Amakando
Senior Member
- May 9, 2011
- 158
- 27
Aliyekuwa kamishina wa pollisi kamanda Abdalah Msika baada ya kustaafu sasa ni mkufunzi wa walinzi katika mgodi wa Barrick buzwagi kitengo cha ulinzi( Training security superintendent), hii inathibitisha ni jinsi gani viongozi wa serikali wanavyoshindwa kufanya maamuzi sahihi dhidi ya barrick kwa kuwa Viongozi wanakuwa wameahidiwa nafasi za kazi wakistaafu, mshahara wake ni 4.5 millioni. source Barrick Buzwagi.