Umesoma heading tu.Hii ni kawaida kama sikosei kwa kusababishwa ná makosa ya wachukua vipimo. Pia kuna wajawazito wengi waliambiwa kutokana na vipimo watapata mtoto mmoja na siku ya kujifungua akapata twins au hata triplets. Pia inawezekana pacha mmoja aliharibikia tumboni mimba ikiwa changa.
Best Sky Eclat hebu pita mtaa huu umwage maujanja yako.
Hii ni dili ya wachache...angeshirikisha wote isingekuwa tabuMambo ya biashara hayo...na walishaona labda kuna kaumaskini wakaamua waajue watakavyo
...Inawezekana kuwa alinyimwa mgawo akaamua 'kama Mbwai, mbwai'!Hata wao waliamini, shida ni huyo muuguzi aliyepasua jipu
Sisi yetu ni kusema tutamkumbukaMambo tuliyoyasahau miaka 6 iliyopita yameanza kurudi kwa kasi .
Watumishi wa serikali wameanza kufanya wanavyotaka.
Jinsi zao zinaashiria kuwa hawa ni identical twinsWapi wamesema ni identical?
1. Hitaji la mtoto, mke anamrubuni mumewe asiamche.Unaiba mtoto ili iweje aisee?? Kumbafu wahed
Twins wakiwa na jinsia moja ndio kipimo cha kuwa identical? Identical means wafanane kila kitu kinachoweza kufananishwa, sio jinsia tu, identical twins wanafanana hadi DNA, pacha wako identical akimpa mimba mkeo hata uende ukapime DNA bado ataonekana ni wako, japo si wakoJinsi zao zinaashiria kuwa hawa ni identical twins
Mtanikumbuka kwa mazuriMambo tuliyoyasahau miaka 6 iliyopita yameanza kurudi kwa kasi .
Watumishi wa serikali wameanza kufanya wanavyotaka.
Matukio kama hayo yaliendelea kuwepo hata ndani ya miaka 6 iliyopita,acha uongo.Mambo tuliyoyasahau miaka 6 iliyopita yameanza kurudi kwa kasi .
Watumishi wa serikali wameanza kufanya wanavyotaka.
Kama kutekwa watu, watu kupotea isijulikane kama wamekufa au la, maiti kuokotwa baharini zikiwa kwenye viroba,kina Sabaya kugeuka majambazi huku wakijificha kwa vyeo vya u-DC nk.Mtanikumbuka kwa mazuri