Barrick Yaitangaza Vibaya Tanzania “Considered a higher risk",na "Acacia Mining reflects Tanzania risk". Jee ni Kweli?. Kama Sii Kweli Tukanushe Au?.

Shukrani mkuu kwa "acknowledge" yako juu ya mchango wangu.
Mimi nafikiri watu wapo wenye uwezo wa kuchambua habari za nje na kujaribu kuwatumia watu wetu maalum kujibu mapigo kupitia hizo "international media".
Pili, ni kuhusu hilo la watu kama sisi kujitokeza kutoa msaada wa ushauri hili bado nalifikiria na juzi nimeanza kuchokoza huko yaani nimetuma barua ya maombi ya kuwa consultant kwa bwana Abbas.
Ikibuma basi nafahamu wanasoma hapa wanapata miwili matatu.
Mkuu Richard, keep follow na Dr. Abbas, jamaa is good, alinitangulia mwaka mmoja UDSM, na kwa jinsi ninavyo msikiliza na kuzungumza nae ni highly knowledgeable person, akiruhusiwa kuisuka Idara ya Habari Maelezo, naamini atapata watu na soon tutakuwa na uwezo wa ku counter mauongo ya international media, tatizo la Maelezo ninaloliona mimi, watumishi wa serikali ni permanent na pensionable, hivyo kwa muda mrefu sana, mtumishi yoyote wa serikali kwenye media, akiboronga, au kuoishana lugha na bosi wake, hupelekwa Maelezo kusubiri kustaafu kwa amani, hivyo Maelezo palikuwa kama kijiweni fulani, unaweza kukuta Dr. Abasi ndio amekuta sampuli hii, he cant change them bali kusubiria tuu muda wao ufike, lakini akipewa powers za kusuka team yake, the guy is good.
P.
 
Mkuu Paskal salaam sana!! Kinachotutesa wabongo ni uwepo wa serikali kurupushi tu basi!! Usihangaike kujitetea maana hata huyo unayesema analinda rasimali aliridhia madini yetu kutokukaguliwa na CAG! (Kama sijakosea)

Afu kaka, sisi tutajitetea wapi, tbc, itv, au channel ten?? Wenzetu wanazungumzia kwenye global media, na wanaeleweka maana wana reference ya Acacia kuwa tz sio rafiki tena kwa investors. Personally sifurahii ila serikali yetu inatakiwa ijitazame sana aisee!!
 
Risk is measured in terms of impact x likelihood
Kila organisation imeset risk "appetite" meaning the level of risk an organisation can tolerate,what is higher risk to Barrick could be insignificant risk to GGM...
Hapa sijui kama nzi wa lumumba watanielewa

Hahahahaa...! Nzi wa Lumumba hawawezi kujibu uzi wa namna hii wewe!!
 
Paschal suala lipo hivi:

Mark Bristow anasema kwamba "Acacia has not been functioning as a company should be but some shareholders are not happy with the offer"

Hivyo anamaanisha kwamba Acacia hawana uwezo wa kufanya kazi kama kampuni chini ya mazingira mapya yalowekwa na serikali ya Tanzania.

Pili, bwana Bristow anasema offer waloiweka mezani kwa wanahisa wachache au "minority shareholders" ya dola milioni 787 ni fair kwasababu kampuni hiyo inajiingiza kwenye mazingira mapya ya sheria mpya na mazingira mapya (yalowekwa na serikali ya Tanzania) ya ufanyaji shughuli zake nchini Tanzania.

Tatu, tathmini ilofanywa ya mali za Acacia inaonyesha kwamba kiasi wanachotoa Barrick (cha dola milioni787) ni kidogo kulingana na tathmini hiyo inayoipa Acacia thamani ya mali yake kuwa asilimia 11 tu ambayo ni punguzo kubwa kwa asilimia 42.

Hivyo wanahisa hao wadogo bado wanataka Barrick aongeze hiyo offer jambo ambalo Barrick wanaona ugumu kutokana na tathimini yao na ndipo hapo wanapotumia neno "Risk" kwamba ikiwa watachukua hiyo migodi ya Acacia basi wanajitumbukiza kwenye hali ya hatari kwenye kupata faida na "return of investment".

Sasa Acacia walikuwa wakiiba hayo madini na walikuwa wakipata faida kubwa na sasa wamezuiwa wanashindwa kufanya kazi yao ya uporaji na ndo wanakuja na hizo statements.

Ni uhuni tu wa hao majambazi Acacia ambao walikuwa wanaiba madini yetu kwa miongo mingi tu bila kugundulika na pia kwa uelewa wa baadhi ya watanzania ambao wengi wao ndo wanaowapa "support" humu.

Lakini the only way forward ni Barrick ameangalia mali (aasets) na mkataba mpya wa serikali na wao Acacia (ambao Acacia wanukataa) na pia hilo deni la kodi ambalo ikiwa barrick watainunua Acacia yote basi ni wao ndo watakaoingia "burden" ya kulilipa.

