Sooth
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 3,928
- 5,615
Wewe jamaa una mivuke sana.Ilichukuliwa na Rev. Msigwa MP.
Wewe jamaa una mivuke sana.Ilichukuliwa na Rev. Msigwa MP.
Kingesemekana kinajengwa Kilimanjaro server Ya jamii forums ingekuwa ukurasa wa elfu moja na pongezi kwa mbowe, lema na wabunge wa Kilimanjaro Na watoka Kilimanjaro popote walipo duniani Kupongeza hatua Hiro. Chadema wako tayari kutetea accacia wasafirishe mchanga kusafishwa ulaya kuliko kusafishwa mkoa usio kuwa wa Kilimanjaro ndani ya Tanzania. shenzi typeKuna MTU anaipigia debe Iringa nn! Mkoa hakuna mgodi Wa dhahabu au Yale malori yatakuwa yanatoka Kahama hadi Iringa!haya miaka ya nyuma Alma's inachimbwa shinyanga unaenda kukatwa iringa(tancut)kulikoni?
Mbwa Iringa? au mbwa tu6. Kuna ulinzi shirikishi wa Mbwa.
Habari.zilizotufikia hivi punde kampuni ya barrick imeamua kujenga kiwanda cha kuchengua.mchanga katika mkoa wa iringa baada ya kutuma watafiti katika eneo hilo kwanza ;- H
Sio tena gharama za ujenzi ni kubwa na hatuna umeme wa kuendeshea?Habari.zilizotufikia hivi punde kampuni ya barrick imeamua kujenga kiwanda cha kuchengua.mchanga katika mkoa wa iringa baada ya kutuma watafiti katika eneo hilo kwanza ;- Hali ya hewa ya.baridi
Itawasaidia mitambo kutochoka haraka.
Pili:- Miundo mbinu ya Barbara kuunganisha na nchi za Kongo Zambia south Africa msumbiji
Tatu:- uadilifu wa nguvu kazi
Nne:- Gharama za chakula kuwa za kawaida.
Tano;- Upatikanaji nishati mbadala
Sisi tunakumbusha tu kuwa kwenye makubaliano yenu hii smelter ijengwe kama mlivyo ahidi. Yale makinikia Bandarini kama bado yaanze yafari kwenda Iringa kuchenjuliwa.Kingesemekana kinajengwa Kilimanjaro server Ya jamii forums ingekuwa ukurasa wa elfu moja na pongezi kwa mbowe, lema na wabunge wa Kilimanjaro Na watoka Kilimanjaro popote walipo duniani Kupongeza hatua Hiro. Chadema wako tayari kutetea accacia wasafirishe mchanga kusafishwa ulaya kuliko kusafishwa mkoa usio kuwa wa Kilimanjaro ndani ya Tanzania. shenzi type
Futa kauli yako ya kusema kibakuli utadhani ni fisi aliyekurupushwa poriniUadilifu na nguvu kazi zipi wewe KIBAKULI ,mbona hueleweki kama fisi kakurupushwa kichakani?