Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,580
- 4,262
Pole sana dada yangu!!
Kwangu mimi naona ujumbe umefika Japo najua tatizo la WATANZANIA walio wengi ni ubishi bila kuzingatia ujumbe uliobebwa (wasoma Biblia wanamjua TOMASO)
Ukweli ni kuwa: kule China na Korea mtu akikamatwa na madawa huwa anauwawa na sio kufungwa hivyo dada yupo sahihi kabisa kuwa Hongkong hukumu zina unafuu
Hongkong ni sehemu iliyopo chini ya Uangalizi wa China ila inasheria zake
Be ware!
Kwangu mimi naona ujumbe umefika Japo najua tatizo la WATANZANIA walio wengi ni ubishi bila kuzingatia ujumbe uliobebwa (wasoma Biblia wanamjua TOMASO)
Ukweli ni kuwa: kule China na Korea mtu akikamatwa na madawa huwa anauwawa na sio kufungwa hivyo dada yupo sahihi kabisa kuwa Hongkong hukumu zina unafuu
Hongkong ni sehemu iliyopo chini ya Uangalizi wa China ila inasheria zake
Be ware!