Elections 2010 Bariadi - tume haiko serious

Nyambala

JF-Expert Member
Oct 10, 2007
4,465
1,170
Wakuu nasikiliza BBC hapa, tume inadai haijatoa matokeo mpaka sasa kwa sababu software mpya ya kuload data za uchaguzi inawafanya wawe too slow. Kwa hiyo wamekubaliana na vyama husika kutumia mfummo wa zamani "Excel sheets"

Wanasema eti kuna vituo kama 700 kwa hiyo kujumlisha matokeo hayo na kupata matokeo yake inaweza kuwa kesho. Are these guyz serious????? Yaani kufanya 700 data entries inachukua muda gani???? Who do we have kwenye hii tume???????????? Yaani huu ni upuuzi usioelezeka!!!!!!!
 
Kuna ukweli wake mkuu!! kuna watu hawajui hata kutumia hizo computer angalau hao wanaonekana wanajua jua kidogo sema sisi tunataka matokeo ndo presha inapanda inashuka. Ila hali ikoje mkuu huko?
 
Aiseee hapo ni kuwa makini uchakachuzi wa kura usiwepo!
 
kuna ukweli wake mkuu!! Kuna watu hawajui hata kutumia hizo computer angalau hao wanaonekana wanajua jua kidogo sema sisi tunataka matokeo ndo presha inapanda inashuka. Ila hali ikoje mkuu huko?
ndo mambo ya mtoto washangazi eeeh!
 
Kuna ukweli wake mkuu!! kuna watu hawajui hata kutumia hizo computer angalau hao wanaonekana wanajua jua kidogo sema sisi tunataka matokeo ndo presha inapanda inashuka. Ila hali ikoje mkuu huko?

Sipo huko mkuu nimesikia kutoka BBC swahili. Na hili la computer is just as funny yaani kufanya data entry nayo inahitaji degree ya computer science????? Anywayz hii inatoa picha halisi ya ni namna gani tunavyofanya mambo kibabaishaji!
 
Naona chaguzi zijazo tuongee na Bill gates atutengenezee user friendly sofware ya uchaguzi wa Tz tuu
 
Wakuu nasikiliza BBC hapa, tume inadai haijatoa matokeo mpaka sasa kwa sababu software mpya ya kuload data za uchaguzi inawafanya wawe too slow. Kwa hiyo wamekubaliana na vyama husika kutumia mfummo wa zamani "Excel sheets"

Wanasema eti kuna vituo kama 700 kwa hiyo kujumlisha matokeo hayo na kupata matokeo yake inaweza kuwa kesho. Are these guyz serious????? Yaani kufanya 700 data entries inachukua muda gani???? Who do we have kwenye hii tume???????????? Yaani huu ni upuuzi usioelezeka!!!!!!!

Nyambala,

Hivi kweli unawaelewa watu wetu? Mwendo wa kudonoa mpaka ukurasa ujae ni kazi kweli kweli.

Nimemsikiliza hata mimi na inaelekea hayo matatizo ndiyo yamesumbua hata Ubungo kwa Mnyika.

Umesahau yale ya USA ya hanging, pregnant or dimpled chads? Ukiingiza technology kwenye hizi projects kubwa na ukichanganya na watu kukosa umakini, matatizo yanatokea.
 
Nyambala,

Hivi kweli unawaelewa watu wetu? Mwendo wa kudonoa mpaka ukurasa ujae ni kazi kweli kweli.

Nimemsikiliza hata mimi na inaelekea hayo matatizo ndiyo yamesumbua hata Ubungo kwa Mnyika.

Umesahau yale ya USA ya hanging, pregnant or dimpled chads? Ukiingiza technology kwenye hizi projects kubwa na ukichanganya na watu kukosa umakini, matatizo yanatokea.

Ni kweli kabisa mkuu, tena bongo funny enough hata benki ni mwendo huo huo wa kudonoadonoa. Lakini kitu nisichoelewa ni kwamba matokeo wanayo right? Wameamua kutumia excel, sasa hata kama ni kudonoa donoa wanafanyaje hivyo kwa data 700 kwa masaa zaidi ya 10.
 
Kuna ukweli wake mkuu!! kuna watu hawajui hata kutumia hizo computer angalau hao wanaonekana wanajua jua kidogo sema sisi tunataka matokeo ndo presha inapanda inashuka. Ila hali ikoje mkuu huko?

unataka kusema TUME ilikuwa haijui inachokifanya? Tuna watz wnagapi wenye uwezo wa computer.Kwahiyo tuamini kuwa Watz wanaojua comp. ni hao tu au ndio kutaka njia ya kuchakachua.
 
Wakuu nasikiliza BBC hapa, tume inadai haijatoa matokeo mpaka sasa kwa sababu software mpya ya kuload data za uchaguzi inawafanya wawe too slow. Kwa hiyo wamekubaliana na vyama husika kutumia mfummo wa zamani "Excel sheets"

Wanasema eti kuna vituo kama 700 kwa hiyo kujumlisha matokeo hayo na kupata matokeo yake inaweza kuwa kesho. Are these guyz serious????? Yaani kufanya 700 data entries inachukua muda gani???? Who do we have kwenye hii tume???????????? Yaani huu ni upuuzi usioelezeka!!!!!!!

Kuna vilaza na vihiyo watupu huko tume maana kule nepotism ndo mwake, wanapeana kazi kiushikaji. Yule mkurugenzi wa uchaguzi naye amechoka mzee. Ile kazi ni hectic sana inahitaji damu changa. Ningeshauri mkurugenzi wa uchaguzi awe kati ya miaka 30-55 tu. Mzee yule kama hajadanganya umri wa kustaafu sijui, maana anaonekana ni over 60 years, amechoka. Tume nzima kwa ishara za uchaguzi mbovu mwaka huu inatosha kabisa kuwa overhauled!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom