ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Barcelona wenzangu Valencia wametupiga 2-1 mchezo wa fainali kombe la mfalme, nilivyoyaona magoli yote mawili tuliyofungwa ni uzembe wa wazi wa defenders ukiongozwa na Pique, hivi lini tutaimarisha ukuta wetu? Huyu Pique anasubiri nini kutimuliwa?
Ameshafungisha goli nyingi hadi sasa lakini bado yupo tu.
Nashangazwa na benchi la ufundi kutokuwa na hamasa ya kurekebisha makosa kwa kusajiri wachezaji wengi ambao si tunaowahitaji ama uwezo wao unakua mdogo.
Na hii yote ni kutegemea timu iendeshwe na viungo tu mwishowe kuwachosha.
Messi akichoka itakuwaje?
Kiukweli Messi mchezaji bora duniani inabidi awe na watu pembeni si mtu kama Suarez wa kujiangusha na kukosa nafasi za wazi kibao
Barca wenzangu nini kifanyike pale nou camp? Wenzetu wanajiandaa kwa season Moja kwa usajiri sisi tunasua tu mara tunamtaka Griezman mara hatumtaki.
Neymar siku za nyuma alionesha nia ya kutaka kurudi wakubwa pale wakambania.
Messi aliwaomba wamruhusu wakaizima hiyo issue lkn mtu kama Neymar au Mbappe ndio hasa watu wa kiwango cha kucheza na Messi.
Ameshafungisha goli nyingi hadi sasa lakini bado yupo tu.
Nashangazwa na benchi la ufundi kutokuwa na hamasa ya kurekebisha makosa kwa kusajiri wachezaji wengi ambao si tunaowahitaji ama uwezo wao unakua mdogo.
Na hii yote ni kutegemea timu iendeshwe na viungo tu mwishowe kuwachosha.
Messi akichoka itakuwaje?
Kiukweli Messi mchezaji bora duniani inabidi awe na watu pembeni si mtu kama Suarez wa kujiangusha na kukosa nafasi za wazi kibao
Barca wenzangu nini kifanyike pale nou camp? Wenzetu wanajiandaa kwa season Moja kwa usajiri sisi tunasua tu mara tunamtaka Griezman mara hatumtaki.
Neymar siku za nyuma alionesha nia ya kutaka kurudi wakubwa pale wakambania.
Messi aliwaomba wamruhusu wakaizima hiyo issue lkn mtu kama Neymar au Mbappe ndio hasa watu wa kiwango cha kucheza na Messi.