Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Companero,
Kama wachagga wangehamua kuchukua mapato yao ya kahawa na kuipa serikali hili iwape huduma bure, je wangeweza kusomesha watoto wao na kufanya vitu vingine vya maendeleo?
Sehemu kubwa ya maendeleo yao inatokana na wao ku-control mapato yanayotokana na mazingira yao. Mapato ya migodi yanalipwa DSM na yanafanyiwa maamuzi DSM ambayo haina hata mgodi mmoja.
Shii nyamaza wasikusikie watakuita mkabila....niliwahi sema haya.Kuwa DSM ndio imefunga mikoa minyororo na hiyo gari la mendeleo likiondoka wao huchomoka.
Kw aujumla dara haina think tanks wa kuweza master mambo ya mikoa fulani fulani.Mikoa mingine ina mipango ambayo dar hawajafikia, matokeo yake dar wakileta yao wanarudisha hiyo mikoa nyuma.Watu wengi wanaopewa ulaji dar ni wale walioweza tawala maungumzo vijiweni, walifanikiwa kufanya matukio moja moja, na kupewa kitengo, ndio maana utasikia sijui Kova anaiwezea dar, si utasiki mwaibula, etc halafu wanadhaniwa kuwa walichofanya ni sahihi sana kwa vile kimetoa matokeo wanayoyapenda.Baadaye hulazimisha kwenda mikoani.
Nimefurahishwa sana kusikia sasa wanataka wakuu wa mikoa watoke mika husika.Niliwahi lalamika sana kuwa wakuu wa mikoa wengine wametoka mikoa ambayo kuna sector kwani hakuna kabisa, na hivyo wakienda ktk mikoa ambayo hizo sector zipo juu , wao huona kuwa wenzao walipofikia kuna tosha na mikoa yao ndio inastahili sasa kuangaliwa kma si kubebwa