Hivyo Barrick kupitia mark Bristow wanapozungumzia kwamba kuingiza "operations" zake chini ya mazingira mapya yalowekwa na serikali na pia kujitwika mzigo wa hilo deni la kodi ambalo sasa limepunguzwa na kuwa dola milioni 300, basi kwao wanaona ni risk kubwa kwenye biashara zao.

Ni jambo la kawaida ambalo hivyo vyombo vya habari (Reuters na wengine) wameweka hivyo headline ambayo itasababisha watu kunyanyua kope huko kwao.

Kwa maana ingine ni kwamba hivyo vyombo vya habari vinacheza mchezo unaochezwa na jarida la "The Economist" ambao kwa niaba ya wanaowafadhili na wenye biashara wanaichafua serikali ya Tanzania kwa makusudi.

Serikali ya Tanzania nayo ina nafasi ya kujisahihisha kwenye hilo kwa kutoa habari zake ili kuweka uwiano wa habari hizo yaani "level playing field" kwani hizi ni mbinu za medani katika kuchafuana, na inaonekana hatuna vijana mahiri kwenye hilo yaani waandishi wa kimkakati.
Noted
 
As far as i know that concentrate report makes us look funny!!
Nor funny but fools!. Believe that and youll believe anything.

Sisi ambao kazi yetu ni kusema tuu, tulitoa angalizo

P
 
Bandiko zuri ila mwandishi nguli Paskali
kaandika kiwoga sana kiasi kwamba haliwezi badilisha matokeo

ki ukweli ni Mungu pekee alietushika mkono watanzania maana dereva wetu frustration
zimemkaba kweli anataka kututumbukiza shimoni
 
Mkuu Ndahani, wewe unakuwa kama sio Mtanzania kuuliza nani alifanya mahesabu ya Tax?!, mahesabu yote ya tax nchi hii yanafanywa na mtu mmoja anaitwa TIIARAEI.
Na hiyo hesabu ilijikita kwenye zile "Professorial Garbage"; na wananchi wanaelezwa wasubiri Noar zao kutokana na mahesabu hayo!
 
Na hiyo hesabu ilijikita kwenye zile "Professorial Garbage"; na wananchi wanaelezwa wasubiri Noar zao kutokana na mahesabu hayo!
Mkuu Kalamu, Tiiaraei wako very proffesional, wao wamekokotoa according to data walizopewa,
haswa ukizingatia the composition ya wale maporofesa, who the hell could doubt the profezaz?.
P
 
Mkuu cocochanel, kwanza siamini kwako lugha gongana ki hivyo, ila kwa faida ya wengi, haya mambo ya shares and acquisitions, ikiwemo hostile take over ni mambo makubwa na magumu kuyaelezea, hata hivyo nitasaidia.

Wazungu hawa wanadai kuwa serikali yetu imeziandia barua migodi yote mitatu ya Acacia kuitaarifu kuwa serikali haiitambui Acacia, hivyo Acacia haiwezi kuendelea na shughuli zake nchini Tanzania kama kampuni, ili kuiokoa Acacia, Barrick wamebidi kuinunua kwa kutoa offer ya bei chee, hivyo sasa, Acacia watafungasha virago na Barrick ndio wataendesha shughuli zote za Acacia, alipoulizwa kwa nini wainunue Acacia kwa kuwalipa fedha kiduchu kwa kila hisa, jamaa ndio akatuchafua kuwa Tanzania ni risk, hivyo wao wananunua kitu ambacho ni risk, kwa offer price waliowapa, bado is a good deal haswa ukizingatia wana hisa wote wanauziwa hisa za Barrick.

Swali langu ni jee ni kweli serikali yetu imeandika barua kusitisha shughuli za Acacia?, maana haya mambo wanayasema tuu wazungu hawa, serikali yetu haijasema kitu.

Kama sii kweli, kwanini tuchafuliwe huku tumekaa kimya?.
P.
Habari braza Paschal. Mimi hapa nimekuelewa sana ila ninachokiona ni kwamba tuiache serikali yetu ifanye kazi yake hauwez jua labda nayo inajipanga kuja kutoa ufafanuzi wake. Pia labda kwa upande wa serikali yetu labda ni mambi ya siri ambayo sisi watu wachini hatutakiwa kuyasikia.
NB Kibiashara hauwez kununua kampuni ambayo unajua kabisa italeta hasara hivyo hapa kuna chenga inapigwa ila shida ni kwamba serikali yetu na serikali nyingi za kiafrika wanafanya kwa siri sana mikataba yao tukijaribu kushauri na kuomba kuoneshwa wanakuwa wakali sana ila mambo yakichacha kama hivi wanataka wote tushiriki. Hapa ndio wengi tunarudi nyuma na kukaa mbali kuwaacha walionzisha walimalize.
Usiku mwema
 
Au ubongo wangu ulikuwa unasoma 2G nini? Si walisifiwa sana na mkulu akasema hawa ndio wanaume?imekuwaje tena?
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali, hawa Barrick wanaitangaza vibaya Tanzania kwa kusema kuwa Tanzania is Considered a higher risk",na kuwa mgogoro wa "Acacia Mining reflects Tanzania risk". Jee ni Kweli?. Kama Sii Kweli jee tukanushe kwa kuusema ukweli au tuendelee kujinyamazia na kumuachia Mungu?.

