Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,859
- 763
Jamani...
Sijui tatizo kama ni langu na watu walio karibu yangu..au ni vipi....kwa kweli huduma za benki za Barclays zinanitia kichefuchefu mno....
Nimejaribu kufungua akaunti personal sasa yapata mwezi wa tatu haijawezekana.... tena baada ya kuchoshwa na tawi la Ubungo plaza ..nikatoa kitu kidogo ...huduma iende spidi ikawa hola (mhusika jina ninalo)..nikajaribu tena tawi la pale Sea Cliff...usumbufu nilioupata nimenyoosha mikono...
Kama haitoshi ikatokea NGO ninayojishughulisha nayo imepewa msaada wa hela (cheque) na sababu hatukuwa na akaunti tuka jaribu kufungua akaunti pale Barclays downtown....tangu December 2009 mpaka leo...leta hiki, leta kile, haukuleta kile, sasa ulete kile, baada ya wiki uje mambo yatakuwa tayari... ukienda unakuta kimtu kingine kabisa kinakwambia ulisahau kuleta kile... basi..stori goes on and on!!!!...kutwa kuchwa.... sometimes simu wanapiga lakini hakuna kinachoendelea...
Baada ya kuchoshwa nikawa nalalamika mbele ya watu wachache,... kumbe nao yamewakuta kama haya.... nimeambiwa nisithubutu tena...ndivyo walivyo....kumbe hata hatua ya kufungua matawi mengi ni very hopeless move sasa nimekubali....sina uhakika kama uongozi unayajua haya... nimewanyooshea mikono...tunajiuliza hivi na nchi nyingine wapo hopeless hivi hivi? nimenawa...
Sijui tatizo kama ni langu na watu walio karibu yangu..au ni vipi....kwa kweli huduma za benki za Barclays zinanitia kichefuchefu mno....
Nimejaribu kufungua akaunti personal sasa yapata mwezi wa tatu haijawezekana.... tena baada ya kuchoshwa na tawi la Ubungo plaza ..nikatoa kitu kidogo ...huduma iende spidi ikawa hola (mhusika jina ninalo)..nikajaribu tena tawi la pale Sea Cliff...usumbufu nilioupata nimenyoosha mikono...
Kama haitoshi ikatokea NGO ninayojishughulisha nayo imepewa msaada wa hela (cheque) na sababu hatukuwa na akaunti tuka jaribu kufungua akaunti pale Barclays downtown....tangu December 2009 mpaka leo...leta hiki, leta kile, haukuleta kile, sasa ulete kile, baada ya wiki uje mambo yatakuwa tayari... ukienda unakuta kimtu kingine kabisa kinakwambia ulisahau kuleta kile... basi..stori goes on and on!!!!...kutwa kuchwa.... sometimes simu wanapiga lakini hakuna kinachoendelea...
Baada ya kuchoshwa nikawa nalalamika mbele ya watu wachache,... kumbe nao yamewakuta kama haya.... nimeambiwa nisithubutu tena...ndivyo walivyo....kumbe hata hatua ya kufungua matawi mengi ni very hopeless move sasa nimekubali....sina uhakika kama uongozi unayajua haya... nimewanyooshea mikono...tunajiuliza hivi na nchi nyingine wapo hopeless hivi hivi? nimenawa...