Barua Kutoka Ughaibuni - Rais Uwezo Wa Kutatua Matatizo ya Umeme tunao

Zakumi.
Unataka washirikishe watanzania kwenye miradi ya umeme halafu 10% watapata wapi? Cha ajabu viongozi wa kitanzania hua wanakula 90% katika miradi badala ya hiyo 10%..
Kaka garama ya kumaliza tatizo la umeme wa tanzania its just 5% of our yearly budget but serikali wamefanya kua ni mradi wao wakuibia watanzania.
Hapa solution ni kura tu mwaka 2015 maana serikali yote inanuka rushwa.

Keynes,

Haya ni mambo ya uchumi na biashara. Na sioni sababu ya kusubiri 2015. Omar Bashir, Dikteta wa Sudan, anaweza kusimamia spectacular economic growth, kwani viongozi wetu wasiweze?
 
Keynes,

Haya ni mambo ya uchumi na biashara. Na sioni sababu ya kusubiri 2015. Omar Bashir, Dikteta wa Sudan, anaweza kusimamia spectacular economic growth, kwani viongozi wetu wasiweze?

Si umesema uwezo TUNAO/WANAO?

Miafrika...Aah yu wapi Nyani Ngabu?
 
Zakumi majuzi nilikuwa naongea na mwanafunzi mahiri wa Uhandisi wa Madini. Nikamuulizwa kwa nini mnashindwa kuendesha uchimbaji wa madini bila kutegemea wawekezaji kutoka nje. Akajibu kwa ufupi: HATUWEZI. Nilisikitika sana kusikia hivyo. Ila ndio halisi. Tunajiona HATUWEZI. Hivyo uwezo HATUNA.
 
ZA10,
Umesema ...tumekusikia.
Ujumbe utafika kunakohusika hopefully.

WoS,

Namuandikia Rais sio kubeza nafasi yake na juhudi zake za kazi. Nachoomba tu ni serikali kufikiria kuwa watanzania wenye kipato cha kitajiri, watanzania wenye kipato cha middle class na watanzania wenye kipato cha upper working class wanaweza kufanya mchango mkubwa katika sekta ya uzalishaji wa umeme bila kutegemea mwekezaji kutoka nje.

Kwa kuwa sekta hii ina uhakika katika uzalishaji na uuzaji, basi ianzishwe kampuni binafsi ya ubia. Watu tununue share. Kama serikali ya marekani inatoa tax incentives kwenye uwekezaji wa nishati, basi wafanyabiashara wetu na watu wenye kuwekeza ubia kwenye uzalishaji wa umeme wapewe taxi incentives.

Na hili kampuni hilo la ubia liendelee watafuteni wazalendo mahiri na waaminifu kuliendesha hili kupunguza risks.
 
Zakumi
Kwanza nikupe hongera kwa kuanzisha mdahalo huu muhimu sana kwa maendeleo ya Taifa. Tanzania ya leo inataka kuondokana na umasikini wakati takwimu zinaonyesha ya kwamba miezi 4 na siku kumi nchi inakuwa haina umeme.

Tanesco imekuwa kampuni kwa miaka 46 sasa, na ni ukweli usio pingika kwamba tatizo la umeme la Tanzania linasababishwa na uongozi mbovu ndani ya Tanesco. Viongozi wa Tanesco ni incompetant na mabwanyenye. Hawana sifa za uongozi wa biashara period.

Mimi ni mmoja kati ya wale wanao support kuvunjwa kwa Tanesco na kufanya makampuni mawili au matatu. Wazalishaji, wasambazaji na wauzaji. Huwezi kuwa na hizi kampuni tatu ndani ya mmoja. Serikali ishikilie uzalishaji, acheni makampuni binafsi waendeshe usambazaji na uuzaji.

Tunaweza kuzalisha umeme wetu wenyewe bila kuomba hata sumni kwa mtu yoyote.

Mt,

Muuza mkaa anapata faida. Muuza kuni anapata faida. Muuza mafuta anapata faida. Hizi nishati zote zinaweza kutolewa na muuza umeme. Hivyo uzalishaji wa umeme ni biashara ambayo watanzania wanaweza kuchangia kwa pesa zao wenyewe. Hii ni kwa sababu kila siku ni lazima watumie nishati.
 
Zakumi,

Nitakuunga mkono kwa kuleta makala nyingine iliyochambua uwezo wa vyanzo vya umeme/maji tulivyonavyo: The curious case of electricity dearth in Tanzania (Dec 17, 2010).