Uongo ukisemwa na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, sio tuu unaweza kuonekana kama ndio ukweli, bali unaweza kabisa kugeuka kuwa ukweli kwa sababu baadhi ya kauli huumba!.

Maneno haya ni matamshi wa Bosi wa Barrick kwenye interview na shirika la habari za Uingereza Reuters kuhusu mgogoro wa Acacia ambapo siku ya Jumapili iliyopita, licha ya kuwa sio siku ya kazi, lakini siku hiyo, inasemekana serikali yetu iliziandikia barua migodi mitatu ya Acacia nchini kuiambia kuwa serikali haaitambui Acacia, hali iliyoilazimu kampuni mama ya Barrick, kutoa offer ya kununua hisa zote za Acacia, hivyo kuifungisha virago, na kutekeleza yale makubaliano na serikali yetu.

Kabla sijaendelea, naomba kukiri nimekuwa inspired na bandiko hili
Mkuu Winnerian, asante kwa taarifa hii.
Kiukweli sisi Watanzania ni watu wa ajabu sana!, huyu mtu anatutangaza vibaya hivi kimataifa kuwa Tanzania ni higher risk nation for investors, halafu watu humu wanashangilia!.

Taarifa hii kaitolea Reuters na sio kwenye haya magazeti yetu ya kufungia maandazi.
What does this tell about our nation to the rest of the world as far as investment climate is concerned?.

Hoja kuu ya bandiko hili, hawa jamaa wanasema vibaya, wanatungaza vibaya ulimwenguni, jee ni kweli sisi Tanzania tuko Considered a higher risk kwenye investments?. Kauli hii ina maana gani kwa investors?.
Jee ni kweli the situation ya Acacia Mining in reflects Tanzania risks?

Naomba kuziweka hoja zangu in number formats ili iwe rahisi kueleweka, na mtu ukiuliza, uweze kuuliza kuhusu specific kipengele.

  1. Ila naomba kutoa angalizo muhimu kwa serikali yetu, hii saga yote ya Acacia na Barrick, mara kimepanda, mara kimeshuka, to me it looks like a game that people plays. Hawa ni baba na mwana, na huu ni mchezo tunachezewa, the bottom line ni lile deni letu la kodi kutoka US$190 bilioni hadi just $300milioni, this is peanut, ila tukiamua kuiita ndio a win win situation for the sake ya uzalendo kwa uwezo wa viongozi wetu ku negotiate, then Watanzania tutawakubalia, na kujifunza somo kuwa na wanasheria nguli tuu peke yake bila watu ambao ni negotiators, hakutoshi. Japo tutapata 16% na kugawana 50/50 za economic benefits, mimi naona kama hapa tunapigwa mchana kweupe huku tunajiangalia.
  2. Kama sasa tunaanza kuchafuliwa na huku makubaliano ya mwisho hayajasainiwa, naona kama vile tunanyanyaswa, kusimangwa na kunyanyapaliwa wakati dhahabu ni yetu, sisi wenye mali tuko kimya tunafanya mambo kimya kimya, halafu wavunaji wa rasilimali zetu wao ndio kila siku press release, na press conferences Toronto na London, hiki kimya chetu kinaashiria nini?.
  3. Msingi mkuu wa yote haya ni mgogoro wa makinikia. Tulizuia makontena ya mchanga, kwa sababu tulihisi tunaibiwa kwa kutokujua kilichomo ndani ya mchanga ule, tukaunda tume mbili kuchunguza, tukajiridhisha kuwa ni kweli tunaibiwa na TRA wakaja na figure ya dola bilioni 190. Ili tuthibitishe madai yetu ya tunaibiwa nini, ilibidi ule mchanga uchenjuliwe ndipo tupigiane hesabu za kweli. Kitendo cha kusamehe deni la dola bilioni 190, kwa kifuta jasho cha dola milioni 300, kinaeleweka kwa wenye akili wote kuwa kule kwenye majadiliano, tumeshindwa kuthibitisha hicho kiwango cha dhahabu. Maadam makinikia bado yapo, tunashindwa nini kuyachenjua na kuwathibishia?. Mpaka sasa, sijasikia tena kuhusu ununuzi wa kichenjulio, kiukweli mchanga ukiondoka bila sisi kujua kilichomo, sio tuu nitashangaa bali, bali kiukweli kabisa nitaamini sisi Watanzania .... naomba nisimalizie
  4. Hitimisho.
    Watanzania wote wazalendo wa kweli wa taifa hili, tumuunge mkono rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli katika vita vya kulinda rasilimali zetu dhidi ya mabeberu, na kama una jicho la tatu la kuangazia visivyoonekana na wenye macho mawili tuu, then share what you see which others don't see so that we can all see, kwenye hili, la mgogoro wa makinikia, kuumaliza bila mchanga ule kuchenjuliwa tukajua kilichomo, hili ni kosa kubwa tutafanya kwa sababu, tuliuzuia mchanga kwa kuhisi tunaibiwa kwa sababu hatujui kilichomo, tukiumaliza huu mgogoro bila kujua kilichomo, tutakuwa tunafanya makosa makubwa kwa sababu tutaendelea kuibiwa.
  5. Mwisho. Kwangu mimi kwenye hili, I feel there is either something fishy or there is something wrong with us somewhere somehow katika uelewa wa haya mambo, dawa pekee ni kwa pande zote lets come clean, honest, truthfully, na very transparent ili ku establish trust kwa pande zote ikiwemo kwa sisi Watanzania kuamini serikali yetu kuwa its doing the best kwa nchi yetu Tanzania na kwa Watanzania, hivyo namaliza kwa kuuliza tena hili swali, huku kwa Baarick kututangaza vibaya, Jee ni kweli?. Kama ni kweli, hatuna jinsi tujikalie kimya, lakini kama sii kweli jee Tanzania tuendelee kujinyamazia kimya huku nchi yetu ikichafulia kimataifa kwa upande wa uwekezaji kwa kuwachia Mungu, au tukanushe kwa kuusema ukweli ili dunia iujue ukweli kuhusu nchi yetu.

