TEKNOLOJIA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 4,306
- 2,559
Hivi hawa wanaomshabikia Lowassa na kumwona mkombozi mpya wa siasa za upinzani wamewahi kujiuliza kwanini wafuasi wa Lowassa bado wanashiriki ktk zoezi la kura za maoni ndani ya CCM?Hiyo inamaanisha bado kuna strong bond kati ya Lowassa na wafuasi wake kwa CCM na si rahisi uhusiano wao huu kuvunjika,to be honest Lowassa ataleta utaratibu wa KiCCM ndani ya CHADEMA, huo ndio ukweli.