Said Stuard Shily
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 2,261
- 1,881
Wapumbavu wakubwa nyie simsema tunashitakiwa.Mbona Serikali ina % ndogo sana kweli safari ya kunufaika na madini TZ bado ndefu
Wapumbavu wakubwa nyie simsema tunashitakiwa.Mbona Serikali ina % ndogo sana kweli safari ya kunufaika na madini TZ bado ndefu
Watu wa Hakirasilimali wanasema hiyo 50/50 ndio imepiga nyundo ongezeko lolote, kwani kwa mkataba wao (Hisa + tozo za kodi + tozo nyingine =< 50%) hivyo itakuwa shida kuongeza hisa kwani kwa kufanya hivyo wataalamu wanasema Tanzania ingevuna zaidi ya 50% kitu ambacho mkataba hauruhusu.16% ni FREE CARRIED INTEREST ( FCi) japo Serikali inaweza kuziongezea kwa maana ya kununua 34% kwenye soko la mtaji zinapouzwa hisa hizo. Tanzania ni nchi ya Mfano kuweza kutunga sheria inayoifanya nchi kuanza kubakiza 16% ya hisa za makampuni yote yatakayokuja kuwekeza ktk sekta ya madini mafuta na gesi.
Kutokana na umiliki huu serikali itakuwa na Mjumbe ktk board of directors na management team kwa maana ya kujiridhisha na gharama zote za uzalishaji na matumizi mengine ili gharama zikitolewa FAIDA inagawiwa 50/50 . Nchi hii ni ya Mfano.
Tafuteni MDAs ( miming development Agreements) za kampuni mengi nchi zingine mtaona ni kwa namna gani sheria zinawapa nafasi ya mabeberu kupora maliasili zetu. Makosa yalifanyika huko nyuma lakini JPM na serikali ya Awamu ya tano wamefanya mabadiliko makubwa sana.
Katapeli tu uwe mtafiti Denmark huna PhD, matako yakenyeweHiyo miliki ya 66% ni lini Tanzania imewahi kuwa nayo?!
Ongezea na 1% inspection fee (kama madini watayasafrisha nje). Kwa ujumla
1. Royalities = 6%
2. Corporate tax 30%
3. Inspction fee 1%
TOTAL CONTRIBUTION = 37%. Ambapo ktk ubia GOT inachangia "LAND" wakt wao watachangia " TECHNOLOGY na MACHINE/TOOLS.
Dadavua Bana usimeze maneno, mwanzo tulikuwa tunapata ngapi? kma ni hivo huenda tulikuwa chini zaidi ya kiwango hicho na kwa nini! wataziba vipi hiko kilichopotea!Sheria mpya ya madini ndiyo imezingatiwa. Asilimia 16 ni hisa na bado watalipa asilimia 6 ya mauzo kama mrabaha na kodi ya mapato asilimia 30 ya faida baada ya gharama zote( net profit).
Haitoshi hii,Ardhi
Mkuu sasa Mibeberu imekuja na uvumbuzi mpya ; eti vinyesi vya watu Weusi vina madini adimu sana Duniani, huku Sirari wanafumua vyoo, kwa kwenda mbele, hasa Guest house, then wanatorokea Kenya.Mibeberu ina lazima Na Mali yetu kwanini Lakini?