    Mungu Ibariki Tanzania,
    Jumatatu Njema.
    Paskali
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali, hawa Barrick wanaitangaza vibaya Tanzania kwa kusema kuwa Tanzania is Considered a higher risk",na kuwa mgogoro wa "Acacia Mining reflects Tanzania risk". Jee ni Kweli?. Kama Sii Kweli jee tukanushe kwa kuusema ukweli au tuendelee kujinyamazia na kumuachia Mungu?.

Uongo ukisemwa na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, sio tuu unaweza kuonekana kama ndio ukweli, bali unaweza kabisa kugeuka kuwa ukweli kwa sababu baadhi ya kauli huumba!.

Maneno haya ni matamshi wa Bosi wa Barrick kwenye interview na shirika la habari za Uingereza Reuters kuhusu mgogoro wa Acacia ambapo siku ya Jumapili iliyopita, licha ya kuwa sio siku ya kazi, lakini siku hiyo, inasemekana serikali yetu iliziandikia barua migodi mitatu ya Acacia nchini kuiambia kuwa serikali haaitambui Acacia, hali iliyoilazimu kampuni mama ya Barrick, kutoa offer ya kununua hisa zote za Acacia, hivyo kuifungisha virago, na kutekeleza yale makubaliano na serikali yetu.

Kabla sijaendelea, naomba kukiri nimekuwa inspired na bandiko hili
Mkuu Winnerian, asante kwa taarifa hii.
Kiukweli sisi Watanzania ni watu wa ajabu sana!, huyu mtu anatutangaza vibaya hivi kimataifa kuwa Tanzania ni higher risk nation for investors, halafu watu humu wanashangilia!.

Taarifa hii kaitolea Reuters na sio kwenye haya magazeti yetu ya kufungia maandazi.
What does this tell about our nation to the rest of the world as far as investment climate is concerned?.

Hoja kuu ya bandiko hili, hawa jamaa wanasema vibaya, wanatungaza vibaya ulimwenguni, jee ni kweli sisi Tanzania tuko Considered a higher risk kwenye investments?. Kauli hii ina maana gani kwa investors?.
Jee ni kweli the situation ya Acacia Mining in reflects Tanzania risks?

Naomba kuziweka hoja zangu in number formats ili iwe rahisi kueleweka, na mtu ukiuliza, uweze kuuliza kuhusu specific kipengele.

