Bila kulazimisha watu ccm mikutano yao imedoda kama uji wa juzi.Nimekutana na hii barua kwa tweet ya Halima Mdee nimeshangaa kumbe hii nchi siyo huru hata kidogo! Na usipoenda utafukuzwa kazi ama? Maana sijaelewa mantiki yake hata kidogo
View attachment 1559097
Tena mnagawana kabisa kuwa wewe ni lazima uwe eneo fulani!