R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
Sisi tuliopo nje ya nchi tulitegemea Tanzania itadondoshwa kama ubua sakata la makinikia kwa jinsi tulivyokuwa tukipata taarifa hapa London. Tukiamini wasomo wetu wataangushwa. Tunasahngaa mpaka leo majigambo ya viongozi wa Accacia hawaitishi press apa London, kutupa mrejesho wa Biashara, Gawio na Maongezi yanaendeleaje? Siku zinaenda.
Website za Barrick, Acacia hakuna taarifa yoyote, email atupati update. Ofisi zao hapa hakuna taarifa zozote.
Vipi huko home mmewabana nini? Tunaomba mrejesho tuanzae sherehe.
Website za Barrick, Acacia hakuna taarifa yoyote, email atupati update. Ofisi zao hapa hakuna taarifa zozote.
Vipi huko home mmewabana nini? Tunaomba mrejesho tuanzae sherehe.