gomz120
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 682
- 385
Hawezi elewa huyo jamaa kilaza sana
Hawezi elewa huyo jamaa kilaza sana
Hazard mzee?? Wameachana miezi tu.HAZARD NI MZEE PIA NI WINGA.
TUNAMTAKA COUTINHO
1. NI MDOGO KIUMRI
2. ATAMUDU NAFAS YA INIESTA
3. NI KIUNGO MSHAMBULIAJI
4. ANAMUDU MPIRA WA BASA
Hazard mzee?? Wameachana miezi tu.
Usituchafulie timu yetu wewe.Ni miongoni mwa watu walionifanya niachane na kuishabikia Chelsea ,mpaka atakapouzwa na panya wengine wawili pale..
Ashatua Barca kwa Paundi mil 142
70 unafikiri nae ni Mugabe?
70 unafikiri nae ni Mugabe?
Dybala angefit pale Mkuu. But Messi ndie mwenye maamuzi yote.
View attachment 670570
Tututututumimimimiaaaaaaaa akili!!!!!!
Hilo bifu la messi na dybala halipo......na maneno ulosema mwanzo hayana ukweli wowote....Acha aitwe mfalme.