Wakuu,
Kutokana na ujuzi alionao na umuhimu wake katika taifa letu, tumshauri Profesa Baregu aanzishe taasisi ya BAREGU FOUNDATION FOR PEACE AND DEVELOPMENT (BFPD). Naamini wengi tutamuunga mkono na hasa vyombo vya habari na wanafunzi wa elimu ya juu. Moja ya shughuli kuu za taasisi hii iwe ni kutoa elimu ya uraia kwa Watanzania kila wiki kupitia televisheni na redio.
Naomba kuwasilisha.
==
Prof. Mwesiga Baregu alikuwa mwanazuoni na mwanasiasa mahiri nchini Tanzania. Prof. Baregu, alikuwa mhadhiri katika chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Idara ya Sayansi ya Siasa. Aliwahi kuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba na Mjumbe wa Kamati Kuu (CC) ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Mwaka 1995 hadi 1997, Prof. Baregu alikuwa mwanachama na mshauri wa Augustino Lyatonga Mrema, wakati mwanasiasa huyo alipokuwa mwenyekiti wa NCCR- Mageuzi na mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano.
Prof. Baregu alijiondoa kwenye kazi ya kumshauri Mrema, baada ya kujiridhisha kuwa aliyepewa kazi ya kumshauri, “ana washauri wengine, wanaofanya kazi ileile.”
Pia Soma TANZIA - Prof. Mwesiga Baregu afariki dunia
Kutokana na ujuzi alionao na umuhimu wake katika taifa letu, tumshauri Profesa Baregu aanzishe taasisi ya BAREGU FOUNDATION FOR PEACE AND DEVELOPMENT (BFPD). Naamini wengi tutamuunga mkono na hasa vyombo vya habari na wanafunzi wa elimu ya juu. Moja ya shughuli kuu za taasisi hii iwe ni kutoa elimu ya uraia kwa Watanzania kila wiki kupitia televisheni na redio.
Naomba kuwasilisha.
==
Mwaka 1995 hadi 1997, Prof. Baregu alikuwa mwanachama na mshauri wa Augustino Lyatonga Mrema, wakati mwanasiasa huyo alipokuwa mwenyekiti wa NCCR- Mageuzi na mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano.
Prof. Baregu alijiondoa kwenye kazi ya kumshauri Mrema, baada ya kujiridhisha kuwa aliyepewa kazi ya kumshauri, “ana washauri wengine, wanaofanya kazi ileile.”
Pia Soma TANZIA - Prof. Mwesiga Baregu afariki dunia