Samahani mkuu kidogo sijakuelewa uliposema wakati AC inazalisha umeme ni AC yani Air Condition? Au ulikusudia kuandika wakati AC inazalishwa yani Alternating Current?Na ndio maana nimeamua kumpima kama kweli ni Engineer ajibu hili kwanza.Kuanzia hapo utafuata usaili mwingine nimeona nikimuwekea mahesabu mazito ya electrical kama mambo ya phase angle na sinusoidal kwenye sine wave wakati AC inazalisha umeme nitakuwa nimemuonea sana