Nimekutana na hii barua kwa tweet ya Halima Mdee nimeshangaa kumbe hii nchi siyo huru hata kidogo! Na usipoenda utafukuzwa kazi ama? Maana sijaelewa mantiki yake hata kidogo
View attachment 1559097
Tena mnagawana kabisa kuwa wewe ni lazima uwe eneo fulani!
Sasa watumishi kwenda kumsikiliza waziri mkuu wewe unahoji nini?!Nimekutana na hii barua kwa tweet ya Halima Mdee nimeshangaa kumbe hii nchi siyo huru hata kidogo! Na usipoenda utafukuzwa kazi ama? Maana sijaelewa mantiki yake hata kidogo
View attachment 1559097
Tena mnagawana kabisa kuwa wewe ni lazima uwe eneo fulani!
Kuna wakati unaweza kuongea jambo alafu aibu tunaona wengine.Sasa watumishi kwenda kumsikiliza waziri mkuu wewe unahoji nini?!
Ni kwamba akili zenu ni mgando au?Mnawalazimisha kushiriki mikutano ya kampeni kwasababu gani?Mna haki hiyo?Sio vema muda wote kufikiri kwa kutumia tumbo!Sasa watumishi kwenda kumsikiliza waziri mkuu wewe unahoji nini?!
Mikutano ya kisiasa? Emb ondoa huo ukungu kichwani. Kila mtumishi ana haki ya kuchagua amtakaye na halazimishwi kuhudhuria mikutano ya mtu fulani. Huo ni upumbavu ambao pengine upo Tanzania na vinchi vingine vyenye madikteta uchwara!Sasa watumishi kwenda kumsikiliza waziri mkuu wewe unahoji nini?!
Wewe ni kooouma.Yani umeshindwa kuona kama hilo ni kosa?.kampeni za kichama za waziri mkuu mimi nalazimishwa kwenda ili iweje?.Pathetic foolSasa watumishi kwenda kumsikiliza waziri mkuu wewe unahoji nini?!
Pumbavu kabisa.Sisi tunatupia uthibitisho tu. Endelea kusikiliza siasa za kipuuzi kuwa NHIF hawajaondoa hizo dawa. Sisi tunatwanga na mi document kutoka huko huko kwao! Haturembi sisi.
Sasa watumishi kwenda kumsikiliza waziri mkuu wewe unahoji nini?!
Bangi na konyagi mnazokunywa zinawaharibu.hiyo ni kweli hata hapa shule ya mtaani wameandikiwa hiyo barua usilete ukichaa humu kwa mambo ya ukweli hamna makopo ya kuokota JF
wewe ugoro ndo unakuharibu kila kitu kuhusu CCM unabisha hata kama ni ukweli umekuwa zuzuBangi na konyagi mnazokunywa zinawaharibu.
Kulazimishwa kwenda...Sasa watumishi kwenda kumsikiliza waziri mkuu wewe unahoji nini?!
Akili za kinyesi kichwani hizi.Sasa watumishi kwenda kumsikiliza waziri mkuu wewe unahoji nini?!
Mnafoji barua za uongo ili mpate mabwana Ubelgiji?wewe ugoro ndo unakuharibu kila kitu kuhusu CCM unabisha hata kama ni ukweli umekuwa zuzu
hayo ndo mnayoweza kujadili maana mmejaa moshi wa bangi vichwani na kuongea ngono kwenye mikutanoMnafoji barua za uongo ili mpate mabwana Ubelgiji?
Noma kweli !Nimekutana na hii barua kwa tweet ya Halima Mdee nimeshangaa kumbe hii nchi siyo huru hata kidogo! Na usipoenda utafukuzwa kazi ama? Maana sijaelewa mantiki yake hata kidogo
View attachment 1559097
Tena mnagawana kabisa kuwa wewe ni lazima uwe eneo fulani!
waziri mkuu ? Kwa katiba ya nchi yetu waziri mkuu sharti awe mbunge, sasa huyu ni wa jimbo gani? Uchaguzi tayari? kaapishwa tayari?Sasa watumishi kwenda kumsikiliza waziri mkuu wewe unahoji nini?!