIA NAFASI HIYO AMBAYO ALIJUA KABISA HATA SHINDA
Husika na kichwa cha habari hapo juu , Kama kinavyojieleza, pia napenda kukupongeza kwa moyo wangu wote kwa ushindi wa kishindo ulioupata katika uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 28/10/2020, hongera sana.
Mimi ni kijana wa miaka 28+, Mtanzania, mwenye elimu ya shahada ya uhandisi umeme, kijana mwenye mtazamo mzuri kwa maendeleo ya nchi yetu, naweza sema I have bright future and prolific man.
Katika kipindi cha kampeni uliahidi kumpatia mwanasheria mzoefu na mwanaharakati mbobezi ndugu Tundu A Lissu kazi ndogo kama angeachana na kupambania nafasi ya urais ambayo asingeweza kushinda.
Nimechukua maamuzi haya ya kuomba hii nafasi baada ya Ndugu ,Tundu A Lissu kuondoka nchini na kwenda ughaibuni huko kwa mabeberu na kuikataa ofa ya kazi uliyompatia.
Hakika Mbinu, uwezo na akili ninazo za kuweza kufiti hiyo nafasi uliyomuhaidi ndugu yetu na Mtanzania mwenzetu, Tundu Lissu na najua Watanzania wengi wanaitolea macho hii nafasi na nimeona niwe wa kwanza kuandika barua ya wazi ya kuomba hii nafasi ambayo kama nitaipata nitaitumikia kwa moyo wote na kwa maslahi ya taifa kwa ujumla.
Wako mtiifu
Eng. Zezudu
Nakala:
Kwa wale wote wanao pambania nafasi hii ,
- Pascal Mayalla,
- USSR,
- Wengine wote ambao mnapamba kuipata hii nafasi .
Uko siliasi na kazi?? Hauko siliasi na kazi me naona 😬mzee hili swali si la kidato cha pili .
Ok sio case , sine/ Cosine unapata Tangent
Na ukichukua Cosine/sine unapata cotangent , ambayo Ni reciprocal ya Tangent.
Nipo siliasi na kazi.
Sent using Jamii Forums mobile ap
Unamuulizaje mtu swali na humuoni anajibu anytime anataka ... hauoni ata gugo ..em nilulize chchte kama nitashindwa jibuDogo kweli wewe ni engineer hutanii.Pamoja na ni swali la kidato cha pili lakini kwa waliosoma art japo walipitia hesabu kidato cha pili ni rahisi kwao kusahau swali rahisi hivi vile wataona wameingia mrengo wa art.Seems you are serious keep it up wanaokubeza achana nao