sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,564
- 11,478
Wakuu taarifa za vyombo vya habari wiki hii ni kuwa kampuni ya kuchimba dhahabu ya barrick wana mpango wa kuongeza machimbo mengine..ikumbukwe hadi hivi sasa hawa jamaa wanamiliki machimbo na miradi ya dhahabu ikiwemo buzwagi,northmara,tulawaka, bulyanhulu na kabanga.. ikumbukwe pia shughuli hizi haziendani kabisa na thamani ambayo nchi inaipata na sio nchi tu hata maeneo husika.. viongozi wamekosa uzalendo kabisa na wameamua kutoa rasilimali hizi ilhali wao wananufaika moja kwa moja wao na familia zao..miaka iliyopita tuliona mikataba ikisainiwa kwenye mahotel kama ilivyofanywa huko la churchil na nazir karamage..katika kipindi hicho tulikuwa na tumaini jipya ambalo lilijipambanua kwa kutetea sekta ya madini (zitto kabwe) na kiukweli watanzania wote tulikuwa nyuma yake na ikamjengea heshima kubwa sana.. Kwa sasa hasikiki tena akizungumzia hizi habari na watu wanaweza sema yeye si mwenyekiti wa kamati husika lakini hata kipindi hicho hakuwa ila alisukumwa na uzalendo.. hebu watz tuamke tusiwe kama manguruwe..