  1. Ila naomba kutoa angalizo muhimu kwa serikali yetu, hii saga yote ya Acacia na Barrick, mara kimepanda, mara kimeshuka, to me it looks like a game that people plays. Hawa ni baba na mwana, na huu ni mchezo tunachezewa, the bottom line ni lile deni letu la kodi kutoka US$190 bilioni hadi just $300milioni, this is peanut, ila tukiamua kuiita ndio a win win situation for the sake ya uzalendo kwa uwezo wa viongozi wetu ku negotiate, then Watanzania tutawakubalia, na kujifunza somo kuwa na wanasheria nguli tuu peke yake bila watu ambao ni negotiators, hakutoshi. Japo tutapata 16% na kugawana 50/50 za economic benefits, mimi naona kama hapa tunapigwa mchana kweupe huku tunajiangalia.
  2. Kama sasa tunaanza kuchafuliwa na huku makubaliano ya mwisho hayajasainiwa, naona kama vile tunanyanyaswa, kusimangwa na kunyanyapaliwa wakati dhahabu ni yetu, sisi wenye mali tuko kimya tunafanya mambo kimya kimya, halafu wavunaji wa rasilimali zetu wao ndio kila siku press release, na press conferences Toronto na London, hiki kimya chetu kinaashiria nini?.
  3. Msingi mkuu wa yote haya ni mgogoro wa makinikia. Tulizuia makontena ya mchanga, kwa sababu tulihisi tunaibiwa kwa kutokujua kilichomo ndani ya mchanga ule, tukaunda tume mbili kuchunguza, tukajiridhisha kuwa ni kweli tunaibiwa na TRA wakaja na figure ya dola bilioni 190. Ili tuthibitishe madai yetu ya tunaibiwa nini, ilibidi ule mchanga uchenjuliwe ndipo tupigiane hesabu za kweli. Kitendo cha kusamehe deni la dola bilioni 190, kwa kifuta jasho cha dola milioni 300, kinaeleweka kwa wenye akili wote kuwa kule kwenye majadiliano, tumeshindwa kuthibitisha hicho kiwango cha dhahabu. Maadam makinikia bado yapo, tunashindwa nini kuyachenjua na kuwathibishia?. Mpaka sasa, sijasikia tena kuhusu ununuzi wa kichenjulio, kiukweli mchanga ukiondoka bila sisi kujua kilichomo, sio tuu nitashangaa bali, bali kiukweli kabisa nitaamini sisi Watanzania .... naomba nisimalizie
  4. Hitimisho.
    Watanzania wote wazalendo wa kweli wa taifa hili, tumuunge mkono rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli katika vita vya kulinda rasilimali zetu dhidi ya mabeberu, na kama una jicho la tatu la kuangazia visivyoonekana na wenye macho mawili tuu, then share what you see which others don't see so that we can all see, kwenye hili, la mgogoro wa makinikia, kuumaliza bila mchanga ule kuchenjuliwa tukajua kilichomo, hili ni kosa kubwa tutafanya kwa sababu, tuliuzuia mchanga kwa kuhisi tunaibiwa kwa sababu hatujui kilichomo, tukiumaliza huu mgogoro bila kujua kilichomo, tutakuwa tunafanya makosa makubwa kwa sababu tutaendelea kuibiwa.
  5. Mwisho. Kwangu mimi kwenye hili, I feel there is either something fishy or there is something wrong with us somewhere somehow katika uelewa wa haya mambo, dawa pekee ni kwa pande zote lets come clean, honest, truthfully, na very transparent ili ku establish trust kwa pande zote ikiwemo kwa sisi Watanzania kuamini serikali yetu kuwa its doing the best kwa nchi yetu Tanzania na kwa Watanzania, hivyo namaliza kwa kuuliza tena hili swali, huku kwa Baarick kututangaza vibaya, Jee ni kweli?. Kama ni kweli, hatuna jinsi tujikalie kimya, lakini kama sii kweli jee Tanzania tuendelee kujinyamazia kimya huku nchi yetu ikichafulia kimataifa kwa upande wa uwekezaji kwa kuwachia Mungu, au tukanushe kwa kuusema ukweli ili dunia iujue ukweli kuhusu nchi yetu.

    Mungu Ibariki Tanzania,
    Jumatatu Njema.
    Paskali
We ulitaka tuchukie? Tunashangilia sn aisee na tunasikia raha.......mpaka muache kuharibu nchi na kuongoza nchi kishamba na kilimbukeni........
We call a spade a spade
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali, hawa Barrick wanaitangaza vibaya Tanzania kwa kusema kuwa Tanzania is Considered a higher risk",na kuwa mgogoro wa "Acacia Mining reflects Tanzania risk". Jee ni Kweli?. Kama Sii Kweli jee tukanushe kwa kuusema ukweli au tuendelee kujinyamazia na kumuachia Mungu?.

Uongo ukisemwa na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, sio tuu unaweza kuonekana kama ndio ukweli, bali unaweza kabisa kugeuka kuwa ukweli kwa sababu baadhi ya kauli huumba!.

Maneno haya ni matamshi wa Bosi wa Barrick kwenye interview na shirika la habari za Uingereza Reuters kuhusu mgogoro wa Acacia ambapo siku ya Jumapili iliyopita, licha ya kuwa sio siku ya kazi, lakini siku hiyo, inasemekana serikali yetu iliziandikia barua migodi mitatu ya Acacia nchini kuiambia kuwa serikali haaitambui Acacia, hali iliyoilazimu kampuni mama ya Barrick, kutoa offer ya kununua hisa zote za Acacia, hivyo kuifungisha virago, na kutekeleza yale makubaliano na serikali yetu.

Kabla sijaendelea, naomba kukiri nimekuwa inspired na bandiko hili
Mkuu Winnerian, asante kwa taarifa hii.
Kiukweli sisi Watanzania ni watu wa ajabu sana!, huyu mtu anatutangaza vibaya hivi kimataifa kuwa Tanzania ni higher risk nation for investors, halafu watu humu wanashangilia!.

Taarifa hii kaitolea Reuters na sio kwenye haya magazeti yetu ya kufungia maandazi.
What does this tell about our nation to the rest of the world as far as investment climate is concerned?.

Hoja kuu ya bandiko hili, hawa jamaa wanasema vibaya, wanatungaza vibaya ulimwenguni, jee ni kweli sisi Tanzania tuko Considered a higher risk kwenye investments?. Kauli hii ina maana gani kwa investors?.
Jee ni kweli the situation ya Acacia Mining in reflects Tanzania risks?

Naomba kuziweka hoja zangu in number formats ili iwe rahisi kueleweka, na mtu ukiuliza, uweze kuuliza kuhusu specific kipengele.

  1. Ila naomba kutoa angalizo muhimu kwa serikali yetu, hii saga yote ya Acacia na Barrick, mara kimepanda, mara kimeshuka, to me it looks like a game that people plays. Hawa ni baba na mwana, na huu ni mchezo tunachezewa, the bottom line ni lile deni letu la kodi kutoka US$190 bilioni hadi just $300milioni, this is peanut, ila tukiamua kuiita ndio a win win situation for the sake ya uzalendo kwa uwezo wa viongozi wetu ku negotiate, then Watanzania tutawakubalia, na kujifunza somo kuwa na wanasheria nguli tuu peke yake bila watu ambao ni negotiators, hakutoshi. Japo tutapata 16% na kugawana 50/50 za economic benefits, mimi naona kama hapa tunapigwa mchana kweupe huku tunajiangalia.
  2. Kama sasa tunaanza kuchafuliwa na huku makubaliano ya mwisho hayajasainiwa, naona kama vile tunanyanyaswa, kusimangwa na kunyanyapaliwa wakati dhahabu ni yetu, sisi wenye mali tuko kimya tunafanya mambo kimya kimya, halafu wavunaji wa rasilimali zetu wao ndio kila siku press release, na press conferences Toronto na London, hiki kimya chetu kinaashiria nini?.
  3. Msingi mkuu wa yote haya ni mgogoro wa makinikia. Tulizuia makontena ya mchanga, kwa sababu tulihisi tunaibiwa kwa kutokujua kilichomo ndani ya mchanga ule, tukaunda tume mbili kuchunguza, tukajiridhisha kuwa ni kweli tunaibiwa na TRA wakaja na figure ya dola bilioni 190. Ili tuthibitishe madai yetu ya tunaibiwa nini, ilibidi ule mchanga uchenjuliwe ndipo tupigiane hesabu za kweli. Kitendo cha kusamehe deni la dola bilioni 190, kwa kifuta jasho cha dola milioni 300, kinaeleweka kwa wenye akili wote kuwa kule kwenye majadiliano, tumeshindwa kuthibitisha hicho kiwango cha dhahabu. Maadam makinikia bado yapo, tunashindwa nini kuyachenjua na kuwathibishia?. Mpaka sasa, sijasikia tena kuhusu ununuzi wa kichenjulio, kiukweli mchanga ukiondoka bila sisi kujua kilichomo, sio tuu nitashangaa bali, bali kiukweli kabisa nitaamini sisi Watanzania .... naomba nisimalizie
  4. Hitimisho.
    Watanzania wote wazalendo wa kweli wa taifa hili, tumuunge mkono rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli katika vita vya kulinda rasilimali zetu dhidi ya mabeberu, na kama una jicho la tatu la kuangazia visivyoonekana na wenye macho mawili tuu, then share what you see which others don't see so that we can all see, kwenye hili, la mgogoro wa makinikia, kuumaliza bila mchanga ule kuchenjuliwa tukajua kilichomo, hili ni kosa kubwa tutafanya kwa sababu, tuliuzuia mchanga kwa kuhisi tunaibiwa kwa sababu hatujui kilichomo, tukiumaliza huu mgogoro bila kujua kilichomo, tutakuwa tunafanya makosa makubwa kwa sababu tutaendelea kuibiwa.
  5. Mwisho. Kwangu mimi kwenye hili, I feel there is either something fishy or there is something wrong with us somewhere somehow katika uelewa wa haya mambo, dawa pekee ni kwa pande zote lets come clean, honest, truthfully, na very transparent ili ku establish trust kwa pande zote ikiwemo kwa sisi Watanzania kuamini serikali yetu kuwa its doing the best kwa nchi yetu Tanzania na kwa Watanzania, hivyo namaliza kwa kuuliza tena hili swali, huku kwa Baarick kututangaza vibaya, Jee ni kweli?. Kama ni kweli, hatuna jinsi tujikalie kimya, lakini kama sii kweli jee Tanzania tuendelee kujinyamazia kimya huku nchi yetu ikichafulia kimataifa kwa upande wa uwekezaji kwa kuwachia Mungu, au tukanushe kwa kuusema ukweli ili dunia iujue ukweli kuhusu nchi yetu.

    Mungu Ibariki Tanzania,
    Jumatatu Njema.
    Paskali
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali, hawa Barrick wanaitangaza vibaya Tanzania kwa kusema kuwa Tanzania is Considered a higher risk",na kuwa mgogoro wa "Acacia Mining reflects Tanzania risk". Jee ni Kweli?. Kama Sii Kweli jee tukanushe kwa kuusema ukweli au tuendelee kujinyamazia na kumuachia Mungu?.

Uongo ukisemwa na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, sio tuu unaweza kuonekana kama ndio ukweli, bali unaweza kabisa kugeuka kuwa ukweli kwa sababu baadhi ya kauli huumba!.

Maneno haya ni matamshi wa Bosi wa Barrick kwenye interview na shirika la habari za Uingereza Reuters kuhusu mgogoro wa Acacia ambapo siku ya Jumapili iliyopita, licha ya kuwa sio siku ya kazi, lakini siku hiyo, inasemekana serikali yetu iliziandikia barua migodi mitatu ya Acacia nchini kuiambia kuwa serikali haaitambui Acacia, hali iliyoilazimu kampuni mama ya Barrick, kutoa offer ya kununua hisa zote za Acacia, hivyo kuifungisha virago, na kutekeleza yale makubaliano na serikali yetu.

Kabla sijaendelea, naomba kukiri nimekuwa inspired na bandiko hili
Mkuu Winnerian, asante kwa taarifa hii.
Kiukweli sisi Watanzania ni watu wa ajabu sana!, huyu mtu anatutangaza vibaya hivi kimataifa kuwa Tanzania ni higher risk nation for investors, halafu watu humu wanashangilia!.

Taarifa hii kaitolea Reuters na sio kwenye haya magazeti yetu ya kufungia maandazi.
What does this tell about our nation to the rest of the world as far as investment climate is concerned?.

Hoja kuu ya bandiko hili, hawa jamaa wanasema vibaya, wanatungaza vibaya ulimwenguni, jee ni kweli sisi Tanzania tuko Considered a higher risk kwenye investments?. Kauli hii ina maana gani kwa investors?.
Jee ni kweli the situation ya Acacia Mining in reflects Tanzania risks?

Naomba kuziweka hoja zangu in number formats ili iwe rahisi kueleweka, na mtu ukiuliza, uweze kuuliza kuhusu specific kipengele.

  1. Ila naomba kutoa angalizo muhimu kwa serikali yetu, hii saga yote ya Acacia na Barrick, mara kimepanda, mara kimeshuka, to me it looks like a game that people plays. Hawa ni baba na mwana, na huu ni mchezo tunachezewa, the bottom line ni lile deni letu la kodi kutoka US$190 bilioni hadi just $300milioni, this is peanut, ila tukiamua kuiita ndio a win win situation for the sake ya uzalendo kwa uwezo wa viongozi wetu ku negotiate, then Watanzania tutawakubalia, na kujifunza somo kuwa na wanasheria nguli tuu peke yake bila watu ambao ni negotiators, hakutoshi. Japo tutapata 16% na kugawana 50/50 za economic benefits, mimi naona kama hapa tunapigwa mchana kweupe huku tunajiangalia.
  2. Kama sasa tunaanza kuchafuliwa na huku makubaliano ya mwisho hayajasainiwa, naona kama vile tunanyanyaswa, kusimangwa na kunyanyapaliwa wakati dhahabu ni yetu, sisi wenye mali tuko kimya tunafanya mambo kimya kimya, halafu wavunaji wa rasilimali zetu wao ndio kila siku press release, na press conferences Toronto na London, hiki kimya chetu kinaashiria nini?.
  3. Msingi mkuu wa yote haya ni mgogoro wa makinikia. Tulizuia makontena ya mchanga, kwa sababu tulihisi tunaibiwa kwa kutokujua kilichomo ndani ya mchanga ule, tukaunda tume mbili kuchunguza, tukajiridhisha kuwa ni kweli tunaibiwa na TRA wakaja na figure ya dola bilioni 190. Ili tuthibitishe madai yetu ya tunaibiwa nini, ilibidi ule mchanga uchenjuliwe ndipo tupigiane hesabu za kweli. Kitendo cha kusamehe deni la dola bilioni 190, kwa kifuta jasho cha dola milioni 300, kinaeleweka kwa wenye akili wote kuwa kule kwenye majadiliano, tumeshindwa kuthibitisha hicho kiwango cha dhahabu. Maadam makinikia bado yapo, tunashindwa nini kuyachenjua na kuwathibishia?. Mpaka sasa, sijasikia tena kuhusu ununuzi wa kichenjulio, kiukweli mchanga ukiondoka bila sisi kujua kilichomo, sio tuu nitashangaa bali, bali kiukweli kabisa nitaamini sisi Watanzania .... naomba nisimalizie
  4. Hitimisho.
    Watanzania wote wazalendo wa kweli wa taifa hili, tumuunge mkono rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli katika vita vya kulinda rasilimali zetu dhidi ya mabeberu, na kama una jicho la tatu la kuangazia visivyoonekana na wenye macho mawili tuu, then share what you see which others don't see so that we can all see, kwenye hili, la mgogoro wa makinikia, kuumaliza bila mchanga ule kuchenjuliwa tukajua kilichomo, hili ni kosa kubwa tutafanya kwa sababu, tuliuzuia mchanga kwa kuhisi tunaibiwa kwa sababu hatujui kilichomo, tukiumaliza huu mgogoro bila kujua kilichomo, tutakuwa tunafanya makosa makubwa kwa sababu tutaendelea kuibiwa.
  5. Mwisho. Kwangu mimi kwenye hili, I feel there is either something fishy or there is something wrong with us somewhere somehow katika uelewa wa haya mambo, dawa pekee ni kwa pande zote lets come clean, honest, truthfully, na very transparent ili ku establish trust kwa pande zote ikiwemo kwa sisi Watanzania kuamini serikali yetu kuwa its doing the best kwa nchi yetu Tanzania na kwa Watanzania, hivyo namaliza kwa kuuliza tena hili swali, huku kwa Baarick kututangaza vibaya, Jee ni kweli?. Kama ni kweli, hatuna jinsi tujikalie kimya, lakini kama sii kweli jee Tanzania tuendelee kujinyamazia kimya huku nchi yetu ikichafulia kimataifa kwa upande wa uwekezaji kwa kuwachia Mungu, au tukanushe kwa kuusema ukweli ili dunia iujue ukweli kuhusu nchi yetu.

    Mungu Ibariki Tanzania,
    Jumatatu Njema.
    Paskali
 
Hapa kuna mambo Mawili
Mosi jee Tanzania ni High Risk kwa investors ? Kwa maomi yangu yes we are high risk. Ni shida kwa muwekezaji mahiri kuimini serikali yetu kuwekeza kwa sasa.

Kutokana na uadui kwa secta binafsi.

Pili jee Tangu katazo la mchanga dhahabu inasafirishwa au imezuiwa . Dhahabu inasafirishwa kama kawaida na hakuna makontena mapya ya mchanga yanayo kuja bandarini. Kwa maana wanatumia technologia hafifu kuusafidha kinachopatikana kinaingizwa as raw gold na kusafirishwa.

Hivyo we are looser and tunajipaka matope nje.

Ukweli usio na shaka yoyote kwenye suala la dhahabu tuna punjwa. Sitaki kusema tuna ibiwa kwani ni serikali ya ccm ndio iliongia nayo mkataba hii. Hii mikataba ni halali ingawa kina Mkapa walitukosea.

Walingalia zaidi maslahi yao binafsi. Dhahabu hizi zimeleta TIffany Hotels 4 na majengo mengine hapa Dar city centre na Kariakoo yote ya Mashemeji wa Mama anna mkapa.

Hawa wametuibia na wamefaidika wao na watoto wao. Mkapa alikua mkali kweli kuhusu loyalty ya 4%

Anyway kwa vile mikataba hii ni halali japo ya dhulma basi diplimacy ilitakiwa zaidi kufikia marekebisho ya mgao wa faida na share jambo ambalo nina uhakika Barrick na. Acacia wangekubali.
Kilicho tuponza ni ubabe
Tunaposema akina mkapa utadhani akina magufuli walikuwa hawajazaliwa wkt ndo waliku wapitishaji wa mikataba hewa na ya kinyonyaji tena kwa kura za ndio.......ccm haijawahi na kamwe haitakuja kujali raslimali za nchi hii.......
Tatizo kubwa la nchi hii ni "wananchi wanawaohopa viongozi wanaolipwa kwa Kodi zao badala ya viongozi kuwaogopa wananchi" NA TUTAENDELEA KUCHAKAA...
 
Tanzania ni high risk place to invest hilo halina ubishi, kibiashara risk ambazo zipo external zinakuwa assessed with the predictability of the environment with which the business operates. Wala hakuna miujiza ni swala la PESTEL (Political, Economy, Social, Technology, Environment, Legal).

Kama ni kuilewa serikari yetu mwekezaji anapima Political and Legal

Kwa Tanzania unaweza sema ni political stable kama kivutio, lakini hakuna guarantee ya continuation ya sera unaweza kubaliana na huyu hivi kesho akaja mwingine akasema vingine, au ulivutiwa kwenda kuwekeza kutokana na sheria fulani ikaja ikabadilika na wewe ulindwi na sherika mpya.

Legal tuna mahakama ambazo ni fair lakini tuna sheria ambazo sio stable, haya wewe ndio Accacia una mkataba na serikari wamekuja na madai ya ovyo kisa kutaka kubadilisha mkataba swala ambalo ata wewe ulikuwa unalifikiria. Madai ya ovyo kiasi kwamba hakuna mahakama wangeshinda ata za Tanzania the whole thing is unrealistic umetaka ku-challenge mahakama za kimataifa mwenye mali anakwambia awezi ku-deal na wewe tena; sasa hivi ataongea na majority shareholder wa kampuni.

That is the position everyone would take ya kuwa this is not a predictable place to invest and high risks, achilia bado tabia za kuingilia strategic plans za mashirika mara nunua makaa yetu, mara usiwe na zaidi ya kiwango fulani cha sukari, mara tu uwezi kuuza kahawa mpaka ikobolewe, mara uza hisa kwa watanzania.

People do their own business models, plan their operations what they should keep inside what they should outsource, what level of inventory they need to have at different times based on seasonal variation wewe uwezi kuwapangia capacity at anytime kisa kulinda kiwanda cha sukari bidhaa zingine zinatoka mbali watu lazima wazingatia lead time.

Wenye akili timamu kama wadachi walisaini bilateral agreement yenye kuwakinga wawekezaji wao na mambo kama haya na kushitakiana iwe mahakama za kimataifa, kuonyesha tulivyokuwa hatuko business friendly muda umeisha serikari aitaki ku-renew inataka waende kwa mtindo wao.

What would you conclude to the investment environment of Tanzania?
 
Back
Top Bottom