Mbona kuna thread nyingine inasema Chenge ameshinda Bariadi, au kuna Bariadi mbili????
Data (vituo/kata vilikuwa vingapi, kila chama kimepata kura ngapi? n.k) ni muhimu badala ya kutaja tu ushindi
bariadi zipo mbili mashariki na mgharibi, moja ya cheyo na nyingine fisadi chenge