With its own words, in 1992, the Ministry of Water, Energy and Minerals reiterated that energy is needed to promote social and economic development for any developing nation like Tanzania. As is a need for any blueprint, the Tanzania energy policy had a long term perspective plan to increase the role of energy and water sector in revenue generation from 0.8% of the GDP in 1980 to 1.9% in 2000.

In the ‘80s, wood was the primary source of fuel while coal and natural gas were energy resources of high potential. Coal reserves were estimated to be about 1.2 million tons, while Songosongo and Mnazi Bay areas were projected to hold more than 29 cubic meters of high quality natural gas. Moreover, the country had a potential to produce 4.7 GW of hydropower electricity (HPE), but by 1992, only 10% of that capacity had been developed.

Tanzania National Electric Supply Company (TANESCO) had planned to increase power generation by installing stations at Pangani (60 MW), Lower Kihansi (162 MW), Upper Kihansi (62 MW), Masigira (80 MW), Rumakali (204 MW) and Mpanga (160 MW). Other potential sources were essentially at their technological infancy all over the world and comprised of biofuels, solar, wind, geothermal and ocean tides.

The energy policy planned to exploit the overly abundant sources of HPE, to develop and utilize coal, petroleum and natural gas resources, arrest wood fuel depletion by appropriate land management of development of efficient wood fuel stoves (refer to Tanzania Traditional Energy Development and Environment Organization plans) and develop efficient means to exploit forest and agricultural residues for production of energy for domestic usage. Last but not least and very important was to minimize energy costs through strengthening of the technologies for energy generation, transmission, distribution and firm supply infrastructure and promoting fair national pricing structure.

For years, Tanzania households and industries have experienced power rationing and severe blackouts, but still the country has six HPE generating stations that includes Kidatu (204 MW), Kihansi (180 MW), Mtera (80 MW), Pangani (68 MW), Hale (21 MW) and Nyumba ya Mungu (8 MW). Additionally, Ubungo gas plant produces 100 MW and a 100 MW from diesel at Tegeta. This makes a country total of about 761 MW, just 16.2% of the country’s potential of HPE.

Power generation by the stations has been marred by outdated infrastructure, poor management and investment policies.

The biggest HPE project would have been the Stiegler’s Gorge Dam on the Rufiji River. Despite the anticipated social and ecological concerns after environmental impact assessment, the 2100 MW dam could have provided triple the existing energy output of the country. The project was planned between 1970 and 1980s by Norconsult, NORPLAN and NORAD; Norwegian organizations, but was halted mostly because of expensive engineering budget.

Given the total amount of funds that have been embezzled between 1970 and 2010 (estimated amount the subject of another day) — including large sums used to fund election campaigns and expensive vehicles for members of parliament and ministries — this project would have been complete. It is even possible that by now, rural electrification of all 8200 Tanzanian villages would have had occurred and our national grid connected to neighboring countries to trade the power surplus.

The downside on relying on HPE is severe droughts and currently due to climate change; it is a characteristic of most countries in the world. To alleviate this problem, investment into clean coal power plants will significantly reduce energy demands of Tanzania and power her industries.

In the U.S, a typical 500 MW coal plant burns 1.4 million tons of coal each year. Provided her yearly energy demands remain the same or other forms of energy generation pick pace, Tanzania can still afford two coal power plants that will quench some of her energy thirst for about 430 years!

In selling carbon credits as part of reduction of carbon footprint by any nation, a ton of emitted carbon dioxide costs about US$33.5 on the world market. Tanzania will be able to sell the remaining carbon credits to higher emitters of greenhouse gases. If the cost of building the power plant is US$1 billion, then we sell 5 million tons worth of carbon credits; we will afford to pay for the engineering costs in a 10 years and, in the long run, operation costs will be taken care of by selling the carbon credits and power. Thereafter, our country will start abandoning traditional sources of energy and shift to more renewable sources of energy to resurrect her industries and start manufacturing her high-end goods at low emission standards.

For a developing country like Tanzania, oil is too expensive to be used for power generation. To me, it seems that there is still a high potential if we exploit HPE and especially at the Stiegler’s gorge. Instead of pumping funds into many small projects, focusing all the resources into one big project would save a lot of time and money; and in the end deliver the end’s need.

Sometimes, I feel like most politicians assume that energy is not a basic need of our population. They mostly focus, or say talk about building roads, supplying water, building hospitals and schools, while forgetting that all these areas need to be powered for smooth operations.

Or, is it possible that some of the benefit from the lack of electricity? Do they have stakes in the petroleum firms that supply the diesel power sub-stations spread all over the country? Is it in the companies selling diesel power generators?

Lastly, local and foreign entrepreneurs want to invest in industrial development but power shortages pose a huge limitation in their investments and returns prospects. However, while we are thinking of exploiting available natural resources, we should also invest in research and development for renewable energy prospects in solar, wind, tide, nuclear and biofuels.

To some this seems like wishful thinking but I am positive that African governments can start funding their own researches and manufacturing by developing local talents. All I mostly see is that governments are sending their people to be trained on dying fields such as petroleum engineering, while research of the future are let to be exploited when they have already been established and extremely expensive. It is just that there seems to be no firm priorities and blueprints by the way the policies are made and governments run. Since it holds so many natural sources for energy generation, and electricity has never been and should not be a luxury; Tanzania should not fall behind because of lack of political will and failure to power its households and emerging industries.

Source: Vijana FM
 
Zakumi majuzi nilikuwa naongea na mwanafunzi mahiri wa Uhandisi wa Madini. Nikamuulizwa kwa nini mnashindwa kuendesha uchimbaji wa madini bila kutegemea wawekezaji kutoka nje. Akajibu kwa ufupi: HATUWEZI. Nilisikitika sana kusikia hivyo. Ila ndio halisi. Tunajiona HATUWEZI. Hivyo uwezo HATUNA.

Companero,

Wawekezaji sio wataalamu wa madini. Walichonacho ni mtaji na business models. Ethiopia Airline, Emirates, Qatar ni mashirika ambayo yana business models za ku-operate airlines. Na sio mashirika yanayotengeneza ndege.

Botswana walikuwa na business models na mitaji lakini wataalamu wametoka Tanzania, Zambia, Zimbabwe n.k Hivyo uwezo tunao hata katika sekta tusio na wataalamu. Ukuchangisha mtaji mzuri watapatikana experts kutoka nchi yoyote hile duniani.
 
Zakumi nchi hii imejaa wafanyabiashara na wanataaluma wa Biashara. Hadi Serikalini wamo. MBA za kumwaga. Sasa mbona hawawezi? Au modeli zao za biashara zimepitwa na wakati? Pengine elimu yao ni cheti na si ujuzi? Hebu cheki vichwa vilivyo humu: www.ali-ea-foundation.net . Inakuwaje nchi yenye viongozi wote hao wa biashara inashindwa hata kutoa umeme wa uhakika kwa 12% tu ya wananchi wake?
 
Zakumi nchi hii imejaa wafanyabiashara na wanataaluma wa Biashara. Hadi Serikalini wamo. MBA za kumwaga. Sasa mbona hawawezi? Au modeli zao za biashara zimepitwa na wakati? Pengine elimu yao ni cheti na si ujuzi? Hebu cheki vichwa vilivyo humu: www.ali-ea-foundation.net . Inakuwaje nchi yenye viongozi wote hao wa biashara inashindwa hata kutoa umeme wa uhakika kwa 12% tu ya wananchi wake?

Companero,

Ukumbuki ule mjadala wetu miaka zaidi ya saba iliyopita hivi, The Talented Tenth. W.E.B. DuBois? Si baadaye DuBois alikatishwa tamaa nao na kuhamua kuwa mkommunisti kabisa.

Failures za bourgeois na ruling classes zetu zinaniweka njia panda. Nikiwa na waAfrika wenzangu naanza kumkumbatia Nyerere na Kwame. Nikiwa huku viwanja niko free marketier.

America ilikuwa-design kuwa nchi ya kilimo. Liconln anachukua nchi, industrial output ilikuwa less than 10%. Lakini sera zake za federalism na waliomfuatia waliweza kubadili nchi. Viwanda vya nguo vya uingereza vilitegemea pamba kutoka Marekani. Na lilikuwa ni kosa la jinai kusafirisha michoro ya mashine ya nguo kwenda Marekani. Na mtu aliyepeleka michoro hiyo ilibidi akariri mashine nzima.Hiyo ndio elimu na utaifa.

Na katika kipindi hicho kulikuwa hakuna Master, Phd or MBA degrees. Hivyo elimu bila enlightenment haina manufaa kwa jamii.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom