technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,842
1. Hakuna kubadili sheria ya madini mpaka Barrick waondoke nchini.
2. Hakuna kuishtaki Barrick mahakama za ndani.
3. Barrick haitajisajili ndani ya DSE.
4. Hakuna Mtanzania atakayeweza kununua hisa kwenye kampuni.
5. Serikali itapata share ya net profit na net loss kwa 50%.
Kwa mkataba huu tumepakatwa na hatuna pa kutokea uzalendo kweli ndio huu?
Kabudi Mungu anakuona
2. Hakuna kuishtaki Barrick mahakama za ndani.
3. Barrick haitajisajili ndani ya DSE.
4. Hakuna Mtanzania atakayeweza kununua hisa kwenye kampuni.
5. Serikali itapata share ya net profit na net loss kwa 50%.
Kwa mkataba huu tumepakatwa na hatuna pa kutokea uzalendo kweli ndio huu?
Kabudi Mungu anakuona