Hii ndio lugha wanayotaka kuitumia wanafikira sisi wajinga sana hatujaenda shule..Kwanza barricks ni shirika kubwa la dhabau duniani lakini jaribu kuangalia ni sehemu ngapi na zipi wamewekesha!..Hapa Afrika nje ya Tanzania wana chimbo moja tu huko South!
Kifupi wana sehemu chache lakini zinalipa kishenzi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.